Hivi ilikuwaje kwa Prof. Jay na Rashida Wanjara?

Hivi ilikuwaje kwa Prof. Jay na Rashida Wanjara?

Profesa Jay na Rashida Wanjara enzi hizo!
stream.php.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dada alipaswa kuwa kashastaafu hizi mambo duh...hivi hajaolewa?)
 
Jay angetulia kwa Nice Chande. Hadi leo huyo mdada analipa balaa
Mara ya kwanza kumuona miraji live ni pale bestbite enzi izo ndio kiwanja alikuwa na kina langa wazee wa king'oko anawanunulia msosi. Mara kidogo kina pina wakaja na gari ina mziki mkubwa kinoma. Dizaini walikuja kinoma noma sana, madogo kina langa ikabidi wale winga. Me. Ilikuwa sielewi elewi maana nilikuwa tu pale nje namsubiri bro mmoja. Kuuliza ndio nikaambiwa beef lililopo. Long time kinyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo malaya haitwi RASHIDA anaitwa SHIDA WANJARA..nimesoma nae jitegemee sec school yeye akiwa mkondo wa C2 mimi nikiwa B3...huyu umalaya kaunza akiwa mdogo sana hawa wakiwa formOne tu tayar walikua wanaliwa na walimu pale jitegemee sec. na walikua na mtandao wao hatar tayari mashosti zake 3 wamefariki kwa umeme,..hawa walikua wanatoa mpaka tigo hapo ilikua 1998,huyu shida ukibahatika kukutane nae live aisee ni kama maiti iliyopakwa make up,huyu dada kapita na wasanii wengi wakubwa na ni mgonjwa anakula dozi kama kawa ni mtu mzima kweli mana mimi nina Miaka 41 yeye atakua na miaka mingapi?

Duh huu mji mzito
 
Back
Top Bottom