Hata dk 10 nyingi mkuu, adhana dk5 hadi 7. Ila wazee wa maspika ni saa 5 usiku hadi kucheleUliona wapi waislamu wanafungulia kelele usiku kucha kuanzia saa 5 usiku?
Halafu kwa kukusaidia adhana ni kitu cha dakika 10 tu! Hamna ishu zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata dk 10 nyingi mkuu, adhana dk5 hadi 7. Ila wazee wa maspika ni saa 5 usiku hadi kucheleUliona wapi waislamu wanafungulia kelele usiku kucha kuanzia saa 5 usiku?
Halafu kwa kukusaidia adhana ni kitu cha dakika 10 tu! Hamna ishu zaidi.
Hapana ni kingerezaAmuka...
Hiki ni kiswahili au?
Hahahahah wazee wa Ma NdugaiHata dk 10 nyingi mkuu, adhana dk5 hadi 7. Ila wazee wa maspika ni saa 5 usiku hadi kuchele
Wanajifananisha na waislam, hao jamaa hovyo sanaHata dk 10 nyingi mkuu, adhana dk5 hadi 7. Ila wazee wa maspika ni saa 5 usiku hadi kuchele
Nilikuwa naitafuta hii comment.Hata Mawe yatamwimbia
Zamani Sana kabla ya hii biashara ya sadaka za makanisani kuanza,makanisa mengi ya kilokole walikuwa wakisali kwa kuomba kwa kusali na kulia kimya kimya ndani ya makanisa yao..Yaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada?
Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
Adhana huwa haisumbui hata kidogo.Uliona wapi waislamu wanafungulia kelele usiku kucha kuanzia saa 5 usiku?
Halafu kwa kukusaidia adhana ni kitu cha dakika 10 tu! Hamna ishu zaidi.