Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliachana Rashida alitoroka na mshikaji mmoja hivi mamton mpk alipagawa Mzee baba nusu awe chizi!!
Hivi yule fideline iranga ana uzuri gani hadi kuwa popular namna ile miaka iliyopita!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara ya kwanza kumuona miraji live ni pale bestbite enzi izo ndio kiwanja alikuwa na kina langa wazee wa king'oko anawanunulia msosi. Mara kidogo kina pina wakaja na gari ina mziki mkubwa kinoma. Dizaini walikuja kinoma noma sana, madogo kina langa ikabidi wale winga. Me. Ilikuwa sielewi elewi maana nilikuwa tu pale nje namsubiri bro mmoja. Kuuliza ndio nikaambiwa beef lililopo. Long time kinyama.Jay angetulia kwa Nice Chande. Hadi leo huyo mdada analipa balaa
Unaishia kuangalia mauno ya Kuna Aisha madinda tuu [emoji1787][emoji23]Aisee mjini kuna mambo bora sikupata hela enzi hizo maana nilikuwa nawatamanigi kwa macho nikiangalia salio halisomi naenda zangu pale mango nakula beer zangu naenda kulala.
Ndiyo mkuuUnaishia kuangalia mauno ya Kuna Aisha madinda tuu [emoji1787][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ndio deal zake hizo!Kawauza kina Odemba ,Kiwia na alikua anawalea nyumbani kwake ukifukuzwa kwenu anakupokea mradi utoe papa kwa madon
Sent using Jamii Forums mobile app
Saa ngapi aseeBunyero Bunyero maisha club(mwenge) kila j5 kiingilio buku 10, mzee ni shida. Kama hujawahi kuona papuchi live bila chenga tena hadharani nenda j5 ijayo utakuja uhadithie humu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jay angetulia kwa Nice Chande. Hadi leo huyo mdada analipa balaa
Hivi yule fideline iranga ana uzuri gani hadi kuwa popular namna ile miaka iliyopita!?
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo malaya haitwi RASHIDA anaitwa SHIDA WANJARA..nimesoma nae jitegemee sec school yeye akiwa mkondo wa C2 mimi nikiwa B3...huyu umalaya kaunza akiwa mdogo sana hawa wakiwa formOne tu tayar walikua wanaliwa na walimu pale jitegemee sec. na walikua na mtandao wao hatar tayari mashosti zake 3 wamefariki kwa umeme,..hawa walikua wanatoa mpaka tigo hapo ilikua 1998,huyu shida ukibahatika kukutane nae live aisee ni kama maiti iliyopakwa make up,huyu dada kapita na wasanii wengi wakubwa na ni mgonjwa anakula dozi kama kawa ni mtu mzima kweli mana mimi nina Miaka 41 yeye atakua na miaka mingapi?
Hapana mkuu, haya majina huwa nayasikiaga sema sikuwahi fahamu wadhifa wao.
Skendo gani mkuu?Mkuu huyo mdada naye ana skendo sasa sijui kama ni kweli au la!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umeweka avatar ya Amber Ruth una undugu nayeRashida kwa sasa anakula kwa kumpa mademu Mondi...
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..