Hivi inakuwaje mtu unaendesha gari namba 'A' au 'B'

Hivi inakuwaje mtu unaendesha gari namba 'A' au 'B'

We nae chizi tu.

Nmesema endapo mwaka 2010 mtu alinunua hilux zero km kutoka toyota akapewa namba B au C (series ilikua hapo), na huuhuu mwaka 2025 mtu mwingine akaja kununua hilux ya 2009 used from japan akapewa E sabab series imefikia hapo. Je gari ya nani ni chakavu zaidi? Tatizo mnatumia matako kufikiri, na vijambio kuongea
Mkuu, hapo hawana tofauti yoyote maana zote tayari ni used from manufacture year (2009) zote zina umri sawa tofauti itakuja kwenye matumizi, matunzo na mazingira kwamba moja imetumika bongo ingine imetumika jp.

Iliyotumika bongo leo itakuwa namba B (2010) na iliyotumika jp leo inaingia na E, japo ya bongo inaweza kuwa bado mbichi kuliko ya jp and vice versa is true…

Nahitimisha kwa kusema namba iwe A au E sio kigezo cha kupima uchakavu wa gari bali matunzo ya gari ni kasumba tu afterall huwezi kukimbizana na namba, zinakimbia kama iPhone😄
 
Kwanza hizi namba zinafaa kuwa randomized tu eg. tunapoanza no. FAA mfumo uupload no zote from T 101 FAA - T 999 ZZZ then mtu akisajili gari mfumo unapick any number in between. Zikiisha tuna re-write on namba zote zilizokuwa written off.. yaani mwaka 2060 unaweza kusajili gari ukapata namba T 230 AAT 😄😄imekaaje hii..

Sema hii itawasaidia hata hao wenye VXR 2024 za namba AKU wasijulikane vizuri.
 
Isanga family, huyu jamaa mleta uzi kazingua sana. Karusha jiwe porini limepiga mzinga wa nyuki, na wengi tumekimbia😂😂😂😂😂

Jamaa anayo hoja. 95% ya magari ya Tz ni mitumba pro max. Inaniuma lakini ukweli ni kwamba gari ya 10-15+ years emission yake ni kubwa sana. Ndo unaambiwa zile stories zetu pendwa kwamba gari za Europe zinazingua..hazina spare parts. You buy 15+ plus vehicle unataka isiwe na shida….

Ndo maana bongo gari ya 2015 au hata chini ya hapo tunaambiwa ni new model.

Mleta uzi umezingua sana. Unatusema wengi humu.

If you know, you know.
Nipo Kazungula mpaka wa Zambia na Botswana wahuni tu Wazambia niliiongoza nao wametoka na vyuma kutoka SA ni hatari hizi gari kwa kodi ya Tanzania inatakiwa ujipange kweli sema Wabongo tunapenda kujitutumua sehemu ambayo hakuna waazambia wanasukuma mashine za ukweli sana kwa sababu Zambia kodi sio kubwa sana kwa hizi gari.
20250208_104038.jpg
20250208_104036.jpg
20250208_130017.jpg
 
Mitsubishi outlander

Fuel: Petrol

Capacity: 2350 cc

Drive: 2WD/4WD/LD options

Colour: Silver

Year:2006

Mileage: 158791 km

Hauhitaji services na ninakupa receipt za service iliyofanyika january mwishoni.

Price 19 million (negotiable)

0714273122/0622563792

Location : Dar es salaam
 

Attachments

  • IMG-20250209-WA0051.jpg
    IMG-20250209-WA0051.jpg
    66.8 KB · Views: 2
  • IMG-20250209-WA0048.jpg
    IMG-20250209-WA0048.jpg
    42.2 KB · Views: 2
  • IMG-20250209-WA0050.jpg
    IMG-20250209-WA0050.jpg
    59.5 KB · Views: 2
  • IMG-20250209-WA0047.jpg
    IMG-20250209-WA0047.jpg
    60.3 KB · Views: 2
  • IMG-20250209-WA0049.jpg
    IMG-20250209-WA0049.jpg
    63.5 KB · Views: 3
  • IMG-20250209-WA0046.jpg
    IMG-20250209-WA0046.jpg
    75.1 KB · Views: 3
  • IMG-20250209-WA0043.jpg
    IMG-20250209-WA0043.jpg
    131.2 KB · Views: 3
  • IMG-20250209-WA0044(1).jpg
    IMG-20250209-WA0044(1).jpg
    96.7 KB · Views: 3
  • IMG-20250209-WA0045.jpg
    IMG-20250209-WA0045.jpg
    92.9 KB · Views: 3
  • IMG-20250209-WA0044.jpg
    IMG-20250209-WA0044.jpg
    96.7 KB · Views: 3
Back
Top Bottom