Pre GE2025 Hivi inakuwaje CCM imara kabisa itumie njia za gizani gizani kushinda uchaguzi!?

Pre GE2025 Hivi inakuwaje CCM imara kabisa itumie njia za gizani gizani kushinda uchaguzi!?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Machawa humu ndani wanasifia kila kukicha kwamba ccm ni chama imara sana, ni kwa nini wanatumia mipango myeusi myeusi kushinda chaguzi!?

Maana walisema yaliyotokea 2019 hayatatokea tena.

Hawa wanaokiri kwamba 2019 hali haikuwa sawa ndio haohao walikuwa wanasifia sana wakati huo ila leo wanasema hali haikuwa sawa kwa namna hiyo ukija utawala mwingine watakosoa na kukiri kuwa hali haikuwa sawa.

Sasa ni kwa nini CCM isijipime ubavu wa nguvu zake kwa kuachana na haya mambo meusi!?

Kukata majina ya wapinzani kwa sababu ambazo wanaCCM wanapitishwa tu. Kumweka msimamizi mkuu wa uchaguzi ambaye naye ni mnufaika.
 
Sasa hivi utasikia gentleman huwo ni uzishi na uzandiki.
 
Hao ni mabingwa wa kuharibu uchaguzi na kuiba kura. Wasipofanya hivyo watapata kura chini ya asilimia 5.

Ni kama demu anayepost picha kali mitandaoni kumbe ni filter tu. Ukimuona live unakimbia, yaani ni man to man.

Ni kama vile demu anayevaa kigodoro ili aonekane ana tako kubwa. Ila akivua kigodoro ni flat screen.
 
Ccm wanabebwa na mbeleko ya dola ambayo inabariki uovu na kesho viongozi wake wanaenda miskitini na makanisani.
 
MWALIMU ALIACHA MAADUI WATATU.

1.Umasikini
2.ujinga.
3.maradhi.

SAIZI WAMEZALIWA

UJINGA NA UPUMBAVU.
UMASIKINI NA ULOFA.
MAGONJWA NA MARADHI.
RUSHWA
UKOSEFU WA AJIRA.
MMONYOKO WA MAADILI.
CCM
MACHAWA. NK.


TAIFA LIMEANGAMIA
Mkuu kwenye bold ndio hatare tupu!
 
Hizo huwa ni porojo zakujifariji ila ata wao wanajua bila hila na fitina kwa wapinzani wao hawana ushawishi wowote.Ukiondoa mgongo wa vyombo vya dola na serikali hicho chama nisawa na mbwa bila meno ndo maana wanaogopa ushindaji.ukijiamini huwezi kumdhoofisha mpinzani wako kwa hila.
 
Machawa humu ndani wanasifia kila kukicha kwamba ccm ni chama imara sana, ni kwa nini wanatumia mipango myeusi myeusi kushinda chaguzi!?

Maana walisema yaliyotokea 2019 hayatatokea tena.

Hawa wanaokiri kwamba 2019 hali haikuwa sawa ndio haohao walikuwa wanasifia sana wakati huo ila leo wanasema hali haikuwa sawa kwa namna hiyo ukija utawala mwingine watakosoa na kukiri kuwa hali haikuwa sawa.

Sasa ni kwa nini CCM isijipime ubavu wa nguvu zake kwa kuachana na haya mambo meusi!?

Kukata majina ya wapinzani kwa sababu ambazo wanaCCM wanapitishwa tu. Kumweka msimamizi mkuu wa uchaguzi ambaye naye ni mnufaika.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 3
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 6
  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 3
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
Ukweli ni kwamba upinzani umepoteza dira na kibaya zaidi hamtaki kurekebisha mlipojikwaa badala yake na nyinyi mnaleta siasa
 
Hizo huwa ni porojo zakujifariji ila ata wao wanajua bila hila na fitina kwa wapinzani wao hawana ushawishi wowote.Ukiondoa mgongo wa vyombo vya dola na serikali hicho chama nisawa na mbwa bila meno ndo maana wanaogopa ushindaji.ukijiamini huwezi kumdhoofisha mpinzani wako kwa hila.
CCM haiwezi kushinda kwa haki hata kidogo
 
Inawezekanaje useme mshindani wako hana mbio ila mkianza shindano unamkata mtama!! Alafu unajisifu kwamba una mbio!?
Mlisimamisha wagombea wangapi nchi mzima?
Sidhani kama mmefika hata 10%

Hamuwezi kuwa wapinzani Kwa kelele za mitandaoni wakati wenzenu wapo on the ground
 
Mlisimamisha wagombea wangapi nchi mzima?
Sidhani kama mmefika hata 10%

Hamuwezi kuwa wapinzani Kwa kelele za mitandaoni wakati wenzenu wapo on the ground
Hao waliosimamishwa wamekatwa kwa sababu ambazo wanaccm wanazo lkn ccm wamepitishwa inahitaji usiwe na aibu kabisa ili kutetea huu uharamia
 
Back
Top Bottom