Hivi ilikuaje hadi urafiki wa baba na jirani yake tolu kuvunjika?

Hivi ilikuaje hadi urafiki wa baba na jirani yake tolu kuvunjika?

Tolu alimwingiza mkenge kwenye ununuzi wa njiwa. Akawajengea na kiota nyumbani kule lakini njiwa wenyewe wamekosa afya ya kuruka. Muda wote wako ardhini kama kuku...
Hahahaha tolu ni mtumbad sana.
 
Tolu sio mtu. Ni devil incarnate. Kumbuka alikua afisa mwandamizi kwenye geshi la ng'ombe, akasaidiwa na ng'ombe Hadi akapata urais, unakumbuka Kuna kipindi alitaka kuzipiga na ng'ombe Hadi kutungiana mipaka? Unakumbuka alikua hapatani na mfu mmoja jirani yake aliyesema nchi yake haina Corona na ikamuondoa siku chache kabla ya kukabidhi kijiti. Unakumbuka tolu na handsome boy walikua maji na mafuta
 
Kuna kipindi funguo la geti letu ilisumbua,inasemekana hata vibaka walieeza kulifungua kwa kutumia vijiti!! Basi baba akamsimulia rafiki yake tolu wakiwa kilabuni,saa hiyi baba amelewa chakari,ila tolu alikuwa timamu kabisa,si unajua tolu huwa anachanganya maji mengi kwenye gongo ili aobekane kama anakunywa sana? Cha ajabu halewi,sasa si ndiyo tolu akamwahidi baba kumpa wachonga funguo mahiri kutoka mtaani kwake ili wamchongee funguo ya "maana"!baadaye baba aliporudi nyumbani na kutueleza adhma yake hiyo ya kuwapa mafundi wa tolu kazi ya kutuchongea fungup la geti mjomba alikuwepo,na akamkazia baba macho na kumwambia asithubutu kuwapa kazi hiyo mafundi wa Tolu,basi tolu AKAJA kesho yake akiwa na mafundi wake!! Baba akawatimua mafundi ila akamwambia tolu asiondoke kwanza hadi waongee,hapo ndiyo baba akamchana tolu kuwa hawaitaji mafundi wake,maana wale mafundi huwa wanapewa maagizo ya kuchonga funguo mbili,moja wanampa Tolu na nyingine wanampa mteja,so tolu akitaka kuingia kwetu muda wowote anachukua tu ile funguo ya pili na kuzama ndani!! Baba akakumbuka stori aliyopigiwa kilabuni jinsi jirani yake Papaa anavyoteseka kwa kuibiwa vijiko kila mara,tena siku nyingine anawakuta kabisa waizi wa vijiko wakiwa ndani,wakiulizwa mnataka nini ndani kwangu wanasema "hata sisi tulizaliwa hapa,ila tulitoka kidogo na sasa tumeamua kurejea" basi baba akaamua kumpiga ban tolu mazima!! Hata tolu akimsalimia yeye akawa anakaushia kikamanda,mwisho tolu aka maindi na kuamua kufanya yake,maana alijua kabisa kuwa baba ataenda mbele na kumshtua hata papaa kuhusu mwizi wa vijiko vyake!! Basi ndiyo ikawa hivyo!! Binamu ameshamwonya Mama asijipitishe pitishe kwa tolu,naamini mama atazingatia hilo, sasa hivi tunafurahia ulanzi wetu bila bugudha,tolu anatumaindi kiaina ila anawaza kama baba alimshtua mama kuhusu ilw ishu,kwa hiyo ametulia tu,ila tuombe Mungu tusiishiww chumvi na mama aende kuomba kwa tolu!! Maana hilo ndilo analosubiri Tolu! Ngoja nimalizie tumbaku yangu.
Capt Tamar.
 
Kuna kipindi funguo la geti letu ilisumbua,inasemekana hata vibaka walieeza kulifungua kwa kutumia vijiti!! Basi baba akamsimulia rafiki yake tolu wakiwa kilabuni,saa hiyi baba amelewa chakari,ila tolu alikuwa timamu kabisa,si unajua tolu huwa anachanganya maji mengi kwenye gongo ili aobekane kama anakunywa sana? Cha ajabu halewi,sasa si ndiyo tolu akamwahidi baba kumpa wachonga funguo mahiri kutoka mtaani kwake ili wamchongee funguo ya "maana"!baadaye baba aliporudi nyumbani na kutueleza adhma yake hiyo ya kuwapa mafundi wa tolu kazi ya kutuchongea fungup la geti mjomba alikuwepo,na akamkazia baba macho na kumwambia asithubutu kuwapa kazi hiyo mafundi wa Tolu,basi tolu AKAJA kesho yake akiwa na mafundi wake!! Baba akawatimua mafundi ila akamwambia tolu asiondoke kwanza hadi waongee,hapo ndiyo baba akamchana tolu kuwa hawaitaji mafundi wake,maana wale mafundi huwa wanapewa maagizo ya kuchonga funguo mbili,moja wanampa Tolu na nyingine wanampa mteja,so tolu akitaka kuingia kwetu muda wowote anachukua tu ile funguo ya pili na kuzama ndani!! Baba akakumbuka stori aliyopigiwa kilabuni jinsi jirani yake Papaa anavyoteseka kwa kuibiwa vijiko kila mara,tena siku nyingine anawakuta kabisa waizi wa vijiko wakiwa ndani,wakiulizwa mnataka nini ndani kwangu wanasema "hata sisi tulizaliwa hapa,ila tulitoka kidogo na sasa tumeamua kurejea" basi baba akaamua kumpiga ban tolu mazima!! Hata tolu akimsalimia yeye akawa anakaushia kikamanda,mwisho tolu aka maindi na kuamua kufanya yake,maana alijua kabisa kuwa baba ataenda mbele na kumshtua hata papaa kuhusu mwizi wa vijiko vyake!! Basi ndiyo ikawa hivyo!! Binamu ameshamwonya Mama asijipitishe pitishe kwa tolu,naamini mama atazingatia hilo, sasa hivi tunafurahia ulanzi wetu bila bugudha,tolu anatumaindi kiaina ila anawaza kama baba alimshtua mama kuhusu ilw ishu,kwa hiyo ametulia tu,ila tuombe Mungu tusiishiww chumvi na mama aende kuomba kwa tolu!! Maana hilo ndilo analosubiri Tolu! Ngoja nimalizie tumbaku yangu.

Kwa maelezo hayo wewe unastahili ujengewe sanamu pale posta
 
Tolu ana akili sana, akaona ana deal na mtu siye, akajikata kisilesi.
 
Tall ni mtusi, baba yako alikuwa mhutu ulitegemea wangeelewana.
Rafiki wa baba yako alikuwa Nkurunzinza mhutu mwenzie mjinga mwenzie ndio maana Covid imewafyekelea mbali wakiwa madarakani.
mhutu mwenzie mjinga mwenzie ndio maana Covid imewafyekelea mbali wakiwa madarakani.😀😃😃😄😄😄
 
Wakati wa uhai wake, marehemu baba aliwahi kuwa na urafiki na majirani zake, mmoja wapo ni tolu. Hata pale baba alipopata uongozi wa kijiji ushauri mwingi aliutoa kwa jirani tolu.

lakini katika siku za mwisho za uhai wake hapa duniani, baba alikosana mno na jirani yake tolu, wakawa hata hawajumuiki pamoja kama ilivyokuwa zamani. Nini hasa kilitokea mpaka ujirani huo ukafikia kikomo?
Sass si ungemuuliza baba yako kabla hajavuta kamba,
Kwani sie tulikuwepo?!
 
Mjomba wa gorofa la nne aliandaa mpaka fimbo za kumchapa Tolu akizingua. Tolu akawa mpole kama paka wa dukani.
Ila Tolu naye kama Kigogo tu maana hata msiba ulipotokea alijisahaulisha kama hajui mpaka juzi alipomtuma kitukuu chake kuja kutoa pole.
Hapa ndio nimejua tolu Ni nani
 
Kuna kipindi funguo la geti letu ilisumbua,inasemekana hata vibaka walieeza kulifungua kwa kutumia vijiti!! Basi baba akamsimulia rafiki yake tolu wakiwa kilabuni,saa hiyi baba amelewa chakari,ila tolu alikuwa timamu kabisa,si unajua tolu huwa anachanganya maji mengi kwenye gongo ili aobekane kama anakunywa sana? Cha ajabu halewi,sasa si ndiyo tolu akamwahidi baba kumpa wachonga funguo mahiri kutoka mtaani kwake ili wamchongee funguo ya "maana"!baadaye baba aliporudi nyumbani na kutueleza adhma yake hiyo ya kuwapa mafundi wa tolu kazi ya kutuchongea fungup la geti mjomba alikuwepo,na akamkazia baba macho na kumwambia asithubutu kuwapa kazi hiyo mafundi wa Tolu,basi tolu AKAJA kesho yake akiwa na mafundi wake!! Baba akawatimua mafundi ila akamwambia tolu asiondoke kwanza hadi waongee,hapo ndiyo baba akamchana tolu kuwa hawaitaji mafundi wake,maana wale mafundi huwa wanapewa maagizo ya kuchonga funguo mbili,moja wanampa Tolu na nyingine wanampa mteja,so tolu akitaka kuingia kwetu muda wowote anachukua tu ile funguo ya pili na kuzama ndani!! Baba akakumbuka stori aliyopigiwa kilabuni jinsi jirani yake Papaa anavyoteseka kwa kuibiwa vijiko kila mara,tena siku nyingine anawakuta kabisa waizi wa vijiko wakiwa ndani,wakiulizwa mnataka nini ndani kwangu wanasema "hata sisi tulizaliwa hapa,ila tulitoka kidogo na sasa tumeamua kurejea" basi baba akaamua kumpiga ban tolu mazima!! Hata tolu akimsalimia yeye akawa anakaushia kikamanda,mwisho tolu aka maindi na kuamua kufanya yake,maana alijua kabisa kuwa baba ataenda mbele na kumshtua hata papaa kuhusu mwizi wa vijiko vyake!! Basi ndiyo ikawa hivyo!! Binamu ameshamwonya Mama asijipitishe pitishe kwa tolu,naamini mama atazingatia hilo, sasa hivi tunafurahia ulanzi wetu bila bugudha,tolu anatumaindi kiaina ila anawaza kama baba alimshtua mama kuhusu ilw ishu,kwa hiyo ametulia tu,ila tuombe Mungu tusiishiww chumvi na mama aende kuomba kwa tolu!! Maana hilo ndilo analosubiri Tolu! Ngoja nimalizie tumbaku yangu.
Mama anajiandaa kwenda kwa jirani tolu
 
Back
Top Bottom