The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Kabisa mkuuLait kama hata kwny michongo ya hela watz tungekua tunajua kufungua codes hv aaaah mbna Tz ingejua Dubai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuLait kama hata kwny michongo ya hela watz tungekua tunajua kufungua codes hv aaaah mbna Tz ingejua Dubai
Au nasema uwongo ndugu zangu?[emoji16][emoji16]Kumbe baba alitapeliwa, nae alikua mlugaluga sana...
Au nasema uwongo ndugu zangu?[emoji16][emoji16]
Hii statement ilikuwa inanifurahisa mno
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Afu kumbe muongo kweli...😃Au nasema uwongo ndugu zangu?[emoji16][emoji16]
Hii statement ilikuwa inanifurahisa mno
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
HaahaahaaAfu kumbe muongo kweli...[emoji2]
Mmoja ni mhutu na mwingine mtusi, hawaiviWakati wa uhai wake, marehemu baba aliwahi kuwa na urafiki na majirani zake, mmoja wapo ni tolu. Hata pale baba alipopata uongozi wa kijiji ushauri mwingi aliutoa kwa jirani tolu.
lakini katika siku za mwisho za uhai wake hapa duniani, baba alikosana mno na jirani yake tolu, wakawa hata hawajumuiki pamoja kama ilivyokuwa zamani. Nini hasa kilitokea mpaka ujirani huo ukafikia kikomo?
Baba Lofa na Tolu Mjanja ulitarajia nini?Wakati wa uhai wake, marehemu baba aliwahi kuwa na urafiki na majirani zake, mmoja wapo ni tolu. Hata pale baba alipopata uongozi wa kijiji ushauri mwingi aliutoa kwa jirani tolu.
lakini katika siku za mwisho za uhai wake hapa duniani, baba alikosana mno na jirani yake tolu, wakawa hata hawajumuiki pamoja kama ilivyokuwa zamani. Nini hasa kilitokea mpaka ujirani huo ukafikia kikomo?
Nadhani nimazoea tu ila huwa nashindwa kuelewa kwa nini Bongo movie Inayumba Kwa conspiracy theorists wa hapa JF wangekuwa na blockbusters movie kila mweziYani watu bado waoga hadi leo mnatumia codes? Kweli jamaa aliwashikisha adabu
Tolu na kikwete walikosana piaTolu alimzidi ujanja baba,ndomana baba akakasirika na kuvunja urafiki!
Wezi wanapozikana walichoiba.Wakati wa uhai wake, marehemu baba aliwahi kuwa na urafiki na majirani zake, mmoja wapo ni tolu. Hata pale baba alipopata uongozi wa kijiji ushauri mwingi aliutoa kwa jirani tolu.
lakini katika siku za mwisho za uhai wake hapa duniani, baba alikosana mno na jirani yake tolu, wakawa hata hawajumuiki pamoja kama ilivyokuwa zamani. Nini hasa kilitokea mpaka ujirani huo ukafikia kikomo?
Nimeupenda mfano wako mkuu. Kma ww ni mfugaji........😄😄😄😄Tolu kamponza Baba, Baba naye ya kuambiwa hajaongeza na zake.
Kila kitu kwenye maisha kina asili yake, kutokea kwenye familia,mfano ukiwa mfugaji wa kuhamahama tulia uendeleze ufugaji utaishi muda mrefu.
Kuliko ukafosi kuwa Gorvenor matokeo yake utaogopa kupanda hata meli,ndege maana asili inakukataa.
Utashindwa kushirikiana na wenzio Dunia ya leo ni kutegemeana, maana kiasili wewe ni mfugaji unatakiwa kuongoza wanyama.
Hyo code ya mjomba ghorofa la nne bado mtihani mkuuInasemekana ugomvi wao ni njiwa baba aliingizwa choo cha kike,
Tolu ni mtu hatari saana roho mbaya anaiweza na akili anazo, aliyemuweza upande wetu ni mjomba aliyekuwa kapanga gorofa la nne
Inasemekana walizama baada ya vita vya fahari wawili.uzi wa umbea tu..wambea mwanzoni walisema eti wale vijana wa SF waliomlinda hayati eti ni wa PK..
Kichwa majiNdio mkuu