Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
- Thread starter
-
- #121
Sure & thanks for advising let me promise you about what have you told me 🙏🙏There is no need for that Bro, after he knew then what, wanna get respect? Respect is earned but not that way I'm telling you, that day when he whined and uttered those unrespected word you were supposed to walk away blindly like nothing happened because he was not himself than "KISUNGURA" made him to.
I know you big man but when scene similar like that happen don't open wallet to prove who you are, don't fill holes that aren't yours let them be holes.
Hope I don't bother you 😊
Kivipi boss wangu?Aisee suara ra hera rimereta tafrani hasa...
Shukrani mkuuShukuru sana Mungu kukuepusha na jaziba kuliko hayo mengine yaliyofuatia.
Mtu yeyote anapolewa akili hupungua uwezo wa kufanya kazi.
Kwa hiyo tabia chafu aliyokuonesha, saazingine si yake kwa kujiona yeye yupo juu ya kila mtu.
Ungeiruhusu hasira ikutawale, yawezekana muda huu usingeliweza kuandika hata hii thread kutokana na kibano mbacho ungelikuwa ukikipata aidha kwa kuua au kujeruhi, maana walevi wengi hufa kirahisi sana kutokana na kinga zao za mwili kuwa zipo chini.
Nasema tena ulitumia busara kubwa sana kuizuia hasira yako, pia jiepushe kupitia sehemu za walevi kama wewe mwenyewe hautumii pombe.
Ningekuwa muumini wa huko msikitini hakika nisingekuwa sarama mpaka Sasa mkuuHadithi za walevi ni kama hizo.Ujinga mwingi.
Una laki unajionesha kwa walevi.Wangezichukua na kukufanyia mambo mengine ungemlaumu nani.
Umeacha safari yako uliyopanga kwenda ili kumuonesha mlevi tu kuwa una pesa.
Acha ushamba wewe .Usiingie maeneo ya walevi bila sababu ya msingi na ukikutana nao usibishane nao.Shika njia yako na anza kuingia msikitini.
Anatoka mda wa kazi kukimbilia nyumbani anamshangaa anaejiburudisha muda huohuo.Ofisini kwenu mnajishughulisha na nini bro.....
Af kumbe vipesa vyenyewe Sina zaidi ya kuchunguza maisha ya watu jf boss wanguBila shaka wewe ni bonge, kwakua unachomekea basi wanahisi una vipesa wanakuita big
Acha kuingia bar Kama huna heraHuna "Hera"
Hakili inatosha kuwa kalisha wapuuzi Kama hawaBig umejaa manyama nyama ndio maana madogo wanaleta kiburi...anza mazoezi
Kapewa na umemkata
Kaka unaonaje nikaja kuongeza nguvu hapo ofisini kwenu muda naokuwa huru kiratiba.Mazao boss Kama mahindi,soya,karanga,ulezi,nk karibu mkuu
Dah... Ufahari mama wa ujinga🤣Wapumbavu mmekutana
Uyo dogo siku nyingne atakudhalilisha tena,Hakili inatosha kuwa kalisha wapuuzi Kama hawa
Wengi wanaokebehi waweke kwenye viatu vyako the same moments ungesikia kaua kwa kujichukulia sheria mkononi au tungekuwa tunacomment hapa hapa jukwaani kumpa pole na kusema hasira hasara.Au sio
Welcome
😂we bigi
Ahsante kwa ufafanuzi, Namba 2 hapo sikuelewa kabisa1. "R" na "L" ni shida sana kwenye hii nchi.
2. "Maziwa mabichi"!!!!! ndio huko usukumani mnamaanisha maziwa fresh?
3. Kumbe zile vocha za kukwangua bado zipo?