Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kosa lako.ilamhuu ni mtandao watu tusijisahauBaba mzazi wako anasifa hizo....? Ukinijibu nitakwambia pakumpata
Usjali kaka Mungu ni mwema nashangaa watu wanao tukana kana kwamba wamelazimiswa dih ama kweli .Daaaah! ilikuwa kidogo unipate ila nikakosa sifa moja ya uweusi.
Kweli mkuu, asije akampata asiyependa ndogo kumbe yeye anapenda, ikaja kuwa tatizoIli umpate sharti nawewe uwe na angalau sifa hizo.
Sina kosa, unafikiria watu wote wapi perfect??Sio kosa lako.ilamhuu ni mtandao watu tusijisahau
Siwezi kukutukana kaka sjazoea najua sheria za mtandao wewe madamu mdomo mali yako haka ila skumtukana mtu na hakuna anae jua maisha yangu pole na kwaheli.Sina kosa, unafikiria watu wote wapi perfect??
Wewe umekamilika?
Karibu. .Siwezi kukutukana kaka sjazoea najua sheria za mtandao wewe madamu mdomo mali yako haka ila skumtukana mtu na hakuna anae jua maisha yangu pole na kwaheli.
Ushanipata njoo kwanguMfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?
Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?
Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.
Nipendavyo mimi .
Huwezi kupata mawazo mazuri humu my dear wengi wanapenda kukejeli na kutukana, ondoa basi hiyo criteria ya black color pengine naweza kufit.Usjali kaka Mungu ni mwema nashangaa watu wanao tukana kana kwamba wamelazimiswa dih ama kweli .
mchonge tu au kama huwezi si utangaze tenda kwa wachonga vinyagoMfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?
Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?
Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.
Nipendavyo mimi .
Njoo kwangu sifa zote hizo ninazoMfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?
Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?
Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.
Nipendavyo mimi .