Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?

Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako?kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.

Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
Halafu ndio nshavaa,.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nliwah kununua moja hz
Unakuta zmeandikwa cjui
Men n.k teyp hyo yan

Kesho yake baada ya kutoka job
Nliweka kwenye dustbin
Mi napenda mwanaume akivaa zile pana pana sijui ndo zinaitwaje,zinakuaga za draft draft,sio hizo za kubana anakua kam kavaa tight
 
Mi napenda mwanaume akivaa zile pana pana sijui ndo zinaitwaje,zinakuaga za draft draft,sio hizo za kubana anakua kam kavaa tight
Yan nna mpango wa kuanza kuzivaa hizo boksa za kiume[emoji23] [emoji23] naiman zile nikivaa kitu inakua inapigwa upepo kwa uzuri zaid
 
Shosti angekuwa shemejiyo nshamkimboza mbio huyo ni mtu tu wa duniani katika mihangaiko ya duniaa
Shemeji yako namnunuliaa,namfuliaa na nampangiaa ya kuvaa
Yaan unachepuka af unasema mihangaiko, jamaa yako ana kaz kwelkwel
 
Boxer joto na joto kwa maumbile ya kiume ni tatizo kubwa sana tena kama mumeo anapendelea boxer zaidi ya bukta pole sana
 
Bwana angi hawezi kuvaa hizo nailoni mkuu boxer namnunuliaa mwenyewe ,namfuliaa mwenyewe na nampangiaa ya kuvaaa mwenyewe so hawezi kujijaladiaa mwishowe anuke berries bure
Kwanza umeonaje boxer sijui bukta za mwanaume ambaye si mumeo?
 
Maofini nawaonaa kibao mibuktaa inaninginiaa hafi kero bwana angu hawez kuvaa hayo makitu labda akiwa anaenda zake mazoezini
Usitukane sana wakati hujui baba yako ilikuwa VIP

Unaweza chamba ndo likakupata wewe

Psychologists wanasema brain yako hujibu negative to the outside ni kama vile taswira inachukuliwa upside down interpretation yake inakuwa up hivyo unavyofikiri lkn utakachokuja kupata hutaamini

Waulize walioolewa they can sure u.
Mwingine alikuwa hapendi mno mwanaume Mwenye ndevu badala yake kaolewa Mwenye nazo hatari

Usichambe sana

Teh
 
Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?

Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako?kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.

Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
Pole kwa ku kereka afu,....
bahati nzuri ndo nazipenda kinyama yaani we acha tu.
 
Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?

Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako?kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.

Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
Kwa nn usiwaambie 1/1 hao mabwana zako kama hupendi? maana kila mmoja analolipenda mimi wife ni lazima aniandalie boxer na bukta kwa pamoja so ukigeneralize unakuwa unazingua
 
Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje?

Kwanini mtu usivae boxer yako nzuri ya cotton uvae ndo utoke zako?kuliko kuvaa hiyo mibukta inawafanya mtune utasema mmebeba mafurushi, hebu acheni hiyo tabiaaa bwana,huo ni uchafu ,usmart wa mwanaume upo kwenye boxer na sio kuvaa mabukta kama mnaenda mpirani.

Alafu hamna kitu kizuri na kinachopendeza kama kumkuta bwana ako kavaaa boxer yaani unakuwa hata comfortable kumvuaa nguo sasa ukikuta mtu kavaa mipensi stimu zote zinakata
nachojuwa wachafu wanakutanaga na wachafu wenzao ..we jinsi ulivyomchafu ...ndo ulikutana namchafu mwenzio.
 
Hahaha daah,,vijijini ndichi uko wanayatinga kinyama ayo maniaje
 
Back
Top Bottom