EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Aisee ni hatari sana hizi codes ngoja nifuatilie commentsYaani mpaka sasa ulikuwa hujausoma mchezo tuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee ni hatari sana hizi codes ngoja nifuatilie commentsYaani mpaka sasa ulikuwa hujausoma mchezo tuu?
Kagame na JPMWakati wa uhai wake, marehemu baba aliwahi kuwa na urafiki na majirani zake, mmoja wapo ni tolu. Hata pale baba alipopata uongozi wa kijiji ushauri mwingi aliutoa kwa jirani tolu.
lakini katika siku za mwisho za uhai wake hapa duniani, baba alikosana mno na jirani yake tolu, wakawa hata hawajumuiki pamoja kama ilivyokuwa zamani. Nini hasa kilitokea mpaka ujirani huo ukafikia kikomo?
Labda Tolu alishitukia uwezo wa kuchambua mambo wa dingi ako,aliogopa asije akamuambukiza aibu huko mbeleniWakati wa uhai wake, marehemu baba aliwahi kuwa na urafiki na majirani zake, mmoja wapo ni tolu. Hata pale baba alipopata uongozi wa kijiji ushauri mwingi aliutoa kwa jirani tolu.
lakini katika siku za mwisho za uhai wake hapa duniani, baba alikosana mno na jirani yake tolu, wakawa hata hawajumuiki pamoja kama ilivyokuwa zamani. Nini hasa kilitokea mpaka ujirani huo ukafikia kikomo?
Umeandika kwa uchungu sanaTall ni mtusi, baba yako alikuwa mhutu ulitegemea wangeelewana.
Rafiki wa baba yako alikuwa Nkurunzinza mhutu mwenzie mjinga mwenzie ndio maana Covid imewafyekelea mbali wakiwa madarakani.
Unaharibu sasaKagame na JPM
Nawe mbeya tuuuzi wa umbea tu..wambea mwanzoni walisema eti wale vijana wa SF waliomlinda hayati eti ni wa PK..
Corona baba.Wakati wa uhai wake, marehemu baba aliwahi kuwa na urafiki na majirani zake, mmoja wapo ni tolu. Hata pale baba alipopata uongozi wa kijiji ushauri mwingi aliutoa kwa jirani tolu.
lakini katika siku za mwisho za uhai wake hapa duniani, baba alikosana mno na jirani yake tolu, wakawa hata hawajumuiki pamoja kama ilivyokuwa zamani. Nini hasa kilitokea mpaka ujirani huo ukafikia kikomo?
Hahahaa karibuWe ndio umenifungua macho kwenye hizi codes. khaaah!!