Anaweza asipate ila nilichoona watu wanachanganya wale wanasheria waliofanya mda na lga bado kwenye zile nafasi 100 bado hawajaitwa kazini wanaoitwa sa hivi ni waliokuwepo kwenye kanzi data wao siku wakiitwa wataitwa kwa pamoja asipotokea jina lake hapo ndio atakuwa amekosa