Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
CCM ni ileileMachawa humu ndani wanasifia kila kukicha kwamba ccm ni chama imara sana, ni kwa nini wanatumia mipango myeusi myeusi kushinda chaguzi!?
Maana walisema yaliyotokea 2019 hayatatokea tena.
Hawa wanaokiri kwamba 2019 hali haikuwa sawa ndio haohao walikuwa wanasifia sana wakati huo ila leo wanasema hali haikuwa sawa kwa namna hiyo ukija utawala mwingine watakosoa na kukiri kuwa hali haikuwa sawa.
Sasa ni kwa nini CCM isijipime ubavu wa nguvu zake kwa kuachana na haya mambo meusi!?
Kukata majina ya wapinzani kwa sababu ambazo wanaCCM wanapitishwa tu. Kumweka msimamizi mkuu wa uchaguzi ambaye naye ni mnufaika.
CCM ni chama dhaifu kabisa ambacho hakiwezi kushinda uchaguzi wowote bila mbeleko ya vyombo vyote vya dola. Kingekuwa imara wangeweka uwanja sawa ili wapiga kura ndiyo waamue. Kitendo cha kuitumia Tamisemi kuengua wagombea wa upinzani ni ishara ya wazi ya woga wa CCM kushindana na wapinzani wake kisiasa.Machawa humu ndani wanasifia kila kukicha kwamba ccm ni chama imara sana, ni kwa nini wanatumia mipango myeusi myeusi kushinda chaguzi!?
Maana walisema yaliyotokea 2019 hayatatokea tena.
Hawa wanaokiri kwamba 2019 hali haikuwa sawa ndio haohao walikuwa wanasifia sana wakati huo ila leo wanasema hali haikuwa sawa kwa namna hiyo ukija utawala mwingine watakosoa na kukiri kuwa hali haikuwa sawa.
Sasa ni kwa nini CCM isijipime ubavu wa nguvu zake kwa kuachana na haya mambo meusi!?
Kukata majina ya wapinzani kwa sababu ambazo wanaCCM wanapitishwa tu. Kumweka msimamizi mkuu wa uchaguzi ambaye naye ni mnufaika.
Huyu anayetumia neno gentleman ni ana akili ndogo sana.Sasa hivi utasikia gentleman huwo ni uzishi na uzandiki.
Wewe taarifa za kwamba wapinzani wamesimamisha wagombea 10% ulizipata wapi kama siyo mitandaoni?Mlisimamisha wagombea wangapi nchi mzima?
Sidhani kama mmefika hata 10%
Hamuwezi kuwa wapinzani Kwa kelele za mitandaoni wakati wenzenu wapo on the ground
CCM ni weupe kabisa hawana uimara wanaotupigia kelele.Machawa humu ndani wanasifia kila kukicha kwamba ccm ni chama imara sana, ni kwa nini wanatumia mipango myeusi myeusi kushinda chaguzi!?
Maana walisema yaliyotokea 2019 hayatatokea tena.
Hawa wanaokiri kwamba 2019 hali haikuwa sawa ndio haohao walikuwa wanasifia sana wakati huo ila leo wanasema hali haikuwa sawa kwa namna hiyo ukija utawala mwingine watakosoa na kukiri kuwa hali haikuwa sawa.
Sasa ni kwa nini CCM isijipime ubavu wa nguvu zake kwa kuachana na haya mambo meusi!?
Kukata majina ya wapinzani kwa sababu ambazo wanaCCM wanapitishwa tu. Kumweka msimamizi mkuu wa uchaguzi ambaye naye ni mnufaika.