Hivi kituo cha sheria na haki za binadamu(LHRC), kinawatetea tu wanawake

Hivi kituo cha sheria na haki za binadamu(LHRC), kinawatetea tu wanawake

Tukijipambania yakatokea ya Goba ndo utaona mwanaume amepambana.
Hiko kituo kinahisika na binadamu wote, kwani binadamu ni wanawake tu.
Pauline Gekul alivyomdhalilisha kijana Kwa kumwekea chupa sehemu ya haja kubwa mbona hakukemewa.
Christina Shusho aliyemdhalilisha mme wake kwenye vyombo habari mbona hakukemewa. Au ulitaka mme wake amkate mapanga ndo ujue mwanaume ni simba
Hapa hatajibu anapenda sana kubash wanaume for no ground reasons.
 
Siyo kweli hata kidogo. Ukienda pale kinondoni. Watu wote wa rika zote wanapewa msaada wa kisheria
Kwani huyo wanaesema kadhalilishwa na makonda alienda hapo ofisini kinondoni?siwaliona tu mtandaoni wakatoa tamko kwann ya wanaume mpk waende ofisini ?
 
Mkuu kwani hayo ya kukatana mapanga yameanza juzi hayo si yalikuwepo toka enzi za wazee wetu, na ndio yaliyosababisha serikali zianze kuingilia kati kuwasikiliza na kuwasaidia wanawake, baada ya kuona kwamba wao ndio wahanga wakubwa wa unyanyasaji wa kijinsia sasa ninyi mnaojiita strong huo uhanga kwenu umeanza lini

Enzi za wazee wako na nani mimi ukoo wangu wote pande mbili sijawahi sikia kuwepo na ugomvi wa kupigana na silaha kati ya mume na mke, different na mapishano ni ya viwango vya kawaida tu. Wewe kwann unapenda kupotosha hapa na reference zako za kubuni, wazee hao waliokatana napanga wanaishi kijiji chenu au? [emoji848]

Halafu jibu alichouliza, amekuuliza yule bwana mdogo aliyedhalilishwa kijinsia na yule mbunge wa kike mbona hii taasisi haikufanya kazi yake ya kukemea na kutolea macho lile swala why ilipita kimya kimya waliolalamika ni watu wengine kabisa?

Kwann huyo msanii wa gospel alivyo mdhalilisha mume wake kwenye vyombo vya habari kwa mambo private hakukemewa wala mafeminist hamkukerwa na alichotenda?

Mara ngapi yanatokea matukio yanayoashiria wazi wanawake wanatumia vibaya nafasi zao na nyadhifa na hakuna kinachosemwa wala kutamkwa na hiyo taasisi inayojinasibu kusimamia haki za binadamu?

Naongezea pia mfano mwingine, siku ile Jokate alipotoa kauli ya ubaguzi kuhusu uchaguzi kuwahamasisha wanawake kutopigia kura wanaume sababu kwasasa wao ndio wanastahili kupewa nafasi za uongozi why hakukemewa na hii taasisi kuwa ana violate haki za kimsingi za kikatiba kwa raia kumchagua kiongozi wanaemtaka bila kuwa na mlengo wowote wa kibaguzi.

Jibu kwann? [emoji848]
 
Jikite kwenye hoja za msingi, achana na ngonjera au huelewi kirefu cha LHRC?
Technique yake hiyo ya kukwepa hoja, atakuletea maelezo marefu kama risala ya Samia na humo ndani ni full kuhama hama topic yaani anakuwa kama anakulaumu kwa vitu ambavyo kwanza haujagusia kwenye hoja yako, pili vipo nje ya context ya majadiliano, tatu havina uzito kwenye mada husika ila tu anavileta kukuletea mkaranganyiko ambao yeye anautumia kwa advantage yake ili aonekane anazo hoja kali kukushinda.

Huwa hawezi discussions yeye ni very argumentative kwenye mijadala ili ashinde. Sijui ni muha huyu binti?[emoji23]
 
Hizo taasisi zinaangalia wale wanaokuwa victimized na sio wanaowa victimize wenzao
Sasa kama ni hivyo kwann kuna matukio huwa yanatokea na yanakuwa very popular tena kuwahusu wanaume kufanyiwa ndivyo sivyo ila wao wanapiga kimya na huwezi kuta wameandaa statement kukemea?

Kuna siku "Rebecca Gyumi" anatoa waraka akiwa na Freemason wenzake wakitamkia serikali na jamii kuwa hawataki zile kampeni za kukemea ukatili wa kijinsia ziwahusishe wanaume bali ziwe kwaajiri ya wanawake na watoto tu. Na alirudia zaidi ya mara sita hiyo kauli tena anaongea kwa hasira.

Ilizua mjadala sana ile kauli na watu walihoji hadi wizara husika kuwa huo waraka wa kipuuzi wao wanaukalia kimya kweli? Sikuwaona hawa shirika la haki za binadamu kusema lolote walipiga kimya kama mwizi kituo cha polisi.

How do you respond to that, unaamini kuwa wanaokuwa victimized ni wanawake pekee yao? Je Wanaume kwa idadi kubwa kushinda wanawake hawezi kuwa victims wa domestic violence, unataka kujua ukweli au upo kwenye hii mitandao kufanya fujo tu na mizaha huku ukiwa haujui lolote kuhusu uhalisia? [emoji848]
 
Mama samia aliwadhalilisha wapi huko
Haukuona kwenye vyombo vya habari ile siku anawasema vibaya wadada wanaocheza mipira kuwa wanakuwa wamekomaa kama wanaume na akazungumza mambo kede wa kede ambayo hayakuwa rafiki kwenye masikio ya wanajamii? Nenda huko mtandaoni video zipo utaziona.
 
Enzi za wazee wako na nani mimi ukoo wangu wote pande mbili sijawahi sikia kuwepo na ugomvi wa kupigana na silaha kati ya mume na mke, different na mapishano ni ya viwango vya kawaida tu. Wewe kwann unapenda kupotosha hapa na reference zako za kubuni, wazee hao waliokatana napanga wanaishi kijiji chenu au? [emoji848]

Halafu jibu alichouliza, amekuuliza yule bwana mdogo aliyedhalilishwa kijinsia na yule mbunge wa kike mbona hii taasisi haikufanya kazi yake ya kukemea na kutolea macho lile swala why ilipita kimya kimya waliolalamika ni watu wengine kabisa?

Kwann huyo msanii wa gospel alivyo mdhalilisha mume wake kwenye vyombo vya habari kwa mambo private hakukemewa wala mafeminist hamkukerwa na alichotenda?

Mara ngapi yanatokea matukio yanayoashiria wazi wanawake wanatumia vibaya nafasi zao na nyadhifa na hakuna kinachosemwa wala kutamkwa na hiyo taasisi inayojinasibu kusimamia haki za binadamu?

Naongezea pia mfano mwingine, siku ile Jokate alipotoa kauli ya ubaguzi kuhusu uchaguzi kuwahamasisha wanawake kutopigia kura wanaume sababu kwasasa wao ndio wanastahili kupewa nafasi za uongozi why hakukemewa na hii taasisi kuwa ana violate haki za kimsingi za kikatiba kwa raia kumchagua kiongozi wanaemtaka bila kuwa na mlengo wowote wa kibaguzi.

Jibu kwann? [emoji848]
Umenena vyema mkuu
 
[emoji1621]So wanaume wakihoji utendaji wa taasisi inapofanya majukumu yake nusu nusu maana yake wamekuwa dhaifu, unataka wanaume wajichukulie sheria mikononi au tukueleweje? Kuhoji ni namna ya kuiwajibisha taasisi ambayo imepewa jukumu la kuwa mwangalizi, kiranja na mzungumzaji kwa niaba ya wote sio jinsia moja, kila mtu akiamua kujitafutia haki kivyake then kuna makundi yataonewa especially wazee,watoto na wanawake.

[emoji1621]Ukisema tulitengeneza ni lazima uwe specific nani, lini na kwa madhumuni gani, kimsingi usipotoshe. Always unapenda kureference from the place you have never been but you assume you were born in, wewe vitu unavyovisemea vimekukuta au kutokea katika nyakati zipi au ndio ile ukitazama kazi za sanaa na maigizo ndio unashika kuwa ndio reality yako? Young lady, pay attention how you make your arguments. You are so obsessed na past events ambazo am sure miaka unazaliwa possibly zilikuwa zimeshaisha na kutokomezwa kwa sehemu kubwa. You definitely speak from a point of "hear say" acha hizo mbaga.
Haya maneno unaongea hapa ni lini wanaume walikaa kikao cha hadhara wakayatamka hadharani na wewe ukayasikia kwamba walikubaliana hivyo? [emoji848]

[emoji1621]By jamii who are you referring to by majority? Usije sema ni jamii kumbe ni kikundi cha wanaharakati wanawake siku ya wanawake duniani au siku ya mwanamke wa shoka ndio walikaa na kujadili maswala ya jamii na kuwazungumzia wanaume kwa niaba hatimae wakaja na conclusion za hovyo kama hizi unazoongelea hapa. You sound more like a man hater and una unresolved trauma and confusions towards Men.

Unakumbuka hii kitu kuna uzi tumekutana nimekwambia kuwa huwa ukiona ajenda ya wanaume kuhoji changamoto fulani you always join the conversation kwa kubash wanaume , kuwadegrade, kuwa attack halafu mtu akiku confront unajifanya kuwa wewe ni neutral na unasimamia usawa.

Enzi za wazee wako na nani mimi ukoo wangu wote pande mbili sijawahi sikia kuwepo na ugomvi wa kupigana na silaha kati ya mume na mke, different na mapishano ni ya viwango vya kawaida tu. Wewe kwann unapenda kupotosha hapa na reference zako za kubuni, wazee hao waliokatana napanga wanaishi kijiji chenu au? [emoji848]

Halafu jibu alichouliza, amekuuliza yule bwana mdogo aliyedhalilishwa kijinsia na yule mbunge wa kike mbona hii taasisi haikufanya kazi yake ya kukemea na kutolea macho lile swala why ilipita kimya kimya waliolalamika ni watu wengine kabisa?

Kwann huyo msanii wa gospel alivyo mdhalilisha mume wake kwenye vyombo vya habari kwa mambo private hakukemewa wala mafeminist hamkukerwa na alichotenda?

Mara ngapi yanatokea matukio yanayoashiria wazi wanawake wanatumia vibaya nafasi zao na nyadhifa na hakuna kinachosemwa wala kutamkwa na hiyo taasisi inayojinasibu kusimamia haki za binadamu?

Naongezea pia mfano mwingine, siku ile Jokate alipotoa kauli ya ubaguzi kuhusu uchaguzi kuwahamasisha wanawake kutopigia kura wanaume sababu kwasasa wao ndio wanastahili kupewa nafasi za uongozi why hakukemewa na hii taasisi kuwa ana violate haki za kimsingi za kikatiba kwa raia kumchagua kiongozi wanaemtaka bila kuwa na mlengo wowote wa kibaguzi.

Jibu kwann? [emoji848]

Technique yake hiyo ya kukwepa hoja, atakuletea maelezo marefu kama risala ya Samia na humo ndani ni full kuhama hama topic yaani anakuwa kama anakulaumu kwa vitu ambavyo kwanza haujagusia kwenye hoja yako, pili vipo nje ya context ya majadiliano, tatu havina uzito kwenye mada husika ila tu anavileta kukuletea mkaranganyiko ambao yeye anautumia kwa advantage yake ili aonekane anazo hoja kali kukushinda.

Huwa hawezi discussions yeye ni very argumentative kwenye mijadala ili ashinde. Sijui ni muha huyu binti?[emoji23]

Sasa kama ni hivyo kwann kuna matukio huwa yanatokea na yanakuwa very popular tena kuwahusu wanaume kufanyiwa ndivyo sivyo ila wao wanapiga kimya na huwezi kuta wameandaa statement kukemea?

Kuna siku "Rebecca Gyumi" anatoa waraka akiwa na Freemason wenzake wakitamkia serikali na jamii kuwa hawataki zile kampeni za kukemea ukatili wa kijinsia ziwahusishe wanaume bali ziwe kwaajiri ya wanawake na watoto tu. Na alirudia zaidi ya mara sita hiyo kauli tena anaongea kwa hasira.

Ilizua mjadala sana ile kauli na watu walihoji hadi wizara husika kuwa huo waraka wa kipuuzi wao wanaukalia kimya kweli? Sikuwaona hawa shirika la haki za binadamu kusema lolote walipiga kimya kama mwizi kituo cha polisi.

How do you respond to that, unaamini kuwa wanaokuwa victimized ni wanawake pekee yao? Je Wanaume kwa idadi kubwa kushinda wanawake hawezi kuwa victims wa domestic violence, unataka kujua ukweli au upo kwenye hii mitandao kufanya fujo tu na mizaha huku ukiwa haujui lolote kuhusu uhalisia? [emoji848]

Haukuona kwenye vyombo vya habari ile siku anawasema vibaya wadada wanaocheza mipira kuwa wanakuwa wamekomaa kama wanaume na akazungumza mambo kede wa kede ambayo hayakuwa rafiki kwenye masikio ya wanajamii? Nenda huko mtandaoni video zipo utaziona.

Angekuwa ni mwanaume kasema yale maneno angekuwa anajua hadi sentence ilikuwa na maneno yapi ila sababu aliyezungumza ni mwanamke basi hajastuka wala hajui. Shida ya double standards mentality.
Wewe jamaa mbona unalazimisha sana kwamba mimi najadili hoja ili kutafuta ushindi kwanini unalazimisha hiyo sifa yako iwe ya kwangu mimi, kama wewe haujadili hoja kutafuta ushindi basi acha kujadiliana na mimi na usiwe unaniquote kwa sababu siwezi kukaa najibu malalamiko yako juu yangu badala ya kujibu hoja zilizopo mezani, sababu clearly malalamiko yako ni defensive mechanism tu ya kujitafutia points nje ya mada ili wewe ndio uonekane una hoja ila tu ni mimi ndiye sitaki kukubaliana na hoja zako

Yani mimi sijawahi kuona mtu anajadili hoja halafu hataki challenge anataka kila hoja anayosema ikubaliwe tu hata kama huyo anayejadiliana naye anaona kabisa hiyo hoja yake haina uhalisia, ila wewe unataka mwenzio akubali tu ili wewe uwe mshindi kwa kuwa wewe unajiona ndio uko sahihi kwahiyo hiyo tabia ya kujadiliana ili kutafuta ushindi ni yako bruh stop projecting your character on me, and to be honest you are not a worthy opponent yani siyo siri sijawahi kukutana na opponent mlalamishi kama wewe na mbaya zaidi unacholalamika nawe unakifanya ila huoni kama una matatizo

Wewe kama unaona wanawake ndio wako biased kwa kukemea maovu ya wanaume na kuyafumbia macho ya wanawake wenzao, je na wale wanaume ambao wanakemea maovu ya wanawake na kuyafumbia macho ya wanaume wenzao nao tuwaiteje je huwa unawaambia hayo wanaume wenzio au wewe unayaona ya wanawake tu, yani nimegundua wewe unanishutumu mimi kwa mambo ambayo hata wewe mwenyewe unayafanya halafu unaniona mimi nakosea ila wewe uko sahihi sasa hapo kati ya mi na we nani yuko biased
 
Wewe jamaa mbona unalazimisha sana kwamba mimi najadili hoja ili kutafuta ushindi kwanini unalazimisha hiyo sifa yako iwe ya kwangu mimi, kama wewe haujadili hoja kutafuta ushindi basi acha kujadiliana na mimi na usiwe unaniquote kwa sababu siwezi kukaa najibu malalamiko yako juu yangu badala ya kujibu hoja zilizopo mezani, sababu clearly malalamiko yako ni defensive mechanism tu ya kujitafutia points nje ya mada ili wewe ndio uonekane una hoja ila tu ni mimi ndiye sitaki kukubaliana na hoja zako

Yani mimi sijawahi kuona mtu anajadili hoja halafu hataki challenge anataka kila hoja anayosema ikubaliwe tu hata kama huyo anayejadiliana naye anaona kabisa hiyo hoja yake haina uhalisia, ila wewe unataka mwenzio akubali tu ili wewe uwe mshindi kwa kuwa wewe unajiona ndio uko sahihi kwahiyo hiyo tabia ya kujadiliana ili kutafuta ushindi ni yako bruh stop projecting your character on me, and to be honest you are not a worthy opponent yani siyo siri sijawahi kukutana na opponent mlalamishi kama wewe na mbaya zaidi unacholalamika nawe unakifanya ila huoni kama una matatizo

Wewe kama unaona wanawake ndio wako biased kwa kukemea maovu ya wanaume na kuyafumbia macho ya wanawake wenzao, je na wale wanaume ambao wanakemea maovu ya wanawake na kuyafumbia macho ya wanaume wenzao nao tuwaiteje je huwa unawaambia hayo wanaume wenzio au wewe unayaona ya wanawake tu, yani nimegundua wewe unanishutumu mimi kwa mambo ambayo hata wewe mwenyewe unayafanya halafu unaniona mimi nakosea ila wewe uko sahihi sasa hapo kati ya mi na we nani yuko biased
Kwa kifupi hizo taasisi ni za kihuni.
Kwanini wafanye kama adui wa mwanamke ni mwanaume na wafanye hizi watu tushitukie utendaji kazi wao .
Wanajenga uadui Kwa kuwa double standard.
Wanawake ndo wake zetu, mama zetu, Binti zetu , shangazi zetu, bibi Kwa kifupi hakuna mwanaume hana uhusiano na mwanamke.
Sasa uadui na mambo ya haki yametoka wap
 
Kwa kifupi hizo taasisi ni za kihuni.
Kwanini wafanye kama adui wa mwanamke ni mwanaume na wafanye hizi watu tushitukie utendaji kazi wao .
Wanajenga uadui Kwa kuwa double standard.
Wanawake ndo wake zetu, mama zetu, Binti zetu , shangazi zetu, bibi Kwa kifupi hakuna mwanaume hana uhusiano na mwanamke.
Sasa uadui na mambo ya haki yametoka wap
Mkuu nafikiri ungeanza kuwauliza wanaume kwanza kwanini huwa hawakemei maovu ya wanaume wenzao wanayowafanyia wanawake, kabla ya kuanza kuwalaumu wanawake kwa kutokemea maovu ya wanawake wenzao yani kwanini wanaume mnawalalamikia wanawake kwa jambo ambalo hata ninyi mnafanya, kuhusu utendaji kazi wa hizo taasisi hilo siyo juu yangu kuwajibia sababu mimi siwezi kujua kwanini wanafanya hivyo kwahiyo ingekuwa vizuri kama wangeulizwa wenyewe labda wanaweza wakawa na sababu za msingi
 
Back
Top Bottom