Hivi Kangi Lugola yupo wapi?

Niliona video yake Fulani eti anawakemea wadudu wahame kwenye kahawa zake sijui korosho kabla hajawachukulia hatua,mwenye nayo aiweke hapa[emoji23]
Eti anawapa muda wahame kwa hiari yao,sijui alikuwa kalewa yule
Nami niliona,tena anatoa kama kauli ya serekali wadudu watoke wenyewe kabla ya hatua za kisheria kuchukuliwa!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ninawasalimu wanajukwaa!

Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi?

Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri?
View attachment 3142802
Anavuta makokoro huko kibara. Anashushia na ka wimbo ka "Kitengule nalya ng'oko, amagambo nkolyo nkolyo"
 
Yuko pale
Ninawasalimu wanajukwaa!

Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi?

Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri?
View attachment 3142802
Yuko pale Bunda kwenye baa yake ana piga mauno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…