Mkuu Isanga hata Mimi mwananchi wa kawaida umenipandisha cheo hivyo, wasalimie hapo Makasini UyoleKwa kodi zinazoongezwa tutaendesha sana hizo A maana kodi mnaweka juu kwenye vikao vyenu tukishindwa kulipia kodi mashine za maana kama hizi mnatuanzishia nyuzi daah..View attachment 3226357
Haiwezi kuwa engine au body ni ya huo mwaka. Ni design tu zinakuwa retro.Wee unashanga A na B . Kunachuma za 1960s bado Zipo road
Kuna gari A na B Zina mileage ya 24,000 KM and we'll maintained, Kuna ubaya gani?Mnafahamu kwamba unahatarisha afya yako?! Kwa kuendesha magari mabovu kama haya ya namba A na B na C hata kama unalifanyia matengenezo...unajua unaendesha gari lililoekspaya mamoshi na mainjini yanatoa gesi chafu! View attachment 3226350
View attachment 3226349
MY TAKE:
Uza hiyo gari iuzwe chuma chakavu, acha kuhatarisha usalama wako na familia yako. Wengine wanasafiri nayo umbali mrefu. Too risky.
INAWEZEKANA MIMI NILIJUA HUO MUDA, KWA ENGINE INAYOTUMIKA, YAANI ENGINE YA GARI HII, UMEMTUNZA SANA LABDA MIKA 10, KUMBE HATA KWA GARI ILIYOPAKI INAENDA SAWA,Engines zina span namba A obvious ni gari ya miaka 30 bado tuna...huoni hatari ya masumu...ndio sababu nchi nyie sana duniani haziruhusu magari makuu kutembea...na magari yao lazima yakidhi utoaji wa gesi.......ndio sababu unaona China anaenda kuwa superpower sababu ya magari salama EVs ambayo ni salama kwa mazingira na afya ya matumizi...tumia gari kimeo at your own risk...
Wewe ndo wale maskini akipata.Mnafahamu kwamba unahatarisha afya yako?! Kwa kuendesha magari mabovu kama haya ya namba A na B na C hata kama unalifanyia matengenezo...unajua unaendesha gari lililoekspaya mamoshi na mainjini yanatoa gesi chafu! View attachment 3226350
View attachment 3226349
MY TAKE:
Uza hiyo gari iuzwe chuma chakavu, acha kuhatarisha usalama wako na familia yako. Wengine wanasafiri nayo umbali mrefu. Too risky.
Nina Nissan ina namba AKB..., ni kama mpya.Mnafahamu kwamba unahatarisha afya yako?! Kwa kuendesha magari mabovu kama haya ya namba A na B na C hata kama unalifanyia matengenezo...unajua unaendesha gari lililoekspaya mamoshi na mainjini yanatoa gesi chafu! View attachment 3226350
View attachment 3226349
MY TAKE:
Uza hiyo gari iuzwe chuma chakavu, acha kuhatarisha usalama wako na familia yako. Wengine wanasafiri nayo umbali mrefu. Too risky.
Vintage ukisha toa engine yake ukaweka hizo unazosema Ni za kisasa hapo tayari it's valueless.Only Car enthusiast ndo watanielewa ninachokisema hapa.Wenye uwezo wa vintage wana customize engine kuwa ya kisasa kwa muundo wa zamani na hiyo wanafanya huko USA na Dubai plus UAE wenye uchumi mkubwa maana gharama ya ku customize vintage ni sawa au zaidi ya kuinunua super car...acha magari mabovu mkuu
Hapo kwenye Corolla hapo,.🙌🙌Kuna vi Carina na Corolla kanavyokaa ndio unavyozidi kukapenda vile vigari namba A unakuta inadai kabisa
Mshaanza kutusema kwa ubaya A na B zinashida gani 😂😂😂Mnafahamu kwamba unahatarisha afya yako?! Kwa kuendesha magari mabovu kama haya ya namba A na B na C hata kama unalifanyia matengenezo...unajua unaendesha gari lililoekspaya mamoshi na mainjini yanatoa gesi chafu! View attachment 3226350
View attachment 3226349
MY TAKE:
Uza hiyo gari iuzwe chuma chakavu, acha kuhatarisha usalama wako na familia yako. Wengine wanasafiri nayo umbali mrefu. Too risky.
Sina gari Sina mpango wa gari ila nauliza namba A B C ZINA MAKOSA GANI AU SIFA GANI NA KWANINI ZIWE A B C. WAKATI NI ALAMA NZURI ZA UFAULI DARASANI KWANINI SIO 0 NA F NA EMnafahamu kwamba unahatarisha afya yako?! Kwa kuendesha magari mabovu kama haya ya namba A na B na C hata kama unalifanyia matengenezo...unajua unaendesha gari lililoekspaya mamoshi na mainjini yanatoa gesi chafu! View attachment 3226350
View attachment 3226349
MY TAKE:
Uza hiyo gari iuzwe chuma chakavu, acha kuhatarisha usalama wako na familia yako. Wengine wanasafiri nayo umbali mrefu. Too risky.
Wiiivuuu,wiivuuu mama wivuuuuMshaanza kutusema kwa ubaya A na B zinashida gani 😂😂😂
Kwani hizi namba zinawakilisha nini maana kuna usafiri mwingine umetunzwa lkn namba A 😂imenyookaWiiivuuu,wiivuuu mama wivuuuu
Hakuna lolote😂 waswahili utatuwezaa
Ukiweka injini Mpya wewe ni mbabe, sio useme injini Mpya kumbe used ya Ilala Mtumishispare za gari zinapatikana unaweza ukaikarabati kwa kubadilisha spare za zamani na kuweka mpya ,hata engine unaweza ukaweka mpya,..
Mfano unaweza ukanunua gari kwa kuipendea uimara wa bodi yake tu hata kama engine na vifaa vingine vimechakaa ukabadikisha ukaweka spare mpya.
Kuna gari namba D nyingine ukikutana nazo zimechoka kuliko hata namba B.Service ya gari ,ukarabati na utunzaji wa gari ndio hufanya gari kuwa nzima
,BODI YA GARI IKIWA NGUMU KAMA COROLLA NA RAV 4 utakuwa unapaka rangi tu na kubadili spare mbovunkwa kuweka mpya na gari itaendelea kuwa nzima hata kama ni namba A.
BODI YA GARI IKIWA MAYAI/KARATASI/LAINI hata kama ni namba E itawahi kuchakaa kwa muonekano wa nje bodi hata kama engine ni nzima ila muonekano wa bodi utawahi kuchakaa.
Mfano bodi ya RAV 4 old model na bodi ya corolla old model ni ngumu sana ,na zinadumu sana hazichakai upesi.
..baadaye zinakuwa ni VINTAGE cars, zinauzwa mara dufu ya bei iliyoninuliwa ikiwa mpyaKuna gari A na B Zina mileage ya 24,000 KM and we'll maintained, Kuna ubaya gani?
Wanatisha watu tuu,.🤪Kwani hizi namba zinawakilisha nini maana kuna usafiri mwingine umetunzwa lkn namba A 😂imenyooka