Hivi jamani walozi usiku wakimgusa mtu, wanaweza ambukizwa Corona?

Hivi jamani walozi usiku wakimgusa mtu, wanaweza ambukizwa Corona?

yaani wanaweza kukuinua kitandani wakakupeleka shamban fresh bila corona kuwapata
wachawi sio watu wazuri mkuu, corona itakupata wewe tu ukigusana na mama chanja [emoji1787][emoji1787]

Utoto raha sana nakumbuka kulikuwa kama wazee wanne hivi walikuwa wanajulikana ni wachawi
Tukimuona mmoja wao lazima tumzomee na kukimbia
Kwa Kweli imenipa confidence mpaka nakua siwaogopi kabisa wala siamini uchawi kabisa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Utoto raha sana nakumbuka kulikuwa kama wazee wanne hivi walikuwa wanajulikana ni wachawi
Tukimuona mmoja wao lazima tumzomee na kukimbia
Kwa Kweli imenipa confidence mpaka nakua siwaogopi kabisa wala siamini uchawi kabisa


Sent from my iPhone using Tapatalk
Hongera na endelea na imani yako mkuu

inashauriwa usiamini uchawi ila juwa kwamba uchawi upo

ukiamini sana uchawi hata ukiumwa corona utahisi jirani kakuroga
 
Hongera na endelea na imani yako mkuu

inashauriwa usiamini uchawi ila juwa kwamba uchawi upo

ukiamini sana uchawi hata ukiumwa corona utahisi jirani kakuroga

Nashukuru Mungu na kumuamini yeye tu na shirk haina nafasi
Kweli uchawi upo lakini anaeukubali na kuufuatilia anajiongezea wasiwasi tu kama ulivyosema
Yaani ushirikina umerudisha nyuma watu kwa % kubwa sana Mkuu
Na mpaka unakuta mtu ana elimu kubwa bado anakubali kuogeshwa makaburini
Siwezi kuamini upambavu kama huo hata siku moja na watoto wangu nimewafundisha vizuri sana kutokuamini


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ni kama popo popobawa tu kipindi kile

Haukuwahi kusikia waliopitiwa na popobawa kupata mimba au kupata maambukizi yoyote ya zinaa
 
Ni kama popo popobawa tu kipindi kile

Haukuwahi kusikia waliopitiwa na popobawa kupata mimba au kupata maambukizi yoyote ya zinaa
aisee haya mambo ni mazito

umenikumbusha mbali watu walikuwa wanalala na pichu tatu tatu
 
Back
Top Bottom