Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesoma muongozo wao,inapotokea kufungana kama kuna mlemavu anachukuliwa kwanza.Kama hayupo wanakuja kwenye jinsia mwanamke kwanza.Kama wote ni jinsia moja wanaangalia umri(nani mkubwa kukiko mwingine,huyo ndio anachukuliwa).Huenda 90 wapo watano
hapo hapo yuko mtoto wa waziri, wa katibu mkuu wa mkuu wa Majeshi sasa inakuwaje
these are too challenging
Wameitwa bhana.Au unategemea utaona kichwa cha habari kimesema MDAs na LGAs? Naamini hatua ya kuwapanga watawapeleka moja kwa moja kwenye taasisi husika(yaani hizo MDAs na LGAs mbalimbali.Si ndio?au nachanganya mafaili?)Anaweza asipate ila nilichoona watu wanachanganya wale wanasheria waliofanya mda na lga bado kwenye zile nafasi 100 bado hawajaitwa kazini wanaoitwa sa hivi ni waliokuwepo kwenye kanzi data wao siku wakiitwa wataitwa kwa pamoja asipotokea jina lake hapo ndio atakuwa amekosa