Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Mkuu hukupiga nao picha?
Nafikiri waliwauza kwa wazungu wengi wao.
Na kidogo wakapelekwa uarabuni
Nimekaa nchi za kiarabu nyingi na nimewaona watu weusi na hata Viongozi wakubwa na hata kwenye majeshi wamo wengi tena wenye vyeo vikubwa sana mpaka marubani nimewaona
Nimefanya nao kazi
Ila nilikuja kushangaa nilipokutana na Mpalestina mweusi