Hivi ilikuwaje Pepe Kale akaimba ule wimbo wa "Yanga Africa?".

Hivi ilikuwaje Pepe Kale akaimba ule wimbo wa "Yanga Africa?".

Alilipwa usd 10k na gulamali,wasaniii wa congo hadi leo wanafanya sana hiyo kitu inaitwa mabanga mpe hela akutaje kwenye nyimbo au dau kubwa atunge nyimbo yako kabisa kama yule dada mbongo jasmine aliyemsaidia msuva vs wydad wanavyomrusha
 
Ungeanza Kwa kuuliza ilikuaje Pepe Kale atoe wimbo wa kuisifia Cameroon baada ya kutinga robo fainali ya world cup 1990.
Na kuwataja wakina Roger Miller, Emanuel Kunde, Fransis Omam Biyik , Seila Makanaky n.k?
Hii inasababu lakini kuimba team iliyobeba ligi kuu ya Tanzania ni kutumia nyimbo kinyume na maumbile ,Cameroon imefika robo fainali world cup Sasa yanga imefanya Nini
 
Wewe ushatungiwa nyimbo ngapi? Gani? na wasanii wap?
Usipende ujuaji kurahisisha mambo
Bob mbona hupendi kutumia akili? Yaani hili nalo unaliona ni gumu? Nyie mbona hampendi elimu na kujua nambo simple tu. Msanii au mwanamuziki yeyote unampa pesa anakutungia wimbo. Mimi sijahitaji kutungiwa wimbo sioni haja. Wewe baba yako alikwambia ilikuaje Pepe Kalle aliimba, aliagizwa na mungu? 😂 Nyie ndo Hersi alisema mnashindia mihogo mnakuwa hamna akili.
 
Anayejua hebu atujulishe kama je Pepe kale alifuatwa na Wadau akapewa dili?.

Viongozi/kiongozi mmoja alimpa dili akamlipa?. au ni mapenzi yake binafsi kwa timu ya Yanga?

Waulize Waganda balaa la Yanga pale Nakivubo
 
Ungeanza Kwa kuuliza ilikuaje Pepe Kale atoe wimbo wa kuisifia Cameroon baada ya kutinga robo fainali ya world cup 1990.
Na kuwataja wakina Roger Miller, Emanuel Kunde, Fransis Omam Biyik , Seila Makanaky n.k?
Huna akili
 
Alikuwa analipwa kama unaisikia nyimbo ya yanga kuna mtu anatajwa gulamari ndio alikuwa Rais wa yanga kipind icho na ndie alie mlipa
 
Huyo Abasi Gulamali si katajwa kwenye wimbo wenyewe hivyo kadesa tu huyo mtoto
[emoji23][emoji23][emoji23] mbna mnamshambulia huyu mtoto kajitaidi Sana kuimtaja Abbas gulamali

Lkn bado anaonekana amedesa[emoji23][emoji23]

Dogo umejitadi sana
 
Pepe Kale aliimba wimbo kusifia timu ya Cameroun ile ya Roger Miller, Makanaki, Biyiki, Nkono nk. Mwaka huo au uliofuata Yanga chini ya udhamini wa Gulamali enzi hizo mbunge wa Kilombero ilitwaa ubingwa wa CECAFA. Gulamali akampa tenda Pepe Kale kutunga wimbo wa pongezi kwa Yanga kwa hiyo alivuta pesa kwa kazi hiyo.
Aisee mnanifurahisha Sana hbr za yanga nazipenda haswa
 
Back
Top Bottom