Hivi kile kizazi cha watumwa waliokuwa wanachukuliwa na waarabu kutoka Tanganyika kiliishia katika taifa/mataifa yapi?

Hivi kile kizazi cha watumwa waliokuwa wanachukuliwa na waarabu kutoka Tanganyika kiliishia katika taifa/mataifa yapi?

Mkuu hukupiga nao picha?
Nafikiri waliwauza kwa wazungu wengi wao.

Na kidogo wakapelekwa uarabuni

Nimekaa nchi za kiarabu nyingi na nimewaona watu weusi na hata Viongozi wakubwa na hata kwenye majeshi wamo wengi tena wenye vyeo vikubwa sana mpaka marubani nimewaona

Nimefanya nao kazi
Ila nilikuja kushangaa nilipokutana na Mpalestina mweusi
 
Watumwa ktk harakati za kuwatetea mabwana zenu.

Hii vita ya watetezi wa bwana mwarabu na bwana beberu wa uzunguni, ngumu kuisha maana Kila mtu anamtetea bwana wake

Kiufupi tu ni hivi, huyo mwarabu na hao wazungu wote ni mashetani ambao walifanya biashara haramu dhidi ya utu wa MTU mweusi.

Kibaya zaidi mwarabu ndie kawaharibu makondoo wake kiakili yamekuwa mazuzu, majinga hayaoni ukweli.

Yapo makondoo hata huko Zanzibar ambako Kuna ushahidi wa ukatili wa mwarabu ambako ndiko lilikuwa chimbo na soko la mawinga wa kuuza/kununua watu mchana kweupe, ushahidi upo lkn hayo majitu yamerogwa akili yanadai kuwa bwana wao mwarabu hakuuza watu weusi Bali kasingiziwa tu kwa chuki za mzungu.

Kitu kibaya ambacho bwana mwarabu alikitenda kumzidi bwana mzungu, ni kuwarithisha makondoo wake dini ya kitapeli ambayo inautukuza uzazi wa uarabu kulingana na stories za kipuuzi za hiyo dini ya bwana muarabu(uislamu), dini ambayo makondoo(wafia dini weusi) wanaitetea kuliko hata kuutetea uhalisia wao na jamii za weusi wenzao.

Watu weupe wote ni washenzi kwa hili mutambue ukweli, hakuna mwenye unafuu.
Asante sana Mkuu, watumwa wanavibweka sana
 
Leo tunaona 13% ya population ya Marekani ikiwa ni ya watu weusi wengi wao kwa asilimia maradufu ni kizazi cha watumwa waliochukuliwa kutoka west africa.

Hivi wale waliokuwa wanatekwa wakina abushiri walipelekwa wapi na mark yao leo iko wapi.

Au walichukuliwa kwa uchache na kusambazwa maeneo tofauti ya waarabu?

Au walifutwa kama vile walivyofutwa wa pale argentina?
Waarabu na majahazi yao yalichukua watu wachache tofauti na meli kubwa za wazungu.
Nenda Saudia,Oman hadi India watu weusi wengi sana wamekuwa assimilated na wengine machotara, ukisoma historia ya Iraq ya enzi hizo Kuna miaka mia tatu ilitawaliwa na vizazi vya watumwa toka Afrika Mashariki.
Mwisho waliopelekwa nchi za Marekani waliopelekwa na wanawake wazaliane na kupatika watumwa wapya wa bure.
 
Afadhali hata wamarekani tunawaona waafrika huko ila hawa waarabu sijui waliwapeleka wapi waafrika, maana hatuwaoni katika mataifa yao, tuone hata machotara tu
Uarabuni ni jangwa hakuna mashamba, mashamba yalikua America na ulaya. Waarabu walikua wanafanya biashara ya watumwa ,kuwauzia wazungu ili wapelekwe mashamban huko amerika
 
Wapo blacks wachache kwenye baadhi ya nchi za kiarabu. Huwa sio rahisi kuwaona kwa sababu ni insignificant socially, economicaly and in terms of numbers. Wa marekani ni rahisi kuwaona kwa vile wanaenda shule, wanashiriki social events including sports and music na ni wengi kidogo na pia wengine wana mkwanja. Matukio ya marekani ni rahisi kuyaona kwenye TV na magazeti.

Lini umewahi kusoma arabic newspaper?
Lini umeangalia TV za kiarabu mbali na aljazeera?
Wacha ujinga wa CCM na kanisa lenu , Abushiri alinunuwa watumwa kutoka kwa machifu wenu wa kiafrika .Walikuwa wakiwakamata wezi na walevi Kama nyinyi baadaye wakiwauza kuondosha hizo takataka kwenye tawala zao.
Wanunuzi ni Hao Makardinali wa Kireno na Kiengereza wao wakiwapeleka Marekani na Carribean kwenye mashamba ya kanisa. Meli ya kwanza kuchukuwa watumwa ikiitwa Jesus
Hilo jina Jesus lisikuchanganye sana, kwa Wareno ni jina la kawaida kabisa. Kuna Jesus mwingine anacheza Arsenal. OKORU NO O YAMERU
 
Hapa tunaongelea vitu ninavyojua wala sina mda wa ku google kwa sababu ni shuhuda na nimeishi kote Uarabuni na Ulaya na Africa pia
Pia hata wewe unaweza kuwa John au Peter lakini haikufanyi uwe mzungu bali mwafrika tu
Hapa tunajadili tu wala hakuna udini wala ukabila
Na kiukweli sielewi kabisa una maana gani kwa kuandika haya
Siwatetei waarabu wala waafrika bali nimeandika ninachojua
Nimejaza passports 4 kwa mihuri ya nchi kibao kwa hiyo ninajua ninachoandika
Nitafutie Dili la kazi za Ujenzi uarabuni.
 
ni jamii hiyohiyo ya waarabu, sijui kwa nini huwa mnawatoa wairan kwa waarabu wakati ni jamii moja na wamo katika jumuiya ya nchi za kiarabu

Waarabu ni watu wanaoongea Kiarabu kama lugha yao ya kwanza. Wa Iran wanaongea Farsi kama lugha yao ya kwanza, hawaongei Kiarabu kama lugha yao ya kwanza.

"Iran and Turkey are not Arab countries and their primary languages are Farsi and Turkish respectively. "

 
Watumwa ktk harakati za kuwatetea mabwana zenu.

Hii vita ya watetezi wa bwana mwarabu na bwana beberu wa uzunguni, ngumu kuisha maana Kila mtu anamtetea bwana wake

Kiufupi tu ni hivi, huyo mwarabu na hao wazungu wote ni mashetani ambao walifanya biashara haramu dhidi ya utu wa MTU mweusi.

Kibaya zaidi mwarabu ndie kawaharibu makondoo wake kiakili yamekuwa mazuzu, majinga hayaoni ukweli.

Yapo makondoo hata huko Zanzibar ambako Kuna ushahidi wa ukatili wa mwarabu ambako ndiko lilikuwa chimbo na soko la mawinga wa kuuza/kununua watu mchana kweupe, ushahidi upo lkn hayo majitu yamerogwa akili yanadai kuwa bwana wao mwarabu hakuuza watu weusi Bali kasingiziwa tu kwa chuki za mzungu.

Kitu kibaya ambacho bwana mwarabu alikitenda kumzidi bwana mzungu, ni kuwarithisha makondoo wake dini ya kitapeli ambayo inautukuza uzazi wa uarabu kulingana na stories za kipuuzi za hiyo dini ya bwana muarabu(uislamu), dini ambayo makondoo(wafia dini weusi) wanaitetea kuliko hata kuutetea uhalisia wao na jamii za weusi wenzao.

Watu weupe wote ni washenzi kwa hili mutambue ukweli, hakuna mwenye unafuu.
Umeongea ukweli usiopingika
Nashangaa mijadala kama hii inakuwa ya kutetea upande badala ya kusema yaliojiri
Walichofanya hao kwetu ni Jambo baya sana na walitakiwa hata walipe ushenzi huo
Ila mada ilikuwa tofauti ikarudi kwa baadhi kuanza kejeli na matusi

Hivi kweli waarabu wawabebe maelfu wawapeleke kwao hata maendeleo hakuna na ardhi ya kulima hakuna
Sasa wakafanye nini huko
Wakati wao pia njaa
Wazungu waliwachukua kwenda kuwalimisha mashamba
 
Mkuu hawa jamaaa wanaotoa maoni hasi ni wajinga sana sana. Hivi hizi ni zama za kuamini propaganda ! Yaani mtu anashindwa kufuatilia ukweli na kuamini vitabu vya drs la 4 na 5.
Internet imejaa taarifa kedekede vipi mtu ae delee kuwa mjinga na kuamini taarifa ya chanso kimoja cha habari .
Siwapendi warabu ila
Kuamini ujinga kwangu kamwe.
Warabu ndio watu weupe ambao wengi wao wamechanganya damu na watu weusi, ina maana watu hawaoni hata pale morroco, Libya, Saudia.
Je kule India hakuna watu wanaitwa Sidis ambao ni zao la utumwa. Pakistan, Uturuki kote huko mbona kuna ex slave wengi tu.
Kwa nini watu wana amini ujinga ? Watu jielimisheni aisee. Mnatia aibu, ndio maana wakenya wanasema watanzania hawana elimu huenda ikawa kweli.
You tube kuna documentary nyingi za watu weusi wa ara Asia.
Bora umethibitisha kuwa umewaona kwa macho huenda wakaacha kuamini ujinga.
Watu watembeemiji kama Tabora, kigoma , lindi ambapo waarabu waliishi wapi na walipokuja wazungu walikaa wapi, utagundua mwarabu alichanganyika na mzungu alijitenga kama kusoma huwezi basi tembea na fikilia
 
Afadhali hata wamarekani tunawaona waafrika huko ila hawa waarabu sijui waliwapeleka wapi waafrika, maana hatuwaoni katika mataifa yao, tuone hata machotara tu
Acha upuuzi wewe asilimia kubwa mwarabu alikua anamuuzia mzungu watumwa na hata hivyo mbona waarabu weusi wapo wengi tu
 
Umeongea ukweli usiopingika
Nashangaa mijadala kama hii inakuwa ya kutetea upande badala ya kusema yaliojiri
Walichofanya hao kwetu ni Jambo baya sana na walitakiwa hata walipe ushenzi huo
Ila mada ilikuwa tofauti ikarudi kwa baadhi kuanza kejeli na matusi

Hivi kweli waarabu wawabebe maelfu wawapeleke kwao hata maendeleo hakuna na ardhi ya kulima hakuna
Sasa wakafanye nini huko
Wakati wao pia njaa
Wazungu waliwachukua kwenda kuwalimisha mashamba

Hawakuwachukuwa tu waliwanunua kwa pesa , Hata machifu wa kiafrika waliwauza kwa kupata pesa
 
Kwani uliwahi kuona mwarabu anaolewa na mweusi? Tafuta kama utapata. Wengi walihasiwa kwa hiyo hawakuzaliana. Wengi wanaoonekana ni kizazi Cha wanawake waliobakwa na ndio maana hawana majina ya kiafrika au hulka ya kiafrika. Wamerithishwa utamaduni wa kiarabu na baba zao, na wengine wametengwa.
Hata Leo waafrika wanaonenda Uarabuni kutafuta kazi hawapewi uria bali wanapewa Kibali Cha kuishi na kufanya kazi tu.
 
Acha upuuzi wewe asilimia kubwa mwarabu alikua anamuuzia mzungu watumwa na hata hivyo mbona waarabu weusi wapo wengi tu
Watumwa waliosafirishwa kwa njia ya Zanzibar wengi walienda bara Hindi na Uarabuni kwenyewe. Walienda kwa wazungu walipelekwa visiwa vya Reunion, Mauritius n Madagascar. Bado tunawaona.
Kuna matanga yalikua yanafanya safari kwenda Uarabuni mengi tu na hakuna kizazi hicho. Mpende Mungu na kumuabudu Mungu. Ruhusu mwarabu akosolewe.
 
Mwarabu aliwaminya kende hao masalia mnaowaona wametokana na wanawake waliobakwa
 
Mbona nchi za wazungu weusi wako huru sana? Tunawaona kwenye mpira, muziki na shughuli zingine.
Barack Obama, 50 Cent, lil wayne, movies km zote nk. Ufaransa ndiyo wapo wengi sana.
Waarabu kutoka Syria walikuwa wanakufa majini wakienda nchi za ulaya
Kuwaona hao wa USA sawa unawaona jee lakini unaijua system yao walio wekewa kuishi huko?.

Angalia level ya elimu yao na maisha yao wanavyo ishi ukienda USA hao black wakipata hela wanahama kwenye neighborhood zao(PJ). Na kuhamia neighborhood za white na huko kwa white nako hawapewi heshima kama ya ukaazi kama ya white. Watu weusi wanahitaji kujitukuza kuanzia barani kwetu Afrika ili kwengine tupate heshima pia.

Lakini leo tourists ana thamani kuliko mzaliwa kipaombele cha utalii kipo mbele zaidi kuliko kipaombele cha wananchi.
 
Back
Top Bottom