Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

Kuna bukta na pensi na sisi wavaaa pensi unatuzungumziaje
 
Ni kupe tu siri kwa mwanaume ili awe comfortable lazima avae boxer kisha bucta na lazima avae singlend kisha shat

Ila kwa wale wenye vibamia inashauriwa wavae bucta tu ili gravitational force ivute mashine irefuke
 
Kuna kikaul kimoja ety inakua rahis kumvua nyambafu wakati nyinyi mnao vaa vibeg mgongon. Mnasumbuaa nyauuuu
 
Me nisipo vaa boxer Na bukta sijiskii aman kwakweli coz kuna wanaume wakiinama unakuta mkolongo unaonekana kashusha Na mlegezo, me ntaava bukta kama kawaida Na ntakuguaa vizuri tu
 
Me nisipo vaa boxer Na bukta sijiskii aman kwakweli coz kuna wanaume wakiinama unakuta mkolongo unaonekana kashusha Na mlegezo, me ntaava bukta kama kawaida Na ntakuguaa vizuri tu
 
Nice talking
 
kuna tatizo?
 
Tunataka vibamia vyetu viwe kama matango na karoti za kimasai sheh?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…