Hivi inakuwaje familia fulani unakuta mwanamke ndiyo msemaji wa mwisho?

Hivi inakuwaje familia fulani unakuta mwanamke ndiyo msemaji wa mwisho?

Nyumba inayoongozwa na mwanamke wakati mwanaume yupo, yule baba huitwa bwege. Je, wanaume wa Tanzania ni mabwege?
 
Familia kuongozwa na mwanamke ujue mwanaume ni bwege wa kupindukia,haiwezekani kwenye familia muwe wanaume wawili
 
Ieleweke, ujinga siyo tusi.

Hivi inakuwaje familia fulani unakuta mwanamke ndiyo msemaji wa mwisho? Ama mwanamke unakuta eti anamzidi kila kitu mwanamme wake?!

Binafsi kwa maoni yangu ni USHAMBA NA UJINGA KUKUBALI KUONGOZWA NA MWANAMKE KWA NAMNA YEYOTE ILE.

Mwanamke lake jiko na kutangulia chini na si vinginevyo.

Marekani wenyewe hawautaki huo ujinga!
Ukibanwa Pumbu ndio utaelewa ni Ushamba au Ujanja
 
Dunia yenyewe imekataa kuongozwa na mwanamke. Unadhani 🇺🇸 kutompa Kamala urais ni bahati mbaya, ukikubali kuongozwa na Ke kama Tanzania ilivyofanya you're in big trouble.
 
Kazi ya mwanamke sio tu kupika Tujipe muda wa kusoma hata vitabu vya dini aise...
 
Back
Top Bottom