Hivi Kariakoo ni kweli kuna Fremu za 3M-5M au ni kutishana tu?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulivyomalizia naona ulikusudia kabisa.. Carleen pita hapa.
 
😂😂😂
 
Niliwahi kuambiwa kariakoo Frem zinalipiwa kwa mwaka. Mambo ya miezi 6 hayapo.. sasa sijui ni kweli?
 
Hyo mitaa kila frem ina mtu , solution ni kumvua mtu kilemba ....may be upate ndani ndani , ni most marketable street , ni vigumu kukuta frem inahang , yaan hata kama kuna mpya zinajengwa unakuta tayar zishalipiwa
Duh!!! Sawa.
 
Hiyoyo Kariakoo ya mwaka gani ndugu maana sasa hivi ukipita unakuta fremu nyingi zimefungwa
 
Hizi story sijui mnazipatia wapi?!!!
 
Siyo kariakoo ya 2021
 
Wanasoma kwenye vitabu vya history.ila ukija kwenye ukweli wala haipo ivyo kabisa.sasa ivi watu wanapiga pesa Dodoma huko ila hapa Dar ni njaa tu
Dodoma ipi unayozungumzia, kuna watu wapo Dodoma wananiambia niwatafutie frem DSM right now, biashara ni za msimu kule zinategemea vyuo, vikao vya Bunge na jiwe arande rande huko
 
Hahahaha.... hahahahaha. We jamaa fala Sana.... Hehehehehehe... Eti hizo maana???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dingi anafoka Kama kapaliwa na ukoko.....
 
Kwa jinsi biashara zilivyoanguka sidhani bei ni juu kiasi hicho. Ila baadhi wana tamaa wakiona una wateja wengi hawakawawii kukuongezea bei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…