Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo taasisi zinaangalia wale wanaokuwa victimized na sio wanaowa victimize wenzaoJikite kwenye hoja za msingi, achana na ngonjera au huelewi kirefu cha LHRC?
Mama Samia bila aibu wala soni aliwadhalilisha wanawake wenzake hiyo taasisi ilipiga kimya leo kwa makonda wanapiga kelele.Hizo taasisi zinaangalia wale wanaokuwa victimized na sio wanaowa victimize wenzao
Mama samia aliwadhalilisha wapi hukoMama Samia bila aibu wala soni aliwadhalilisha wanawake wenzake hiyo taasisi ilipiga kimya leo kwa makonda wanapiga kelele.
Waache double standard
Ikulu, wanamichezo wenye jinsia ya kikeMama samia aliwadhalilisha wapi huko
Binadamu kaweka hapo kama mwavuli ila lengo ndio linaonekana kama hivi sasa.Mbona wanakiita kituo cha sheria na haki za binadamu, kwani binadamu ni wanawake tu
Ukishazaliwa mwanaume, ujue mtetezi wako ni wewe mwenyewe. Mfano wale wanaokataa ndoa, wanajitetea, maana washajua kilichomo ndani.., yaani sheria inambeba mwanamke mwanzo mwisho.., halafu mizigo yote anabeneshwa mwanaume…, jiteteeni wenyeweNashangazwa na utendaji kazi wa taasisi hii (LHRC) Huwa wanaibuka pale anapoguswa mwanamke lakini kati hutawaona mwanamke akidhalilisha mwanaume.
Sasa wanamwandama makonda , Jana walimwandama Ngosha wa Goba, juzi wakamwanda Oscar Oscar.
Lakini hawakujikutokeza kumuonya Christina Shusho alivyomdhalilisha mmewe,
Hatukuwaona wakiwaonya Pauline Gekul alivyomdhalilisha kijana Kwa kumwekea chupa kijana sehemu ya haja kubwa.
Hawawakemei wanawake wanatoa faragha za waume zao hadharani na Huwa wanapongeza.
Au mwanaume hana mtetezi ikitokea mwanaume amedhalilishwa akachukua sheria mkonono mtaanza maneno.
Binafsi sioni kosa la makonda, yule mama alikosea mno watu wanahojo vitu vya msingi yeye analegeza sauti akihojiwa eti kadhalilishwa, kadhalilishwa vip kwani kavuliwa nguo, kachwapwa viboko, alibakwa au udhalilishaji Gani ulifanywa,
Yani kumsihi mtu aongeze sauti ndo kumdhalilisha
Hao wanawake wanaotetewa ndiyo hao wanaojibinua na kutingisha makalio na kukaa uchi Tiktok,insta,fb?Nashangazwa na utendaji kazi wa taasisi hii (LHRC) Huwa wanaibuka pale anapoguswa mwanamke lakini kati hutawaona mwanamke akidhalilisha mwanaume.
Sasa wanamwandama makonda , Jana walimwandama Ngosha wa Goba, juzi wakamwanda Oscar Oscar.
Lakini hawakujikutokeza kumuonya Christina Shusho alivyomdhalilisha mmewe,
Hatukuwaona wakiwaonya Pauline Gekul alivyomdhalilisha kijana Kwa kumwekea chupa kijana sehemu ya haja kubwa.
Hawawakemei wanawake wanatoa faragha za waume zao hadharani na Huwa wanapongeza.
Au mwanaume hana mtetezi ikitokea mwanaume amedhalilishwa akachukua sheria mkonono mtaanza maneno.
Binafsi sioni kosa la makonda, yule mama alikosea mno watu wanahojo vitu vya msingi yeye analegeza sauti akihojiwa eti kadhalilishwa, kadhalilishwa vip kwani kavuliwa nguo, kachwapwa viboko, alibakwa au udhalilishaji Gani ulifanywa,
Yani kumsihi mtu aongeze sauti ndo kumdhalilisha
Mie ningekuwa huyo kijana hata kama huyo Pauline ananizidi hela ningetulua tu nikimtafutia angle,lazima ningelipiza.Tukijipambania yakatokea ya Goba ndo utaona mwanaume amepambana.
Hiko kituo kinahisika na binadamu wote, kwani binadamu ni wanawake tu.
Pauline Gekul alivyomdhalilisha kijana Kwa kumwekea chupa sehemu ya haja kubwa mbona hakukemewa.
Christina Shusho aliyemdhalilisha mme wake kwenye vyombo habari mbona hakukemewa. Au ulitaka mme wake amkate mapanga ndo ujue mwanaume ni simba
AlifanyajeIkulu, wanamichezo wenye jinsia ya kike
Kabiiiiiiiiiisa lo. Akili zetu tunazijua wenyewee!
CCM NI MAVII ...KUNA MBUNGE MWANAMKE KAMUINGIZIA CHUPA MWANAUME SEHEMU ZA SIRI ..KILA KITU KIPO WAZI KESI IMEFUNGWA KIMTINDO ILA UTASHANGAA KUHUSU HOJA ZAO WAPUMBAVU WA CHADEMA NA MAFISADI YA CCM KUHUSU MAKONDA ETI KAMDHALILISHA MWANAMKE VERY NO SENSENashangazwa na utendaji kazi wa taasisi hii (LHRC) Huwa wanaibuka pale anapoguswa mwanamke lakini kati hutawaona mwanamke akidhalilisha mwanaume.
Sasa wanamwandama makonda , Jana walimwandama Ngosha wa Goba, juzi wakamwanda Oscar Oscar.
Lakini hawakujikutokeza kumuonya Christina Shusho alivyomdhalilisha mmewe,
Hatukuwaona wakiwaonya Pauline Gekul alivyomdhalilisha kijana Kwa kumwekea chupa kijana sehemu ya haja kubwa.
Hawawakemei wanawake wanatoa faragha za waume zao hadharani na Huwa wanapongeza.
Au mwanaume hana mtetezi ikitokea mwanaume amedhalilishwa akachukua sheria mkonono mtaanza maneno.
Binafsi sioni kosa la makonda, yule mama alikosea mno watu wanahojo vitu vya msingi yeye analegeza sauti akihojiwa eti kadhalilishwa, kadhalilishwa vip kwani kavuliwa nguo, kachwapwa viboko, alibakwa au udhalilishaji Gani ulifanywa,
Yani kumsihi mtu aongeze sauti ndo kumdhalilisha
Kabisa mkuuUkishazaliwa mwanaume, ujue mtetezi wako ni wewe mwenyewe. Mfano wale wanaokataa ndoa, wanajitetea, maana washajua kilichomo ndani.., yaani sheria inambeba mwanamke mwanzo mwisho.., halafu mizigo yote anabeneshwa mwanaume…, jiteteeni wenyewe
Sasa unalalamika nini, Kwani wewe ni MWANAUME?Nashangazwa na utendaji kazi wa taasisi hii (LHRC) Huwa wanaibuka pale anapoguswa mwanamke lakini kati hutawaona mwanamke akidhalilisha mwanaume.
Sasa wanamwandama makonda , Jana walimwandama Ngosha wa Goba, juzi wakamwanda Oscar Oscar.
Lakini hawakujikutokeza kumuonya Christina Shusho alivyomdhalilisha mmewe,
Hatukuwaona wakiwaonya Pauline Gekul alivyomdhalilisha kijana Kwa kumwekea chupa kijana sehemu ya haja kubwa.
Hawawakemei wanawake wanatoa faragha za waume zao hadharani na Huwa wanapongeza.
Au mwanaume hana mtetezi ikitokea mwanaume amedhalilishwa akachukua sheria mkonono mtaanza maneno.
Binafsi sioni kosa la makonda, yule mama alikosea mno watu wanahojo vitu vya msingi yeye analegeza sauti akihojiwa eti kadhalilishwa, kadhalilishwa vip kwani kavuliwa nguo, kachwapwa viboko, alibakwa au udhalilishaji Gani ulifanywa,
Yani kumsihi mtu aongeze sauti ndo kumdhalilisha
[emoji1621]So wanaume wakihoji utendaji wa taasisi inapofanya majukumu yake nusu nusu maana yake wamekuwa dhaifu, unataka wanaume wajichukulie sheria mikononi au tukueleweje? Kuhoji ni namna ya kuiwajibisha taasisi ambayo imepewa jukumu la kuwa mwangalizi, kiranja na mzungumzaji kwa niaba ya wote sio jinsia moja, kila mtu akiamua kujitafutia haki kivyake then kuna makundi yataonewa especially wazee,watoto na wanawake.Basi ifike mahala wanaume mseme tu kwamba na ninyi siku hizi ni viumbe dhaifu kama wanawake ili jamii ijue moja, maana kwa miaka mingi mmekuwa mkijitutumua kwamba oo mwanaume ni mwanaume tu hatakiwi kulinganishwa na mwanamke, oo hakuna mwanamke anayeweza kumpiga mwanaume oo hakuna mwanamke anayeweza kumbaka mwanaume sijui mwanaume ni simba mwanamke ni swala sijui nini na kauli nyingine kama hizo
Siku zote mlitengeneza ile mentality ya kwamba mwanamke hawezi kushindana na mwanaume na akashinda kwahiyo hata kama mwanaume ndio ana makosa basi mwanamke asijaribu kulipa kisasi kwa namna yoyote ile, kwa sababu ni yeye ndiye atakayeumia na ndiye atakayeshindwa hivyo siku zote ataishia kuwa victim kwahiyo atulie na avumilie tu, kwa sababu naturally wanaume ni viumbe waliopendelewa akili, nguvu, uwezo na mamlaka juu ya wanawake na mkadai kwamba mtoto wa kike ndiye anayetakiwa kuangaliwa kwa umakini zaidi kwenye malezi ila wa kiume hana shida yeye hata akipewa uhuru jamii haiwezi kuharibika
Sasa jamii baada ya kuona hivyo na kuamua kuanza kuwasikiliza na kuwasaidia wanawake ambao wamekuwa victims kwa muda mrefu mnaibuka tena na kuanza kusema wanaume wamesahaulika, sasa mmesahaulika kivipi wakati siku zote mmekuwa mkiiaminisha jamii kwamba mtoto wa kiume ni strong hahitaji kupambaniwa bali anajipambania mwenyewe kwahiyo mnapoanza kulialia hivi mnatupa mashaka na uanaume wenu, siku zote wanaohitaji kuangaliwa na kupambaniwa ni viumbe dhaifu tu sasa imekuwaje tena au ndio umefika mwisho wa hizo propaganda tulizokuwa tunaaminishwa na sasa ndio ukweli halisi unafichuka na mbivu na mbichi zinaanza kujulikana