Hivi jamani walozi usiku wakimgusa mtu, wanaweza ambukizwa Corona?

Hivi jamani walozi usiku wakimgusa mtu, wanaweza ambukizwa Corona?

Hizo stori zipo miaka nenda rudi, ukweli ni kuwa Gamboshi ni kijiji cha kawaida.

Acha kusambaza stori za uongo.
kwa hiyo yule dogo wakati kaenda kwenye redio kuhadithia hiyo stori akili zake zilikuwa sio nzuri??
na kwa nin aitaje gambosh asitaje vijiji vingine??

usibishebishe mambo ambayo hujawah kukutana nayo, la sivyo utazidi kunyonyoka hizo nywele za kichwa
 
Kwamba unaenda kwa mganga unakuta ndoo ya maji na sanitaiza, mganga kavaa barakoa na hataki umsogelee [emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwa hiyo yule dogo wakati kaenda kwenye redio kuhadithia hiyo stori akili zake zilikuwa sio nzuri??
na kwa nin aitaje gambosh asitaje vijiji vingine??

usibishebishe mambo ambayo hujawah kukutana nayo, la sivyo utazidi kunyonyoka hizo nywele za kichwa
Mimi nina ndugu zangu Gamboshi.

Kile kijiji ninakifahamu vizuri kwa kufika na kuishi, hizo stori unazozileta hapa ni za uongo.

Acha kupotosha watu.
 
Mimi nina ndugu zangu Gamboshi.

Kile kijiji ninakifahamu vizuri kwa kufika na kuishi, hizo stori unazozileta hapa ni za uongo.

Acha kupotosha watu.
unakifahamu vizuri??

kwa hiyo wakati anaishi babu mzaa babu yako yule aliemzaa babu yako na wew ulikuwepo??

tuambie hayo mambo ya uchawi kwa sasa hayapo ila usiseme hakijawah kuwa na historia ya mambo ya kichawi
 
unakifahamu vizuri??

kwa hiyo wakati anaishi babu mzaa babu yako yule aliemzaa babu yako na wew ulikuwepo??

tuambie hayo mambo ya uchawi kwa sasa hayapo ila usiseme hakijawah kuwa na historia ya mambo ya kichawi
Uchawi upo kila sehemu, Gamboshi haijawahi kuwa na uchawi kama huo unaotaka kutuaminisha.

Acha upotoshaji.
 
Write your reply...sasa mganga mwenyewe ukienda kwake pale mlangoni kwake kuna sanitizer na ndoo ya maji juzi nilienda ili nipewe Pete ya forex niliona


we mwanga ni nani usiogope

Sihami JF 😂😂😂
 
kwa hiyo wakishamaliza kutulimisha yale majembe hawayarudish stoo 😀

na vipi kuhusu nywele wanazozichukua??
Majembe sio halisi ni mikono yenyu... Nywele ni malighafi ya mambo mengine

Jr[emoji769]
 
Kwamba unaenda kwa mganga unakuta ndoo ya maji na sanitaiza, mganga kavaa barakoa na hataki umsogelee [emoji23][emoji23][emoji23]
na waganga wengi walivyokuwa magumash sipati picha ukiwakuta na wateja wao na corona hii😀😀
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hawadhuriki kwakuwa hawamgusi na mikono ya kawaida.. Wachawi mambo yetu hufanya kinyume ndio maana hata ndani ya nyuma huingilia kwenye pembe kinyume nyume halafu uchi

Jr[emoji769]

Mleta mada muongozo huo hapo...


Cc: mahondaw
 
Kwa sasa wachawi wameshika adabu nao wanataka kubadilisha kazi



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwann ishindikane sasa kutokuambukizwa!
kwa nilivyomuelewa mshana ni kwamba hata kama walozi wanakuwa wanagusana na binadamu si kwa njia za kawaida, watagusana kwa njia za giza kwa hiyo anasema ni ngumu kuambukizwa
 
Kkkkkk kwa hiyo hawahitaji kujifukiza


Sent from my iPhone using Tapatalk
yaani wanaweza kukuinua kitandani wakakupeleka shamban fresh bila corona kuwapata
wachawi sio watu wazuri mkuu, corona itakupata wewe tu ukigusana na mama chanja 🤣🤣
 
Back
Top Bottom