Hivi ilikuaje hadi urafiki wa baba na jirani yake tolu kuvunjika?

Hivi ilikuaje hadi urafiki wa baba na jirani yake tolu kuvunjika?

Hyo code ya mjomba ghorofa la nne bado mtihani mkuu
aaaa! Acha hizo bhana. Unakwama wapi? Mbona codes za leo nyepesi sana? Kuhusu Mtaa wa nne, mmoja kasema ghrofa ya nne, mwingine kataja jina kabisa. Unakwama wapi? Mama anaishi mtaa wa sita, rafiki yake Tall alikuwa anaishi mtaa wa tano. Mpaka hapa ukishindwa kuelewa achana na JF bro.
 
Inasemekana ugomvi wao ni njiwa baba aliingizwa choo cha kike,

Tolu ni mtu hatari saana roho mbaya anaiweza na akili anazo, aliyemuweza upande wetu ni mjomba aliyekuwa kapanga gorofa la nne
Walau nimepata ka mwanga...nimeielewa line ya mzee ghorofa ya nne🙌
 
Mchongo gani wa tolu faza aliushtukia??
aise we jamaa,ni mchochezi kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].talu alitaka kumuingiza kwenye Rada zake,mzee baba!,mwanzo baba hakushtuka akaanza kujaa mdogomdogo,Kuna siku tall si akajisahau kuwa alikuwa ametega chambo,mzee akasanuka !weeee ukawa ndo mwisho wa urafiki wao,kila mmoja akawa anaishi na mwenzie kwa kujihami!!
 
Tall ni mtusi, baba yako alikuwa mhutu ulitegemea wangeelewana.
Rafiki wa baba yako alikuwa Nkurunzinza mhutu mwenzie mjinga mwenzie ndio maana Covid imewafyekelea mbali wakiwa madarakani.
Umenichekesha kama mazuri vilee. [emoji1787]
 
Wakati wa uhai wake, marehemu baba aliwahi kuwa na urafiki na majirani zake, mmoja wapo ni tolu. Hata pale baba alipopata uongozi wa kijiji ushauri mwingi aliutoa kwa jirani tolu.

lakini katika siku za mwisho za uhai wake hapa duniani, baba alikosana mno na jirani yake tolu, wakawa hata hawajumuiki pamoja kama ilivyokuwa zamani. Nini hasa kilitokea mpaka ujirani huo ukafikia kikomo?
Problem ilikuepo jinsi alivyoshughulikia suala la COVID 19 alitofautiana na Baba . Ujue Rwanda inaitegemea tz Kwaajili ya bandari. Ikionekana madereva wa Tz Wana COVID 19 wanaisambaxa Rwanda
 
aaaa! Acha hizo bhana. Unakwama wapi? Mbona codes za leo nyepesi sana? Kuhusu Mtaa wa nne, mmoja kasema ghrofa ya nne, mwingine kataja jina kabisa. Unakwama wapi? Mama anaishi mtaa wa sita, rafiki yake Tall alikuwa anaishi mtaa wa tano. Mpaka hapa ukishindwa kuelewa achana na JF bro.
Hilo jina la mjomba tu linaeleweka (aloanzisha mrisho mpoto)
 
Back
Top Bottom