Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

Hivi inawezekana kupata mwanaume mwenye sifa hizi?

mbona wapo wengi tu tena kuna mmoja yupo pale mtongani aliweka tangazo kuwa anatafutA mwanamke kama vip mcheki.
 
Sina kosa, unafikiria watu wote wapi perfect??
Wewe umekamilika?
Siwezi kukutukana kaka sjazoea najua sheria za mtandao wewe madamu mdomo mali yako haka ila skumtukana mtu na hakuna anae jua maisha yangu pole na kwaheli.
 
Wewe ni mzuri

Una [emoji196] [emoji196]

Una ajira/biashara

Suala la tabia mtavumiliana, kama una hivyo vitu vi3 juu nitakuunganisha na jamaa yangu mwenye sifa uzitakazo
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Ushanipata njoo kwangu
 
Usjali kaka Mungu ni mwema nashangaa watu wanao tukana kana kwamba wamelazimiswa dih ama kweli .
Huwezi kupata mawazo mazuri humu my dear wengi wanapenda kukejeli na kutukana, ondoa basi hiyo criteria ya black color pengine naweza kufit.
 
Ndio Unaweza kumpata naye ni YESU, alikuwa mrefu,alikuwa mrefu, alikuwa c mchoyo, alikuwa hapendi ndogo,hakuwa na maringo
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
mchonge tu au kama huwezi si utangaze tenda kwa wachonga vinyago
 
Aisee, sio rahisi mtu yeyote kupata mume/mke mwenye sifa zote azitakazo. Kama ungekuwa unaweza kuumba, basi umba wa kwako mwenye sifa uzitakazo!
 
Mfano mie napenda nimpate mwanaume mrefu, mcheshi, mchapakazi, asiwe mchoyo asiwe mpenda ndogo, asiwe na maringo. Je, inawezekana kumpata?

Pia asiwe mchafu maana wanaume wengine mhhh! Na anipende na mie napenda sana kupendwa jamani, sjui ni matatizo au ni kawaida kwa watu wote?

Wasiwasi ni pale je nitampata nimtakaye au niende vyovyote tu? Ila awe mweusi, kama ni mweupe awe mzungu basi sogeza muda siku zipite.

Nipendavyo mimi .
Njoo kwangu sifa zote hizo ninazo
 
Back
Top Bottom