Pre GE2025 Hivi inakuwaje CCM imara kabisa itumie njia za gizani gizani kushinda uchaguzi!?

Pre GE2025 Hivi inakuwaje CCM imara kabisa itumie njia za gizani gizani kushinda uchaguzi!?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Machawa humu ndani wanasifia kila kukicha kwamba ccm ni chama imara sana, ni kwa nini wanatumia mipango myeusi myeusi kushinda chaguzi!?

Maana walisema yaliyotokea 2019 hayatatokea tena.

Hawa wanaokiri kwamba 2019 hali haikuwa sawa ndio haohao walikuwa wanasifia sana wakati huo ila leo wanasema hali haikuwa sawa kwa namna hiyo ukija utawala mwingine watakosoa na kukiri kuwa hali haikuwa sawa.

Sasa ni kwa nini CCM isijipime ubavu wa nguvu zake kwa kuachana na haya mambo meusi!?

Kukata majina ya wapinzani kwa sababu ambazo wanaCCM wanapitishwa tu. Kumweka msimamizi mkuu wa uchaguzi ambaye naye ni mnufaika.
CCM ni ileile
 
Machawa humu ndani wanasifia kila kukicha kwamba ccm ni chama imara sana, ni kwa nini wanatumia mipango myeusi myeusi kushinda chaguzi!?

Maana walisema yaliyotokea 2019 hayatatokea tena.

Hawa wanaokiri kwamba 2019 hali haikuwa sawa ndio haohao walikuwa wanasifia sana wakati huo ila leo wanasema hali haikuwa sawa kwa namna hiyo ukija utawala mwingine watakosoa na kukiri kuwa hali haikuwa sawa.

Sasa ni kwa nini CCM isijipime ubavu wa nguvu zake kwa kuachana na haya mambo meusi!?

Kukata majina ya wapinzani kwa sababu ambazo wanaCCM wanapitishwa tu. Kumweka msimamizi mkuu wa uchaguzi ambaye naye ni mnufaika.
CCM ni chama dhaifu kabisa ambacho hakiwezi kushinda uchaguzi wowote bila mbeleko ya vyombo vyote vya dola. Kingekuwa imara wangeweka uwanja sawa ili wapiga kura ndiyo waamue. Kitendo cha kuitumia Tamisemi kuengua wagombea wa upinzani ni ishara ya wazi ya woga wa CCM kushindana na wapinzani wake kisiasa.
 

Attachments

  • JamiiForums-979014263.jpeg
    JamiiForums-979014263.jpeg
    63 KB · Views: 1
Mlisimamisha wagombea wangapi nchi mzima?
Sidhani kama mmefika hata 10%

Hamuwezi kuwa wapinzani Kwa kelele za mitandaoni wakati wenzenu wapo on the ground
Wewe taarifa za kwamba wapinzani wamesimamisha wagombea 10% ulizipata wapi kama siyo mitandaoni?
Unaishi wapi hapa Tanzania? Unalijua lilipo jimbo la kawe? Unajua population characteristics zake? Unakubali kwamba wagombea wote jimbo la kawe walikuwa hawana sifa na wale wote wa ccm kutoka jimbo la bumbuli wanazo sifa?
Unamjua mwenyekiti anayeitwa huru wa kamati ya rufaa? Ni nani kwa cheo? Das anapatikanaje?
Tuache unafiki! Tuwe wakweli bila dola ccm haiwezi.
Mwaka mmoja huko Tanganyika nilipanda gari ya DSO lift. Ilikuwa ni uzinduzi wa kampeni za ccm. Ndani ya ile gari yule mzee alikuwa amepakia madera, khanga na tshirts ya ccm kwa ajili ya kuwagawia watu na huku anauliza kwa simu " mtaa fulani mmeshawapa"?
Huyo ni afisa usalama wa wilaya halafu anatokea mbwiga mmoja anasema gentleman siasa ni kujipanga?
 
Machawa humu ndani wanasifia kila kukicha kwamba ccm ni chama imara sana, ni kwa nini wanatumia mipango myeusi myeusi kushinda chaguzi!?

Maana walisema yaliyotokea 2019 hayatatokea tena.

Hawa wanaokiri kwamba 2019 hali haikuwa sawa ndio haohao walikuwa wanasifia sana wakati huo ila leo wanasema hali haikuwa sawa kwa namna hiyo ukija utawala mwingine watakosoa na kukiri kuwa hali haikuwa sawa.

Sasa ni kwa nini CCM isijipime ubavu wa nguvu zake kwa kuachana na haya mambo meusi!?

Kukata majina ya wapinzani kwa sababu ambazo wanaCCM wanapitishwa tu. Kumweka msimamizi mkuu wa uchaguzi ambaye naye ni mnufaika.
CCM ni weupe kabisa hawana uimara wanaotupigia kelele.
 
Back
Top Bottom