Hivi inakuwaje mwanadamu mwenye akili timamu anakaa ofisini kuwafanyia watu kazi kwa zaidi ya miaka mitano?

Hivi inakuwaje mwanadamu mwenye akili timamu anakaa ofisini kuwafanyia watu kazi kwa zaidi ya miaka mitano?

Maisha ni harakati kama umejiajiri nakusihi sana heshimu wale unaofanya nao kazi utafika mbali, unless otherwise utakuja kuona hali sio maana unaleta kiburi, unadhani kwa nini tukiita kikao na wafanyakazi wanaokusaidia kazi unawaeleza maneno kama hii kampuni bila ninyi haiwezi kufika mbali, ninyi ndio wamiliki wa hii biashara tuitunze kwa pamoja hapo unajaribu kubuni na ufanisi wa kiutendaji ili mambo yaende mbele
😀😀😀😀😀Mkuu mada umeielewa lkn
 
Habari za Leo wakuu,

Leo nilikua najaribu kuiuliza akili yangu swali lifutalo.

Hivi inakuwaje mwanadamu mwenye akili timamu anakaa ofisini kuwafanyia watu kazi kwa zaidi ya miaka mitano?

Yaani kwamba mwanadamu unafanya kazi za watu ambazo sio zako.

Yaani hapo ndio najiuliza, wakuu.

Wakuu hebu tujadili hii mada. Inakuwaje unaishi kwa kutumwa kwa miaka mitano?
Hata mama nitilie anatumwa na walaji, mfuga kuku anatumwa na wateja wake, President, Mawaziri na wabunge wote wanatumwa na wananchi. Embu tueleze kazi unayofanya wewe hiyo ni ya namna gani, Au unafanyia mbinguni?
 
Habari za Leo wakuu,

Leo nilikua najaribu kuiuliza akili yangu swali lifutalo.

Hivi inakuwaje mwanadamu mwenye akili timamu anakaa ofisini kuwafanyia watu kazi kwa zaidi ya miaka mitano?

Yaani kwamba mwanadamu unafanya kazi za watu ambazo sio zako.

Yaani hapo ndio najiuliza, wakuu.

Wakuu hebu tujadili hii mada. Inakuwaje unaishi kwa kutumwa kwa miaka mitano?
Wakati unajiuliza hilo, hukujiuliza inakuwaje unatumia Mtandao wa Jamii Forums aliobuniwa na mtu mwingine na sio wewe?
 
Hapo unawatumikia binadamu na mifugo ili uweze kuishi
Hapana nafanya shughuli zangu mwenyewe kwa uhuru bila kusimamiwa na mtu. Wewe uliye ajiriwa hapo unamwogopa boss kila ukimwona tu unahisi kufokea au kufukuzwa kazi. Sasa mimi naweza kumhofia mteja wangu kwa lipi mkuu.
 
Naona kuna notion kwamba kuajiriwa ni jambo baya, hili jambo nalipinga. Kuajiriwa bila maslahi yanayoridhisha ndiyo jambo baya. Hata CEOs wa Apple, Google, Microsoft, Alibaba, Toyota and the list goes on and on nao pia ni waajiriwa na wanakunja pesa ndefu kuliko mkaanga viazi wa Tandahimba aliyejiajiri.

Aidha kujiajiri/ujasiliamali ni kuwa muajiriwa wa wateja wako. Wateja wako ndio mabosi wako. Utatenda vile watakavyo na kucheza mziki wao. Kifupi kukimbia kuajiriwa ni kuacha shughuli zote na kulala tu nyumbani.

Wewe unayepinga kuajiriwa siku ukianza ujasiliamali wako utahitaji hao hao waajiriwa. Kila mtu akiwa na mawazo kama yako sijui mtatoa wapi nguvu kazi.

Cha msingi ni kulipa watumishi maslahi stahiki.
Nmejaribu kuwaza tuu wanajeshu nao wajiajiri na mapolisi na matrafiki na manesi na madakatar na malecture nao wajiajiri ......ongezea na wengne
 
Naona kuna notion kwamba kuajiriwa ni jambo baya, hili jambo nalipinga. Kuajiriwa bila maslahi yanayoridhisha ndiyo jambo baya. Hata CEOs wa Apple, Google, Microsoft, Alibaba, Toyota and the list goes on and on nao pia ni waajiriwa na wanakunja pesa ndefu kuliko mkaanga viazi wa Tandahimba aliyejiajiri.

Aidha kujiajiri/ujasiliamali ni kuwa muajiriwa wa wateja wako. Wateja wako ndio mabosi wako. Utatenda vile watakavyo na kucheza mziki wao. Kifupi kukimbia kuajiriwa ni kuacha shughuli zote na kulala tu nyumbani.

Wewe unayepinga kuajiriwa siku ukianza ujasiliamali wako utahitaji hao hao waajiriwa. Kila mtu akiwa na mawazo kama yako sijui mtatoa wapi nguvu kazi.

Cha msingi ni kulipa watumishi maslahi stahiki.
Umenena vyema. Wapo watu wameajiriwa na wanavuta mkwanja wa maana wanawashangaa watu kwa nini wanahangaika na biashara. Vice versa is true.
 
Back
Top Bottom