Mkuu we Acha Tu kariakoo kuna vituko 🤣 na still watu wanalipa , watu wana pesa aisee hata hvyo kuna watu wanapiga net profit ya mil 500 Safi kabisa, ngoja sie wenye mitaji ya laki moja mpaka laki Tisa huku tunaulizana nifanye biashara gani😋Khaaaaaa......
Kuniachia kale kachumba nikupe 35M????
Halafu nianze tena kodi??? Mimi kama nimekufuata ukanitajia hivyo naweza nianguke kwa mshtuko.
Kwa biashara ipi!!??Kuinunua tena 😀 jamaa anakuachia anaondoka na vitu vyake unabaki na frem tupu ndo hyo unampa mil 35 tena na Zaid kulingana na location .... Hapo unaanza kuelewana na mwenye frem sasa kuhusu Kodi na dalali hapo anahitaji chake , TRA nao ndani bila kusahau halmashauri , mlinzi n.k 🤪🤪🤣🤣
Ukitaka kuamini anza na frem za serikali pale stand Mpya unaweza ukawaza hawa wanamkomoa nani? Mkurugenzi wa jiji alikaa na madiwani wapi kuunda utopoto huuKama stand mpya mbezi kuna frame za 1m Kkoo unakosaje frame ya 3m?
Na watu wanazichangamkia kama kawaidaUkitaka kuamini anza na frem za serikali pale stand Mpya unaweza ukawaza hawa wanamkomoa nani? Mkurugenzi wa jiji alikaa na madiwani wapi kuunda utopoto huu
Mkuu mbona kama hii ni chai, una ushahidi wa mtu aliyelipa 35m Kumtoa mtu kwenye frem akalipa bei ya pango tena??Kuinunua tena [emoji3] jamaa anakuachia anaondoka na vitu vyake unabaki na frem tupu ndo hyo unampa mil 35 tena na Zaid kulingana na location .... Hapo unaanza kuelewana na mwenye frem sasa kuhusu Kodi na dalali hapo anahitaji chake , TRA nao ndani bila kusahau halmashauri , mlinzi n.k [emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787]
Niliwahi kutana na jamaa mmoja anataka uza fremu aliyekodi Msamvu stand Moro kwa Tsh 25mil,Mkuu mbona kama hii ni chai, una ushahidi wa mtu aliyelipa 35m Kumtoa mtu kwenye frem akalipa bei ya pango tena??
Nakuunga mkono kuna jamaa mmoja pale Kariakoo yeye anafrem pia ana store, aisee kwanza jamaa kwenye frem yake kawaweka vijana wawili hao vijana wanasample kadhaa hapo dukani ukitakaa sample moja ya mzigo mkubwa wana viredio call basi wanampigia boss wao kwa kutumia redio call huko store wanamuuliza aina hii ipo basi basi boss akijibu ipo dakika chache unaletewa mzigo.Mkuu we Acha Tu kariakoo kuna vituko [emoji1787] na still watu wanalipa , watu wana pesa aisee hata hvyo kuna watu wanapiga net profit ya mil 500 Safi kabisa , ngoja sie wenye mitaji ya laki moja mpak laki Tisa huku tunaulizana nifanye biashara gani[emoji39]
Hata mimi nimeshangaa naishi Mbezi mwisho, hii serikali hii ni tabu tupuUkitaka kuamini anza na frem za serikali pale stand Mpya unaweza ukawaza hawa wanamkomoa nani? Mkurugenzi wa jiji alikaa na madiwani wapi kuunda utopoto huu
Cc RRONDOUkiwasikiliza wabongo hautajenga,hautaanzisha biashara,hautaoa yaani kila kitu kwako utaona kigumu tu tusubiri wenye ujuzi na kkoo
Hahahaha kwa sauti yaaniNina classmate wangu ambaye ni marafiki sanaa,
Baba yao alijenga mjengo wa kupangisha biashara k.koo,
Alishafariki, yule jamaa ile chain nzima ya ka family kao, kila katikati ya mwezi ana uhakika wa 5M..
No wonder aliacha shule, watu wakasema sana ikiwemo walimu anachezea maisha, ila njemba mpaka leo ni bata tuu, na hakuna mazingira ya hizo laana kumpata.
Kuna wazee waliwekeza banaaa, achana na hawa wetu wanaong'ang'ania ukali kumbe stress za njaa na madeni mda wote anaongea kama kapaliwa na ukoko.
Na wewe wekeza watoto wako wasije kulaumu kama unavyomlaumu babu yao!!Nina classmate wangu ambaye ni marafiki sanaa,
Baba yao alijenga mjengo wa kupangisha biashara k.koo,
Alishafariki, yule jamaa ile chain nzima ya ka family kao, kila katikati ya mwezi ana uhakika wa 5M..
No wonder aliacha shule, watu wakasema sana ikiwemo walimu anachezea maisha, ila njemba mpaka leo ni bata tuu, na hakuna mazingira ya hizo laana kumpata.
Kuna wazee waliwekeza banaaa, achana na hawa wetu wanaong'ang'ania ukali kumbe stress za njaa na madeni mda wote anaongea kama kapaliwa na ukoko.
Nina classmate wangu ambaye ni marafiki sanaa,
Baba yao alijenga mjengo wa kupangisha biashara k.koo,
Alishafariki, yule jamaa ile chain nzima ya ka family kao, kila katikati ya mwezi ana uhakika wa 5M..
No wonder aliacha shule, watu wakasema sana ikiwemo walimu anachezea maisha, ila njemba mpaka leo ni bata tuu, na hakuna mazingira ya hizo laana kumpata.
Kuna wazee waliwekeza banaaa, achana na hawa wetu wanaong'ang'ania ukali kumbe stress za njaa na madeni mda wote anaongea kama kapaliwa na ukoko.
Hawa ndo wale madalali wanaokaa nje ya frem kumbe sio zao....kila kitu wanajuaMkuu mbona kama hii ni chai, una ushahidi wa mtu aliyelipa 35m Kumtoa mtu kwenye frem akalipa bei ya pango tena??
Jamaa anabisha , 😋Nliwahi kutana na jamaa mmoja anataka uza fremu aliyekodi msamvu stand Moro kwa Tsh 25mil,
Kuna mwamba hapo juu anafikr ni chai 😋Frem za nguo ni kweli wanalipa 3m Simu agrey ni 1.5 kwa mwezi, Gsm mall 2.0 m kwenye mzunguko 1.0 kwa mwezi na unalipia miaka 2 kumvua MTU 25-30 m
Mkuu nenda Kariakoo kajionee, best way Ongea na dalali. Nachojua atakwambia kuna kilemba cha kuvua alafu bei yake itakufurahisha ....Mkuu mbona kama hii ni chai, una ushahidi wa mtu aliyelipa 35m Kumtoa mtu kwenye frem akalipa bei ya pango tena??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nina classmate wangu ambaye ni marafiki sanaa,
Baba yao alijenga mjengo wa kupangisha biashara k.koo,
Alishafariki, yule jamaa ile chain nzima ya ka family kao, kila katikati ya mwezi ana uhakika wa 5M..
No wonder aliacha shule, watu wakasema sana ikiwemo walimu anachezea maisha, ila njemba mpaka leo ni bata tuu, na hakuna mazingira ya hizo laana kumpata.
Kuna wazee waliwekeza banaaa, achana na hawa wetu wanaong'ang'ania ukali kumbe stress za njaa na madeni mda wote anaongea kama kapaliwa na ukoko.
Reyzzapppp😂😂😂Khaaaaaa......
Kuniachia kale kachumba nikupe 35M????
Halafu nianze tena kodi??? Mimi kama nimekufuata ukanitajia hivyo naweza nianguke kwa mshtuko.