Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwanaccm hata mmoja bila Kubebwa na mfumo anayebaki hewani.Ninawasalimu wanajukwaa!
Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi?
Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri?
View attachment 3142802
Yale yalikuwa majini ya Magufuli.Ninawasalimu wanajukwaa!
Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi?
Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri?
View attachment 3142802
Huna akili sijui ulisoma nini udsm wewe jamaa bure kabisa chawa bin kunguniNilikuwa namkubali aina ya mashati yake aliyokuwa anafanya pamoja na kutembea na ilani ya CCM muda wote na kuwataka wote wawe nayo na kuisoma yote wakati ule ni waziri wa Mambo ya Ndani..
Hivi huu mtindo wa kuja hapa JF na kuanzisha Uzi kuwa Fulani yupo wapi? Mbona naona hauna tija.Ukifahamu kuwa analima mahindi, au maharage au anavua samaki au anauza baa itakusaidia nn?Ninawasalimu wanajukwaa!
Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi?
Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri?
View attachment 3142802
Kangi Lugola Ninja, kwa biti lile wadudu lazima watoke ndukiNiliona video yake Fulani eti anawakemea wadudu wahame kwenye kahawa zake sijui korosho kabla hajawachukulia hatua,mwenye nayo aiweke hapa😂
Eti anawapa muda wahame kwa hiari yao,sijui alikuwa kalewa yule
Ndiyo maana sifatilii maisha yake mkuu.Mwanaume mwenzako angekulishaje sasa? Hueleweki hata kidogo
Takataka sijui yupo wapi!Ninawasalimu wanajukwaa!
Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi?
Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri?
View attachment 3142802
Kwa hiyo baada ya yule aliye kili kuokotwa hapo JALALANI na wewe umeendelea kupachafua kuwa pana mizoga?Huna akili sojui ulisoma nini udsm wewe
Naona siku hizi ameng'oa bendera za Tanzania kwenye mifuko ya kaunda suti🐼Mwamba huyu hapa ni jana tu tulikuwa kwenye sherehe fulani