Hivi kijana unaejielewa inakuaje hadi unaoa single mother?

Hivi kijana unaejielewa inakuaje hadi unaoa single mother?

Halafu ukiishi na single maza tu ukazaa nae yaan unakuwa ushajichafulia historia yako hapa duniani but huwa hatujui kabisa yaani unawaza kama inawezekana uwachomoe wale watoto wako kwake but unagundua kuwa umezaa nae huyo huyo yanabakia kuwa majuto..
Kweli mimi nina wapenzi watatu wawili single mother sasa hao single mother wana nifosi niwaoe Mimi roho yangu inakataa maana nitaonekana mjinga yani kijana wa kisasa nioe Mwanamke aliyezalishwa yani ata Baba yangu na Babu zangu walioa Mabinti, Babu yangu alioa wake watatu wote walikua Mabinti na Baba yangu alioa wake wawili wote walikua mabinti kwahiyo sisi watoto wote Baba yetu Mmoja na ukoo mmoja na ata kwenye urithi hakuna shida tofauti na Baba yetu angeo Mama zetu wakiwa na mitoto ya nje ya ndoa ingeleta shida.
 
Sote tunajua hadi mtu anakuwa single mother kuna miiko,viunzi,mageti,na masharti kadhaa amekwisha yavunja ndipo akafika hiyo stage ya kuitwa tatizo
Mkuu, umefikiria waliobakwa?
Wanaume ndio chachu ya mabadiliko,ila kuwa na wanaume teketeke wasio jua kesho ya jamii yao ni hatari zaidi kuliko hawa single mother wenyewe
Naamini unajua single mothers wamezaa na wanaume. Je, waliowakimbia hao single mothers ni bora kuliko wanaoamua kuwaoa?
Ni vema muda mwingine kukaa kimya kama haujui unachoongea kinakwenda kuleta madhara yapi kwenye jamii
Hili la kukaa kimya nafhani hata wewe linakuhusu.
Unakuja hapa unatetea ujinga as if ni aina ya baraka tumepewa na MUNGU halafu kila siku ya ibada unakwenda kumdhihaki MUNGU madhabahuni kwa kujifanya wewe ni mtii wa mamlaka yake.

Ni wapi Bible au msaafu kama vitabu vya dini zenye waumini wengi vimeelekeza kuwa wanawake wakapuyange hovyo wakati wa usichana na ubinti wao kisha ndipo waitafute ndoa wakisha haribu kila kitu?
Mkuu, kunywa maji upunguze jazba. Kisha jipige kifuani mara 3 jiambie Mimi kidume.

Nahisi ulipigwa na kitu kizito kichwani.
 
Hao single mothers wanaopondwa kila uchao ni matokeo ya muunganiko kati yao na wanaume. Lkn kwa sababu zozote ziwazo mwanamke akaja kuwa single mother.

Kwamba kuna single mothers hawaiatulia haindoi ukweli kwamba kuna wanaojielewa na wametulia.

Nilioa single mother(mtoto mmoja) hadi leo tunaishi vizuri kabisa.

Baba wa mtoto haifahamiki aliko ni mwaka wa 9 huu toka mke wangu atelekezwe.

Sijawahi kujutia kuwa nae maishani. Niko nae kwa miaka mitatu sasa.
Lakini mkuu matatizo huwa yanakuja kwa levels. Usianze kujipongeza mapema bado muda ni mfupi huo. Kuna time kijana atakuwa atatka kwa mfano kumcheki dingi yake, atataka kufanya harusi formal na inayoenda kwa ustaarabu wa siku hizi, mkeo atatakiwa au ataombwa akakae meza moja na jamaa.

Jamaa linaweza kupata mijihela kibao, likarudi likataka limuoe.... Muombe Mungu sana.
 
Lakini mkuu matatizo huwa yanakuja kwa levels. Usianze kujipongeza mapema bado muda ni mfupi huo. Kuna time kijana atakuwa atatka kwa mfano kumcheki dingi yake, atataka kufanya harusi formal na inayoenda kwa ustaarabu wa siku hizi, mkeo atatakiwa au ataombwa akakae meza moja na jamaa.

Jamaa linaweza kupata mijihela kibao, likarudi likataka limuoe.... Muombe Mungu sana.
Najua bado ni mapema sana na sio kwamba najipingeza. Nasema kile kinachoendelea.

Kuhusu jamaa kurudiana na mke wangu ni % ndogo sana kwani kuachana kwao kuliambatanq na mambo mengi.

Hata hivyo nilishamweka wazi kuwa jamaa akitokea na akaamua kumrudia aweke wazi, nitakubali matokea ingawa ni ngumu. Nimeingia nimeshajiandaa kisaikolojia kwa hilo ingawa najipa moyo kuwa mwamba ameshapotea mazima
 
Kwenye hili nakataa sio kila mwanamke ambaye hana mtoto alitumia P2 au njia zingine za kutoa mtoto au kila single mother hakuwahi kutumia P2 au njia zingine za uzazi.unaweza kuwa ni single mother na akawa amewahi kutoa mimba sema umechagua yupi azae nae naongea hili kwasababu ninawajua kabisa baadhi ya single mother walitoa mtoto wengine marafiki zangu wakaribu
Waliooa Single mother hujifariji kwa maneno hayo.
 
Back
Top Bottom