Hivi Kangi Lugola yupo wapi?

Hivi Kangi Lugola yupo wapi?

Dodoma hioo
 

Attachments

  • Screenshot_20241103-210841_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20241103-210841_WhatsApp.jpg
    390.7 KB · Views: 3
Ninawasalimu wanajukwaa!

Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi?

Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri?
View attachment 3142802
Hivi huu mtindo wa kuja hapa JF na kuanzisha Uzi kuwa Fulani yupo wapi? Mbona naona hauna tija.Ukifahamu kuwa analima mahindi, au maharage au anavua samaki au anauza baa itakusaidia nn?

Kuna nyuzi nyingi humu za nani yupo wapi? JF ni sehemu ya kuleta strong thread zenye impact kwenye jamii. Sio sehemu ya kuuliza fulani yupo wapi? Uzi tayari
 
Niliona video yake Fulani eti anawakemea wadudu wahame kwenye kahawa zake sijui korosho kabla hajawachukulia hatua,mwenye nayo aiweke hapa😂
Eti anawapa muda wahame kwa hiari yao,sijui alikuwa kalewa yule
Kangi Lugola Ninja, kwa biti lile wadudu lazima watoke nduki
 
Yeye ndiye sliyeresha kusafiri usiku msbasi ya sbiria. Slusema nchi ina jeshi na silaha zote halafu wansnchi wanashindwa kuwahi shughuli za kiuchumi kuogopa majambazi, nooo. Ndioo sehemu tstanishi nakumbuka mabasi yakawa escorted na polisi. Again xikaxuia kidogo lkn yakareshwa tena hd sasa maisha yanaendelea.
 
Mcheza dogoli muandamizi,yule jamaa yangu yuko ndani ya DUNGA GROUP la kule UK na UJITANI ukanda wa KIBALA BUNDA na wana tamasha pale BUKIMA MAJITA juma lijalo.
 
Back
Top Bottom