pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliona video yake Fulani eti anawakemea wadudu wahame kwenye kahawa zake sijui korosho kabla hajawachukulia hatua,mwenye nayo aiweke hapa[emoji23]
Eti anawapa muda wahame kwa hiari yao,sijui alikuwa kalewa yule
Kwaio watu watarajie kuona mauno zaidi 2025Yupo
2025 anarudi
Yupo vizuri sana
KichecheAnakata mauno Kibara huko....
Ana shida hadi kwenye kope, anakopa hadi cementnasikia sukari inamshambulia mixer B.P
Dogo ulizaliwa na matusi. Punguza munkariTakataka sijui yupo wapi!
Ninawasalimu wanajukwaa!
Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi?
Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri?
View attachment 3142802
Nami niliona,tena anatoa kama kauli ya serekali wadudu watoke wenyewe kabla ya hatua za kisheria kuchukuliwa!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niliona video yake Fulani eti anawakemea wadudu wahame kwenye kahawa zake sijui korosho kabla hajawachukulia hatua,mwenye nayo aiweke hapa[emoji23]
Eti anawapa muda wahame kwa hiari yao,sijui alikuwa kalewa yule
Namkubali hapo alipoelekezewa mkia na bidada nahajakwepa,,,,mhuni safi kabisa huyuNinawasalimu wanajukwaa!
Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi?
Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri?
View attachment 3142802
Anavuta makokoro huko kibara. Anashushia na ka wimbo ka "Kitengule nalya ng'oko, amagambo nkolyo nkolyo"Ninawasalimu wanajukwaa!
Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi?
Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri?
View attachment 3142802
HakikaKwaio watu watarajie kuona mauno zaidi 2025
Nchi hii ilipita kipindi kigumu haswaaNaona siku hizi ameng'oa bendera za Tanzania kwenye mifuko ya kaunda suti🐼View attachment 3142948
Huyu ndiye aliyekuwa Waziri?Naona siku hizi ameng'oa bendera za Tanzania kwenye mifuko ya kaunda suti🐼View attachment 3142948
Alikuwa waziri wa mambo ya ndaniHuyu ndiye aliyekuwa Waziri?
Ndio yeye mheshimiwa mstaafu😆Huyu ndiye aliyekuwa Waziri?
Yuko pale Bunda kwenye baa yake ana piga maunoNinawasalimu wanajukwaa!
Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi?
Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri?
View attachment 3142802