Hivi ilikuwaje kwa Prof. Jay na Rashida Wanjara?

Huyu dada alipaswa kuwa kashastaafu hizi mambo duh...hivi hajaolewa?)
 
Jay angetulia kwa Nice Chande. Hadi leo huyo mdada analipa balaa
Mara ya kwanza kumuona miraji live ni pale bestbite enzi izo ndio kiwanja alikuwa na kina langa wazee wa king'oko anawanunulia msosi. Mara kidogo kina pina wakaja na gari ina mziki mkubwa kinoma. Dizaini walikuja kinoma noma sana, madogo kina langa ikabidi wale winga. Me. Ilikuwa sielewi elewi maana nilikuwa tu pale nje namsubiri bro mmoja. Kuuliza ndio nikaambiwa beef lililopo. Long time kinyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Duh huu mji mzito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…