Hivi inakuwaje msomi wa mambo ya fedha hajui shilingi Elfu 10 ina mnyama gani? Anashindwa kujibu kwenye interview

Kwa hiyo ambao walikuwa na elfu 10 mfukoni, walikuwa na vibomu..

Wameshindwa kupiga chabo? Au uchumi mgumu walikosa mwekundu wa msimbazi[emoji23][emoji848]
 

mnaulizaje swali la hivi? lengo ilikuwa kukomoana? hata ww yapo simple questions ukiulizwa hutoweza kujibu

acheni tabia za kukomoana ktk maswali, ulizeni maswali ya msingi
 
mnaulizaje swali la hivi? lengo ilikuwa kukomoana? hata ww yapo simple questions ukiulizwa hutoweza kujibu

acheni tabia za kukomoana ktk maswali, ulizeni maswali ya msingi
mbaazi akikosa maua husingizia jua wewe mmojawapo
 
Ila nae alietunga maswali dah. Okay, ndio Tanzania.

Mimi imebidi nigoogle maana nilidhania Simba (ndio maana jina wekundu wa msimbazi).

View attachment 1719435View attachment 1719436View attachment 1719437
Jina la Wekundu wa msimbazi lilitokana na hapo zamani kulikuwa ni eneo ambalo manyani/baboon walikuwa wakiishi. Wazalamo waliwaita WE-KUNDU wa MSIMBAZI, kutokana na "physiology" ya nyani anapokuwa JOTO/HEAT kwa nyuma/vulva huwa nyekundu hivyo ndiyo maana hata hao jamaa zetu waliamua kuitwa WE-KUNDU kwa vile ofisi zao walijengea JANGWANI. Kwa hiyo yeyote anayeshabikia hajui kama nashabikia MINYANI....yaani WE-KUNDU WA MSIMBAZI. Over
 
kazi yenu ili
kuwa kupata mfanyakazi bora au ni kuchuja wafanyakazi swali kama hilo haliwezi kukupatia mtu bora ni swalila kipuuzi lisilo na maana yeyote..
 
Kwani mtaala wa fani zao una sehemu watu wanapaswa ku cover Alama katika pesa..?
Kama hakuna basi hio knowledge haina mashiko.
 
Maswali gani ya kijinga hayo mnatunga au ndiyo mbinu ya kupunguza watu? Sasa mtu akijua kwenye noti ya elf 10 kuna Tembo, ndiyo anakuwa kompitenti? Acheni kutunga maswali ya kukomoa.......tungeni maswali performance based questions..........maswali yako mengi tu ya kumpima candidate.......
 
Elimu ya mitano tena

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi usomi ni kujua elfu kumi ina mnyama gani?halafu ukishajua elfu kumi ina mnyama gani au ukijua elfu kumi ina kichwa cha jiwe ndio inaongeza tija gani kwenye maendeleo ya nchi?
Yaani watu waache kufocus mambo makubwa na ya msingi eti waanze kufocus elfu kumi ina mnyama gani?
Kwa haraka haraka hapo mimi nimekuona wewe ndio kilaza kuliko hao uliwafanyia interview kwa sababu elfu kumi kuwa na mnyama sio kitu standard wanaweza kuibadilisha picha anytime wakaweka nyingine.
 
Duuh
 
wabongo waliopewa vitengo ni mbumbumbu tu.
Eti kumjua mnyama wa kwenye noti ndio kigezo cha mtu kupata kazi ina mantiki gani sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…