Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Nafikiri waliwauza kwa wazungu wengi wao.
Na kidogo wakapelekwa uarabuni
Nimekaa nchi za kiarabu nyingi na nimewaona watu weusi na hata Viongozi wakubwa na hata kwenye majeshi wamo wengi tena wenye vyeo vikubwa sana mpaka marubani nimewaona
Nimefanya nao kazi
Ila nilikuja kushangaa nilipokutana na Mpalestina mweusi
Mkuu sio yeyote unakutana nae duniani unampiga picha besides walikuwa sio watu wa karibu ila angesema kuwa asili yake ni mnyamwezi mbona ningefunga undungu 😄Mkuu hukupiga nao picha?
Asante sana Mkuu, watumwa wanavibweka sanaWatumwa ktk harakati za kuwatetea mabwana zenu.
Hii vita ya watetezi wa bwana mwarabu na bwana beberu wa uzunguni, ngumu kuisha maana Kila mtu anamtetea bwana wake
Kiufupi tu ni hivi, huyo mwarabu na hao wazungu wote ni mashetani ambao walifanya biashara haramu dhidi ya utu wa MTU mweusi.
Kibaya zaidi mwarabu ndie kawaharibu makondoo wake kiakili yamekuwa mazuzu, majinga hayaoni ukweli.
Yapo makondoo hata huko Zanzibar ambako Kuna ushahidi wa ukatili wa mwarabu ambako ndiko lilikuwa chimbo na soko la mawinga wa kuuza/kununua watu mchana kweupe, ushahidi upo lkn hayo majitu yamerogwa akili yanadai kuwa bwana wao mwarabu hakuuza watu weusi Bali kasingiziwa tu kwa chuki za mzungu.
Kitu kibaya ambacho bwana mwarabu alikitenda kumzidi bwana mzungu, ni kuwarithisha makondoo wake dini ya kitapeli ambayo inautukuza uzazi wa uarabu kulingana na stories za kipuuzi za hiyo dini ya bwana muarabu(uislamu), dini ambayo makondoo(wafia dini weusi) wanaitetea kuliko hata kuutetea uhalisia wao na jamii za weusi wenzao.
Watu weupe wote ni washenzi kwa hili mutambue ukweli, hakuna mwenye unafuu.
Waarabu na majahazi yao yalichukua watu wachache tofauti na meli kubwa za wazungu.Leo tunaona 13% ya population ya Marekani ikiwa ni ya watu weusi wengi wao kwa asilimia maradufu ni kizazi cha watumwa waliochukuliwa kutoka west africa.
Hivi wale waliokuwa wanatekwa wakina abushiri walipelekwa wapi na mark yao leo iko wapi.
Au walichukuliwa kwa uchache na kusambazwa maeneo tofauti ya waarabu?
Au walifutwa kama vile walivyofutwa wa pale argentina?
Uarabuni ni jangwa hakuna mashamba, mashamba yalikua America na ulaya. Waarabu walikua wanafanya biashara ya watumwa ,kuwauzia wazungu ili wapelekwe mashamban huko amerikaAfadhali hata wamarekani tunawaona waafrika huko ila hawa waarabu sijui waliwapeleka wapi waafrika, maana hatuwaoni katika mataifa yao, tuone hata machotara tu
Wapo blacks wachache kwenye baadhi ya nchi za kiarabu. Huwa sio rahisi kuwaona kwa sababu ni insignificant socially, economicaly and in terms of numbers. Wa marekani ni rahisi kuwaona kwa vile wanaenda shule, wanashiriki social events including sports and music na ni wengi kidogo na pia wengine wana mkwanja. Matukio ya marekani ni rahisi kuyaona kwenye TV na magazeti.
Lini umewahi kusoma arabic newspaper?
Lini umeangalia TV za kiarabu mbali na aljazeera?
Hilo jina Jesus lisikuchanganye sana, kwa Wareno ni jina la kawaida kabisa. Kuna Jesus mwingine anacheza Arsenal. OKORU NO O YAMERUWacha ujinga wa CCM na kanisa lenu , Abushiri alinunuwa watumwa kutoka kwa machifu wenu wa kiafrika .Walikuwa wakiwakamata wezi na walevi Kama nyinyi baadaye wakiwauza kuondosha hizo takataka kwenye tawala zao.
Wanunuzi ni Hao Makardinali wa Kireno na Kiengereza wao wakiwapeleka Marekani na Carribean kwenye mashamba ya kanisa. Meli ya kwanza kuchukuwa watumwa ikiitwa Jesus
Hz sura za kwetu kabisaWalienda kutupwa India huko.
Wapo vijijini huko wanaitwa SIDDI.
Ukiwaona huwezi kuwatofautisha na fatuma wa tandale labda aongee
View: https://youtu.be/OuqgRHSxEOg?si=Okm5htH2Qabz6A73
Nitafutie Dili la kazi za Ujenzi uarabuni.Hapa tunaongelea vitu ninavyojua wala sina mda wa ku google kwa sababu ni shuhuda na nimeishi kote Uarabuni na Ulaya na Africa pia
Pia hata wewe unaweza kuwa John au Peter lakini haikufanyi uwe mzungu bali mwafrika tu
Hapa tunajadili tu wala hakuna udini wala ukabila
Na kiukweli sielewi kabisa una maana gani kwa kuandika haya
Siwatetei waarabu wala waafrika bali nimeandika ninachojua
Nimejaza passports 4 kwa mihuri ya nchi kibao kwa hiyo ninajua ninachoandika
ni jamii hiyohiyo ya waarabu, sijui kwa nini huwa mnawatoa wairan kwa waarabu wakati ni jamii moja na wamo katika jumuiya ya nchi za kiarabu
Ilikuwa miaka ya nyuma sana hiyo ila kwa sasa niko opposite ya waarabuNitafutie Dili la kazi za Ujenzi uarabuni.
Umeongea ukweli usiopingikaWatumwa ktk harakati za kuwatetea mabwana zenu.
Hii vita ya watetezi wa bwana mwarabu na bwana beberu wa uzunguni, ngumu kuisha maana Kila mtu anamtetea bwana wake
Kiufupi tu ni hivi, huyo mwarabu na hao wazungu wote ni mashetani ambao walifanya biashara haramu dhidi ya utu wa MTU mweusi.
Kibaya zaidi mwarabu ndie kawaharibu makondoo wake kiakili yamekuwa mazuzu, majinga hayaoni ukweli.
Yapo makondoo hata huko Zanzibar ambako Kuna ushahidi wa ukatili wa mwarabu ambako ndiko lilikuwa chimbo na soko la mawinga wa kuuza/kununua watu mchana kweupe, ushahidi upo lkn hayo majitu yamerogwa akili yanadai kuwa bwana wao mwarabu hakuuza watu weusi Bali kasingiziwa tu kwa chuki za mzungu.
Kitu kibaya ambacho bwana mwarabu alikitenda kumzidi bwana mzungu, ni kuwarithisha makondoo wake dini ya kitapeli ambayo inautukuza uzazi wa uarabu kulingana na stories za kipuuzi za hiyo dini ya bwana muarabu(uislamu), dini ambayo makondoo(wafia dini weusi) wanaitetea kuliko hata kuutetea uhalisia wao na jamii za weusi wenzao.
Watu weupe wote ni washenzi kwa hili mutambue ukweli, hakuna mwenye unafuu.
CPT=Selemala. najenga nguzo, slabu, bim.Ilikuwa miaka ya nyuma sana hiyo ila kwa sasa niko opposite ya waarabu
Vipi ujenzi haulipi huko ulipo
Na ni ujenzi wa aina gani huo
Watu watembeemiji kama Tabora, kigoma , lindi ambapo waarabu waliishi wapi na walipokuja wazungu walikaa wapi, utagundua mwarabu alichanganyika na mzungu alijitenga kama kusoma huwezi basi tembea na fikiliaMkuu hawa jamaaa wanaotoa maoni hasi ni wajinga sana sana. Hivi hizi ni zama za kuamini propaganda ! Yaani mtu anashindwa kufuatilia ukweli na kuamini vitabu vya drs la 4 na 5.
Internet imejaa taarifa kedekede vipi mtu ae delee kuwa mjinga na kuamini taarifa ya chanso kimoja cha habari .
Siwapendi warabu ila
Kuamini ujinga kwangu kamwe.
Warabu ndio watu weupe ambao wengi wao wamechanganya damu na watu weusi, ina maana watu hawaoni hata pale morroco, Libya, Saudia.
Je kule India hakuna watu wanaitwa Sidis ambao ni zao la utumwa. Pakistan, Uturuki kote huko mbona kuna ex slave wengi tu.
Kwa nini watu wana amini ujinga ? Watu jielimisheni aisee. Mnatia aibu, ndio maana wakenya wanasema watanzania hawana elimu huenda ikawa kweli.
You tube kuna documentary nyingi za watu weusi wa ara Asia.
Bora umethibitisha kuwa umewaona kwa macho huenda wakaacha kuamini ujinga.
Acha upuuzi wewe asilimia kubwa mwarabu alikua anamuuzia mzungu watumwa na hata hivyo mbona waarabu weusi wapo wengi tuAfadhali hata wamarekani tunawaona waafrika huko ila hawa waarabu sijui waliwapeleka wapi waafrika, maana hatuwaoni katika mataifa yao, tuone hata machotara tu
Umeongea ukweli usiopingika
Nashangaa mijadala kama hii inakuwa ya kutetea upande badala ya kusema yaliojiri
Walichofanya hao kwetu ni Jambo baya sana na walitakiwa hata walipe ushenzi huo
Ila mada ilikuwa tofauti ikarudi kwa baadhi kuanza kejeli na matusi
Hivi kweli waarabu wawabebe maelfu wawapeleke kwao hata maendeleo hakuna na ardhi ya kulima hakuna
Sasa wakafanye nini huko
Wakati wao pia njaa
Wazungu waliwachukua kwenda kuwalimisha mashamba
Watumwa waliosafirishwa kwa njia ya Zanzibar wengi walienda bara Hindi na Uarabuni kwenyewe. Walienda kwa wazungu walipelekwa visiwa vya Reunion, Mauritius n Madagascar. Bado tunawaona.Acha upuuzi wewe asilimia kubwa mwarabu alikua anamuuzia mzungu watumwa na hata hivyo mbona waarabu weusi wapo wengi tu
Tena hawa machifu ndio wabaya zaidiHawakuwachukuwa tu waliwanunua kwa pesa , Hata machifu wa kiafrika waliwauza kwa kupata pesa
Kuwaona hao wa USA sawa unawaona jee lakini unaijua system yao walio wekewa kuishi huko?.Mbona nchi za wazungu weusi wako huru sana? Tunawaona kwenye mpira, muziki na shughuli zingine.
Barack Obama, 50 Cent, lil wayne, movies km zote nk. Ufaransa ndiyo wapo wengi sana.
Waarabu kutoka Syria walikuwa wanakufa majini wakienda nchi za ulaya