Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ilisemwa sanaSi mlisema walinzi wa nyumbani kwa baba ("makirikiri") kapewa na tolu ( jirani yake)?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilisemwa sanaSi mlisema walinzi wa nyumbani kwa baba ("makirikiri") kapewa na tolu ( jirani yake)?
Itakuwa washarudi makwao😂Wale wangojea mlangoni wa tolu wako wapi sasa, tuseme waliingia ulingoni na maagizo maalum?
Hyo code ya mjomba ghorofa la nne bado mtihani mkuu
sasa toka lini mjanja akamnunia lofa,mbona unakuwa popoma wewe!!!!Baba Lofa na Tolu Mjanja ulitarajia nini?
[emoji38][emoji38], tukiishiwa chumvi tuu tumekwishaKuna kipindi funguo la geti letu ilisumbua,inasemekana hata vibaka walieeza kulifungua kwa kutumia vijiti!! Basi baba akamsimulia rafiki yake tolu wakiwa kilabuni,saa hiyi baba amelewa chakari,ila tolu alikuwa timamu kabisa,si unajua tolu huwa anachanganya maji mengi kwenye gongo ili aobekane kama anakunywa sana? Cha ajabu halewi,sasa si ndiyo tolu akamwahidi baba kumpa wachonga funguo mahiri kutoka mtaani kwake ili wamchongee funguo ya "maana"!baadaye baba aliporudi nyumbani na kutueleza adhma yake hiyo ya kuwapa mafundi wa tolu kazi ya kutuchongea fungup la geti mjomba alikuwepo,na akamkazia baba macho na kumwambia asithubutu kuwapa kazi hiyo mafundi wa Tolu,basi tolu AKAJA kesho yake akiwa na mafundi wake!! Baba akawatimua mafundi ila akamwambia tolu asiondoke kwanza hadi waongee,hapo ndiyo baba akamchana tolu kuwa hawaitaji mafundi wake,maana wale mafundi huwa wanapewa maagizo ya kuchonga funguo mbili,moja wanampa Tolu na nyingine wanampa mteja,so tolu akitaka kuingia kwetu muda wowote anachukua tu ile funguo ya pili na kuzama ndani!! Baba akakumbuka stori aliyopigiwa kilabuni jinsi jirani yake Papaa anavyoteseka kwa kuibiwa vijiko kila mara,tena siku nyingine anawakuta kabisa waizi wa vijiko wakiwa ndani,wakiulizwa mnataka nini ndani kwangu wanasema "hata sisi tulizaliwa hapa,ila tulitoka kidogo na sasa tumeamua kurejea" basi baba akaamua kumpiga ban tolu mazima!! Hata tolu akimsalimia yeye akawa anakaushia kikamanda,mwisho tolu aka maindi na kuamua kufanya yake,maana alijua kabisa kuwa baba ataenda mbele na kumshtua hata papaa kuhusu mwizi wa vijiko vyake!! Basi ndiyo ikawa hivyo!! Binamu ameshamwonya Mama asijipitishe pitishe kwa tolu,naamini mama atazingatia hilo, sasa hivi tunafurahia ulanzi wetu bila bugudha,tolu anatumaindi kiaina ila anawaza kama baba alimshtua mama kuhusu ilw ishu,kwa hiyo ametulia tu,ila tuombe Mungu tusiishiww chumvi na mama aende kuomba kwa tolu!! Maana hilo ndilo analosubiri Tolu! Ngoja nimalizie tumbaku yangu.
Maaanina [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nasikia baba alimpa tolu hela atumie jina lake kununua kunguru ,miongoni wa wale kunguru, baada kunguru kudakwa kisa deni, tolu akasepa na hela
Hoja imesukwa hii. Na imenichekesha. Nimekubalinasikia baba alimpa tolu hela atumie jina lake kununua kunguru ,miongoni wa wale kunguru, baada kunguru kudakwa kisa deni, tolu akasepa na hela
Tolu alishakuwa mshkaji wa yule mzee wa karibu na Kagera na baadae akamgeuka na kumtumia majambazi.Tolu siyo mtu wa kuaminika na watu wake.
Daaah! Kuongoza wanyama? Ok viumbe hai wamegawanyika makundi mawili wanyama na mimea kwahiyo poa tuTolu kamponza Baba, Baba naye ya kuambiwa hajaongeza na zake.
Kila kitu kwenye maisha kina asili yake, kutokea kwenye familia,mfano ukiwa mfugaji wa kuhamahama tulia uendeleze ufugaji utaishi muda mrefu.
Kuliko ukafosi kuwa Gorvenor matokeo yake utaogopa kupanda hata meli,ndege maana asili inakukataa.
Utashindwa kushirikiana na wenzio Dunia ya leo ni kutegemeana, maana kiasili wewe ni mfugaji unatakiwa kuongoza wanyama.
Tolu anajidai mjuaji sanaTolu alishakuwa mshkaji wa yule mzee wa karibu na Kagera na baadae akamgeuka na kumtumia majambazi.
Hakuishia hapo akahamishwa urafiki wa Jirani wa Namanga nae akapigwa dili kisawasawa Tolu alipofanikisha yake akamgeuka alimuahidi kumpa dili ya kususha mizigo kwenye bandari .
Tolu akahamia kwa yule kijana mwenye kabila, baadae akamgeuka mpaka pale kijana mwenye kabila alipoomba usaidizi kutoka kwa mzee wa ghorofa ya nne ndipo sasa ugomvi ukahamia kati ya Tolu na mzee wa ghorofa ya nne.
Mzee wa ghorofa ya nne alimkomesha maana alimpelekea kijana akakae awe balozi wa nyumba kumi yule kijana kumbe ni shushushu mbobezi na Tolu anamfahamu vizuri sana, akamkataa.
Mzee wa ghorofa ya nne akamwambia kama hamtaki basi wasitafutane kila mtu adeal na mtaa wake, ikabidi Tolu akubali.
Sasa alipotokea popoma Tolu akamhadaa kumuuzia wale njiwa hapo ndipo walipogombana.
Kimsingi Tolu can't be trusted.
Tolu ni mhuni kweli ukijichanganya anakumaliza, kawazingua mpaka wazungu wakaishia kumsifia tu kwamba mtaa wake msafi sana na hakuna rushwa wakati jamaa ni mafia hatari hataki mtu aongelee mtaa wake.Tolu anajidai mjuaji sana
Kwenye viguniawalizama wapi mkuu?
Baba ni mluga kwa asili. Si unaona hata Kiswahili kuzungumza ilikua shida. Kiingereza ndio kabisa kilimpitia pembeni. Zeze ze za kutoshaKumbe baba alitapeliwa, nae alikua mlugaluga sana...
Baba mkubwa wa awamu ya 4Hyo code ya mjomba ghorofa la nne bado mtihani mkuu
Tolu alimwingiza mkenge kwenye ununuzi wa njiwa. Akawajengea na kiota nyumbani kule lakini njiwa wenyewe wamekosa afya ya kuruka. Muda wote wako ardhini kama kuku...Mi nachokumbuka tolu aliwahi kumchimba mkwara dingi mkubwa " If u play with my ass, i will find the right place and kick your ass" sasa kuhusu marehemu dingi hapo ndo sijajua.