chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
Kuna mwingine anatarget mbeleni. Kuna muda mtu wa masters atahitajika tu no matter what. Sasa we unafikiri kwa Nini waheshimiwa wanapambana wapate udokta na wakati pesa wanazo na nyazifa wanazo. Mfano mtu kama Nikki wa Pili, kilichombeba mpaka akapata ukuu wa wilaya ni masters yake pia nasikia alikuwa anafanya phd. Na ndo maana hata mziki kaukimbia pamoja na kelele alizopiga eti hataki kazi
Hao unaoona wanapambania udokta au kuongeza elimu wakati hela wanazo, sababu ni kutaka hela zaidi. Ukiwa kwenze ajira, kadiri unavyoongeza elimu, ndio hela inaongezeka. Sasa jobless anatumia gharama kuongeza elimu ambayo hajui kama itamtoa au la.Kuna mwingine anatarget mbeleni. Kuna muda mtu wa masters atahitajika tu no matter what. Sasa we unafikiri kwa Nini waheshimiwa wanapambana wapate udokta na wakati pesa wanazo na nyazifa wanazo
Hiyo ndo maana ya maisha hayatabiriki unaweza toboa au usitoboe.Hao unaoona wanapambania udokta au kuongeza elimu wakati hela wanazo, sababu ni kutaka hela zaidi. Ukiwa kwenze ajira, kadiri unavyoongeza elimu, ndio hela inaongezeka. Sasa jobless anatumia gharama kuongeza elimu ambayo hajui kama itamtoa au la.
Lengo la elimu linatakaiwa kuwa ni kuelimika, si kupata kazi wala hela.Wakuu habari za Jumapili,
Niseme, mwaka huu 2023 nimehitimu Shahada ya Umahiri ama Master's Degree kwenye fani ya uchawi na ushirikina chuo kikuu.
Kwenye kuisoma hiyo fani, kilichonishangaza sana na bado nazidi kushangaa ni kuona vijana wakisoma Shahada za Umahiri huku hawana kazi.
Najiuliza, kwa hapa Tanzania kazi zinazotangazwa zinazotaka mtu awe mahiri ni kazi ambazo lazima uwe na uzoefu usiopungua miaka 8 na kuendelea na mara nyingi kama sio zote hua ni managerial positions.
Sasa kama Shahada ya awali haijakupa kazi, haijakusaidia kupata kazi, unawezaje kwenda kusoma Shahada nyingine ya juu zaidi huku huna kazi?
Kwa mtazamo wangu, wazazi wanapoteza pesa nyingi sana kusomesha watoto wao Master's Degree ambazo wangezitumia kuwafungulia miradi ya ujasiliamali na wakapata pesa.
Leo kukuta kijana yuko mtaani na anaendesha bodaboda na ana Master's Degree ni kitu cha kawaida, unajiuliza hiyo pesa ya Master's Degree zaidi ya 10m na 2+years za kusoma, angeanza kua bodaboda si angekua mbali sana, kwanza angekua na bodaboda 5 ambazo zinamuingizia wastani wa 1.2m kwa mwezi, miaka 2 angekua na 25m+ na bado bodaboda zake ziko pale pale.
Juzi nimeenda na girlfriend wangu mahala kwa tailor, nikakuta tailor katika mazungumzo anasema ana Master's Degree ya Accountancy halafu ni fundi nguo, yeye mwenyewe anajilaumu kusoma Master's Degree bora angeaza ushonaji mapema angekuwa mbali.
Master's Degree bongo zinasomwa kwa kujifurahisha?
matumizi mabaya ya Elimu.Anaenda ku - master alivyosoma vile vya Degree
Kusoma masters vigezo vyake hutegemea na chuo. Lakini katika vigezo vyote vyuoni nilivyowahi kupitia hakuna hata kigezo kinachoonyesha kuwa tunapokea wenye kazi au waliofanyia kazi degree zao. Zaidi ni kuwa lazima uwe na degree na kwanza..G.P.A kwa baadhi ya course. Uwezo wa kulipa ada.Wakuu habari za Jumapili,
Niseme, mwaka huu 2023 nimehitimu Shahada ya Umahiri ama Master's Degree kwenye fani ya uchawi na ushirikina chuo kikuu.
Kwenye kuisoma hiyo fani, kilichonishangaza sana na bado nazidi kushangaa ni kuona vijana wakisoma Shahada za Umahiri huku hawana kazi.
Najiuliza, kwa hapa Tanzania kazi zinazotangazwa zinazotaka mtu awe mahiri ni kazi ambazo lazima uwe na uzoefu usiopungua miaka 8 na kuendelea na mara nyingi kama sio zote hua ni managerial positions.
Sasa kama Shahada ya awali haijakupa kazi, haijakusaidia kupata kazi, unawezaje kwenda kusoma Shahada nyingine ya juu zaidi huku huna kazi?
Kwa mtazamo wangu, wazazi wanapoteza pesa nyingi sana kusomesha watoto wao Master's Degree ambazo wangezitumia kuwafungulia miradi ya ujasiliamali na wakapata pesa.
Leo kukuta kijana yuko mtaani na anaendesha bodaboda na ana Master's Degree ni kitu cha kawaida, unajiuliza hiyo pesa ya Master's Degree zaidi ya 10m na 2+years za kusoma, angeanza kua bodaboda si angekua mbali sana, kwanza angekua na bodaboda 5 ambazo zinamuingizia wastani wa 1.2m kwa mwezi, miaka 2 angekua na 25m+ na bado bodaboda zake ziko pale pale.
Juzi nimeenda na girlfriend wangu mahala kwa tailor, nikakuta tailor katika mazungumzo anasema ana Master's Degree ya Accountancy halafu ni fundi nguo, yeye mwenyewe anajilaumu kusoma Master's Degree bora angeaza ushonaji mapema angekuwa mbali.
Master's Degree bongo zinasomwa kwa kujifurahisha?
Muelewe mtoa mada anaongelea mtu ambaye ni jobless sio hao wenye wazifa . Pata kazi Kwanza ndo uendelee na mambo mengine .Kuna mwingine anatarget mbeleni. Kuna muda mtu wa masters atahitajika tu no matter what. Sasa we unafikiri kwa Nini waheshimiwa wanapambana wapate udokta na wakati pesa wanazo na nyazifa wanazo
Hakuna aliyesema kuajiriwa ishu hapa ni kuwa na kazi whether umejiajiri au umeajiriwa. Hujaajiriwa hujajiajiri halafu unasoma master's matumizi mabaya ya muda na pesa![emoji23]Ishu ya kazi sio mpaka uwe umesoma, ukiwa na masters na cpa halafu huja ajiriwa haimaanishi elimu Yako Haina maana.
Uzi mzuri, ngoja nivute kiti kabisa.Wakuu habari za Jumapili,
Niseme, mwaka huu 2023 nimehitimu Shahada ya Umahiri ama Master's Degree kwenye fani ya uchawi na ushirikina chuo kikuu.
Kwenye kuisoma hiyo fani, kilichonishangaza sana na bado nazidi kushangaa ni kuona vijana wakisoma Shahada za Umahiri huku hawana kazi.
Najiuliza, kwa hapa Tanzania kazi zinazotangazwa zinazotaka mtu awe mahiri ni kazi ambazo lazima uwe na uzoefu usiopungua miaka 8 na kuendelea na mara nyingi kama sio zote hua ni managerial positions.
Sasa kama Shahada ya awali haijakupa kazi, haijakusaidia kupata kazi, unawezaje kwenda kusoma Shahada nyingine ya juu zaidi huku huna kazi?
Kwa mtazamo wangu, wazazi wanapoteza pesa nyingi sana kusomesha watoto wao Master's Degree ambazo wangezitumia kuwafungulia miradi ya ujasiliamali na wakapata pesa.
Leo kukuta kijana yuko mtaani na anaendesha bodaboda na ana Master's Degree ni kitu cha kawaida, unajiuliza hiyo pesa ya Master's Degree zaidi ya 10m na 2+years za kusoma, angeanza kua bodaboda si angekua mbali sana, kwanza angekua na bodaboda 5 ambazo zinamuingizia wastani wa 1.2m kwa mwezi, miaka 2 angekua na 25m+ na bado bodaboda zake ziko pale pale.
Juzi nimeenda na girlfriend wangu mahala kwa tailor, nikakuta tailor katika mazungumzo anasema ana Master's Degree ya Accountancy halafu ni fundi nguo, yeye mwenyewe anajilaumu kusoma Master's Degree bora angeaza ushonaji mapema angekuwa mbali.
Master's Degree bongo zinasomwa kwa kujifurahisha?
Kila mtu anafanya anachotaka kikubwa asivunje Sheria za nchi. Pesa ni yangu muda wa kwangu shida Iko wapi?Muelewe mtoa mada anaongelea mtu ambaye ni jobless sio hao wenye wazifa . Pata kazi Kwanza ndo uendelee na mambo mengine .
Na MBA haina inachomuongezea mfanya biashara.Kuna watu wanafanya MBA kuongeza elimu ya namna ya kuendesha biashara zao na wala hawana mpango wa kuwa watumwa wa kazi za wengine...
Amekwambia plan zake Ni kustaafia halmashauri?Mtu hana kazi halafu anasoma MBA Corporate Management 😂. Sasa hiyo corporate atakayokuja ku.manage ni ipi?
Ama mtu yuko halmashauri halafu anasoma Corporate Management.
Corporates ni kama Vodacom, Airtel, NMB, CRDB, google, Facebook nk.
-Zipo ajira zinazohitaji masters japo ni Chache Sana, eg Kada ya Research officer II pale NIMR, kigezo Cha kuwa research officer ni mastersmatumizi mabaya ya Elimu.
Uzuri, Serikali haina ajira kwa kigezo cha masters
Masters ndio kigezo kikuu?-Zipo ajira zinazohitaji masters japo ni Chache Sana, eg Kada ya Research officer II pale NIMR, kigezo Cha kuwa research officer ni masters
Yeah Huwezi kuwa Research officer ii pale nimr Kama huna masters ya medicine et alMasters ndio kigezo kikuu?
Basi sawaYeah Huwezi kuwa Research officer ii pale nimr Kama huna masters ya medicine et al
Ukiachana na Mo Dewji na wakishua wengine wachache waliobaki wengi husoma masters ili mshahara upande au apate shavu zaidi.Hao wanaosoma hizo MBA ili kuja kuendesha biashara zao binafsi ni asilimia ngapi?
Duuh! mkuu,wewe ni mmoja wa watu wachache sana,mnaoweza kusoma hadi level ya Masters degree,ili kuelimika tu na siyo kuajiriwa.We fala tu watu wanasoma kuelimika sio kuajiriwa