GITWA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,572
- 1,781
Mtawala wa awamu ya nneHyo code ya mjomba ghorofa la nne bado mtihani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtawala wa awamu ya nneHyo code ya mjomba ghorofa la nne bado mtihani mkuu
aaaa! Acha hizo bhana. Unakwama wapi? Mbona codes za leo nyepesi sana? Kuhusu Mtaa wa nne, mmoja kasema ghrofa ya nne, mwingine kataja jina kabisa. Unakwama wapi? Mama anaishi mtaa wa sita, rafiki yake Tall alikuwa anaishi mtaa wa tano. Mpaka hapa ukishindwa kuelewa achana na JF bro.Hyo code ya mjomba ghorofa la nne bado mtihani mkuu
Walau nimepata ka mwanga...nimeielewa line ya mzee ghorofa ya nne🙌Inasemekana ugomvi wao ni njiwa baba aliingizwa choo cha kike,
Tolu ni mtu hatari saana roho mbaya anaiweza na akili anazo, aliyemuweza upande wetu ni mjomba aliyekuwa kapanga gorofa la nne
Yani wewe EINSTEIN112 na IQ yako tukakuacha kwenye hizi code 😂😂We ndio umenifungua macho kwenye hizi codes. khaaah!!
aise we jamaa,ni mchochezi kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].talu alitaka kumuingiza kwenye Rada zake,mzee baba!,mwanzo baba hakushtuka akaanza kujaa mdogomdogo,Kuna siku tall si akajisahau kuwa alikuwa ametega chambo,mzee akasanuka !weeee ukawa ndo mwisho wa urafiki wao,kila mmoja akawa anaishi na mwenzie kwa kujihami!!
Tolu katuma salamu za rambirambi miezi takribani miwili na nusu baada ya msiba wa baba
Afu dingi ako anajiita jiwe kumbe udongo wa PembaKumbe baba alitapeliwa, nae alikua mlugaluga sana...
😂😂Afu dingi ako anajiita jiwe kumbe udingo wa Pemba
Kagame na JPM
Kaharibu sana bro, hapa masha yanaenda kwa code kwenye huu uzi, nashangaa anataja majina ambayo hayahusikiKaka umeharibu ladha kabisa. Code inapendeza itembee kwa code. Jifunze mazingira y’a lugha mkuu. (Samahn kama nimekukera)
walizama wapi mkuu?Inasemekana walizama baada ya vita vya fahari wawili.
au sio sho'? 😎Nawe mbeya tuu
Mmmhh hata mie kilaza nimeelewa ije kuwa wewe kipanga. KhaaWe ndio umenifungua macho kwenye hizi codes. khaaah!!
Umenichekesha kama mazuri vilee. [emoji1787]Tall ni mtusi, baba yako alikuwa mhutu ulitegemea wangeelewana.
Rafiki wa baba yako alikuwa Nkurunzinza mhutu mwenzie mjinga mwenzie ndio maana Covid imewafyekelea mbali wakiwa madarakani.
Problem ilikuepo jinsi alivyoshughulikia suala la COVID 19 alitofautiana na Baba . Ujue Rwanda inaitegemea tz Kwaajili ya bandari. Ikionekana madereva wa Tz Wana COVID 19 wanaisambaxa RwandaWakati wa uhai wake, marehemu baba aliwahi kuwa na urafiki na majirani zake, mmoja wapo ni tolu. Hata pale baba alipopata uongozi wa kijiji ushauri mwingi aliutoa kwa jirani tolu.
lakini katika siku za mwisho za uhai wake hapa duniani, baba alikosana mno na jirani yake tolu, wakawa hata hawajumuiki pamoja kama ilivyokuwa zamani. Nini hasa kilitokea mpaka ujirani huo ukafikia kikomo?
Hilo jina la mjomba tu linaeleweka (aloanzisha mrisho mpoto)aaaa! Acha hizo bhana. Unakwama wapi? Mbona codes za leo nyepesi sana? Kuhusu Mtaa wa nne, mmoja kasema ghrofa ya nne, mwingine kataja jina kabisa. Unakwama wapi? Mama anaishi mtaa wa sita, rafiki yake Tall alikuwa anaishi mtaa wa tano. Mpaka hapa ukishindwa kuelewa achana na JF bro.