Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Duh...!.Ieleweke, ujinga siyo tusi.
Hivi inakuwaje familia fulani unakuta mwanamke ndiyo msemaji wa mwisho? Ama mwanamke unakuta eti anamzidi kila kitu mwanamme wake?!
Binafsi kwa maoni yangu ni USHAMBA NA UJINGA KUKUBALI KUONGOZWA NA MWANAMKE KWA NAMNA YEYOTE ILE.
Mwanamke lake jiko na kutangulia chini na si vinginevyo.
Marekani wenyewe hawautaki huo ujinga!
Haswaaa!mwanamke
kazi yake
ni kupika
Kabisa ndugu yangu.
Du!Hata nchi kuongozwa na mwanamke ni ujuha.
Ndiyo maana Marekani wamemkataa Harris kwa nguvu zao zote.
Inasononesha sana ndugu yangu.Duh...!.
P