Hivi inakuaje mtu kufanya hivi?

Hivi inakuaje mtu kufanya hivi?

There is no need for that Bro, after he knew then what, wanna get respect? Respect is earned but not that way I'm telling you, that day when he whined and uttered those unrespected word you were supposed to walk away blindly like nothing happened because he was not himself than "KISUNGURA" made him to.

I know you big man but when scene similar like that happen don't open wallet to prove who you are, don't fill holes that aren't yours let them be holes.

Hope I don't bother you 😊
Sure & thanks for advising let me promise you about what have you told me 🙏🙏
 
Shukuru sana Mungu kukuepusha na jaziba kuliko hayo mengine yaliyofuatia.

Mtu yeyote anapolewa akili hupungua uwezo wa kufanya kazi.

Kwa hiyo tabia chafu aliyokuonesha, saazingine si yake kwa kujiona yeye yupo juu ya kila mtu.

Ungeiruhusu hasira ikutawale, yawezekana muda huu usingeliweza kuandika hata hii thread kutokana na kibano mbacho ungelikuwa ukikipata aidha kwa kuua au kujeruhi, maana walevi wengi hufa kirahisi sana kutokana na kinga zao za mwili kuwa zipo chini.

Nasema tena ulitumia busara kubwa sana kuizuia hasira yako, pia jiepushe kupitia sehemu za walevi kama wewe mwenyewe hautumii pombe.
Shukrani mkuu
 
Hadithi za walevi ni kama hizo.Ujinga mwingi.
Una laki unajionesha kwa walevi.Wangezichukua na kukufanyia mambo mengine ungemlaumu nani.
Umeacha safari yako uliyopanga kwenda ili kumuonesha mlevi tu kuwa una pesa.
Acha ushamba wewe .Usiingie maeneo ya walevi bila sababu ya msingi na ukikutana nao usibishane nao.Shika njia yako na anza kuingia msikitini.
Ningekuwa muumini wa huko msikitini hakika nisingekuwa sarama mpaka Sasa mkuu

kwa jinsi ninavyo ifahamu misi mamo ya watu wa Allah
 
Au sio



Welcome
Wengi wanaokebehi waweke kwenye viatu vyako the same moments ungesikia kaua kwa kujichukulia sheria mkononi au tungekuwa tunacomment hapa hapa jukwaani kumpa pole na kusema hasira hasara.

Nawashauri msitukane wakunga na uzazi ungalipo wakuu. Hawa washihiri, na wanga wako kila kona. Mijini. Hii ni vile nchi ya Bongo Hata kama huna Begi la nguo waweza ishi jiji au mji wowote, ukashinda vijiweni kuwakera wenye ratiba na kazi zao.

Mimi nimekutana sana na huu uchuro, lakin nilipojua kudeal nao kwa plans nyingine unakaa mwezi ukienda pale pale kutoa hela unaona kila mtu kimya.

Vyakula vinapanda bei sababu wakulima wako mijini na kwenye majiji wanashinda vijiweni wakichuria wenye kazi na majimukumu yao, either amtafutie kesi apate kula, au akuvuruge upoteze hata cm au ufunguo ama hata akuibie nyota kwa kupandishiana nae. Hao sio wajinga kama unavyowaona. Wako kazini kwa mission maalum. Na hawana cha kupoteza.
 
1. "R" na "L" ni shida sana kwenye hii nchi.
2. "Maziwa mabichi"!!!!! ndio huko usukumani mnamaanisha maziwa fresh?
3. Kumbe zile vocha za kukwangua bado zipo?
Ahsante kwa ufafanuzi, Namba 2 hapo sikuelewa kabisa
 
Back
Top Bottom