Hivi kulingana na biblia nani alikuwa ni nabii wa mwisho na nani alikuwa ni mitume wa mwisho ?

Hivi kulingana na biblia nani alikuwa ni nabii wa mwisho na nani alikuwa ni mitume wa mwisho ?

...nabii huyu alikuja na kitabu kingine cha quran chenye asilimia 90 ya maneno ya kwenye biblia ikiwemo, habari za adamu na hawa, ibrahimu, isaka, yakobo, musa, na hata habari za yesu zilizopo kwenye quran alikuja nazo
Ni lazima maandiko yafanane kwa sababu waanzilishi halisi wa hiyo dini yake ni WAKATOLIKI, yeye walimtuma kutekeleza tu..
 
Ni lazima maandiko yafanane kwa sababu waanzilishi halisi wa hiyo dini yake ni WAKATOLIKI, yeye walimtuma kutekeleza tu..
sikiliza cha muhimu utubu kwani hili ndio jambo la msingi kweli kweli linalobeba hatima yako tubu basi kabla muda wako haujaisha
 
nitajie list ya manabii unao wajua kwenye biblia kwa mtiririko wa vizazi vyao je wamwisho ni nani nitajie jina lake ? je, siyo huyu wa ufunuo ambaye ni yohana ?
Karama ya unabii imetolewa bure kwa yeyote. 1 wakorintho 13.
Hata wewe ukitaka unakuwa Mungu akiridhia.
Ukisema hakuna nabii unasema hakuna roho mtakatifu, au hakuna karama za roho
 
Karama ya unabii imetolewa bure kwa yeyote. 1 wakorintho 13.
Hata wewe ukitaka unakuwa Mungu akiridhia.
Ukisema hakuna nabii unasema hakuna roho mtakatifu, au hakuna karama za roho
manabii huwa wanasimama kwaajili ya nini ?
 
Karama ya unabii imetolewa bure kwa yeyote. 1 wakorintho 13.
Hata wewe ukitaka unakuwa Mungu akiridhia.
Ukisema hakuna nabii unasema hakuna roho mtakatifu, au hakuna karama za roho
wewe unamfahamu roho mtakatifu kama nani ?
 
Karama ya unabii imetolewa bure kwa yeyote. 1 wakorintho 13.
Hata wewe ukitaka unakuwa Mungu akiridhia.
Ukisema hakuna nabii unasema hakuna roho mtakatifu, au hakuna karama za roho
karama za roho ni zipi ?
 
nitajie list ya manabii unao wajua kwenye biblia kwa mtiririko wa vizazi vyao je wamwisho ni nani nitajie jina lake ? je, siyo huyu wa ufunuo ambaye ni yohana ?
Huu msumari dizaini kama ulikuwa special sana kwa Apostle kuna muujiza (kawe 1 hiyo). Sema nini usichanganye mambo kumbuka kuna Yohana mbatizaji ndiye aliyeandaa njia ya kumpokea masihi ndiye tunaweza tukasema nabii wa mwisho.

Yohana aliyeandika kitabu cha ufunuo akiwa kisawani patmo alikuwa ni miongoni mwa mitume kumi na wawili wa Yesu Kristo.

All in all mtawatambua kwa matendo yao.

Kuna verse hadi imesema kuna atakaye shusha hata moto toka juu na masela kibao watajua ndo Mkuu wa kazi kumbe ujio wake yeye hautii shaka kila mtu ataona na atakiri....
 
kulingana na mtiririko wa biblia wa manabii unaishia kwa yohana kama ndie nabii wa mwisho yani yule alieandika kitabu cha ufunuo ambacho ndio kitabu cha mwisho kwenye biblia na ukiangalia manabii wote katika mtiririko wa biblia walikuwa ni waisrael na sio wa mataifa tofauti na hilo na hawakuwai kufungua makanisa, hawakuwai kupaka watu maji ya upako, hawakuwai kuchukua sadaka, hawakuwai kuuza wala kuwa na maji ya baraka au kutoza kodi malipo kwaajili ya kupata huduma.

hii ni kulingana na hadithi za manabii kama vile ibrahim, isaka, yakobo, musa, Eliya, Elisha, Yusuphu, Eli, Samweli, nuhuu, henoki n.k manabii hawa kulingana na biblia ni wazi hawakuwai kufungua kanisa wala kuuza maji ya upako, wala kutoza watu kodi kwaajili ya kuonana na manabii sasa hebu tujiulize Hivi hawa manabii wa sikuizi ndio wale waliotabiriwa kuwa watakuwako duniani kama manabii wa uongo watakao danganya wengi na kuwapoteza hata kukosa uzima wa milele.


Kwa mtu aliye soma biblia vizuri kitabu kwa kitabu mpaka mwisho ataona kwa hakika kuwa nabii wa mwisho ni yohana nae alikuwa ni mwisraeli na hata baada ya huyo kufa hakujatokea nabii mwengine katika iisraeli yote hata hivi leo na badala yake baada ya nabii huyu yohana mungu alijifanyia mitume kumi na mbili nao akawatuma nendeni ulimwenguni mkahubiri habari zangu kuwa naenda kuwaandalia makao nitakuja kuwachukueni ili nilipo nanyi muwepo.


kwa mtu mwenye ufahamu wa sehemu hii ni kwamba yesu ameenda kuandaa makao inamaana atakuja kuwachukua wale ambao walipokea injiri yake ichi ndicho ambacho kingepaswa kuendelea mpaka mwisho yani ni kuhubiri tu kama mitume walivyo fanya katika maisha yao na sio ujio wa manabii au mitume wapya ni wazi kulingana na biblia hao ni waongo na kwamba mitume wa mwisho ni wale kumi na mbili na nabii wa mwisho ni yohana pekee.

mpaka hapa tushapata jibu kuwa manabii hawa wa leo na mitume tunaona kabisa ni wa uongo na ndio wale tulioambiwa katika injiri kuwa tujihadhari nao watakuja kuwako kwa lengo la kuwapoteza muangamie, kwasababu kwanza sio waisrael, wanafanya matendo ambayo manabii wa kwanza hawakufanya, wanahubiri kinyume na injiri ya mungu, wanatoza watu kodi ili kuwaona, wameunda makanisa yao wakati manabii hawakuwai kuunda makanisa.

Baadhi ya manabii ambao wana ishara zote kuwa ni manabii wa uongo na walitokea baada ya utabiri wa miaka 2000 wa biblia na kuunda mwakanisa na madhehebu hawa hapa.

ELLEN G WHITE
Huyu anafahamika kama nabii kwenye kanisa maarufu la Wasabato, nabii huyu ndie mwanzilishi wa kanisa la wasabato, nabii huyu alikuja kuwako baada ya utabiri wa ujio wa manabii wa uongo wa takribani miaka 2000 iliyopita wakati manabii wote walikuwako kabla ya utabiri kusemwa kutoka kwenye biblia, nabii huyu sio uzao wa israeli wakati manabii wote nj waisrael, nabii huyu aliunda dhehebu wakati manabii wa zamani hawakuunda madhehebu, nabii huyu mafundisho yake hayafanani na ya manabii wa kwenye biblia wakati manabii wa zamani hawakupingana kwenye mafundisho. hizi ni ishara zote zinaonesha kuwa hafanani na manabii wa zamani wa mungu hivyo ni nabii wa uongo.


MWAMPOSA
Huyu anafahamika kama nabii katika kanisa la Rise and shine, nabii huyu alikuwako baada ya utabiri wa miaka 2000 kuhusu ujio wa manabii wa uongo, wakati manabii wa zamani walikuwako kabla ya unabii kusemwa, nabii huyu sio mwisraeli wakati manabii wote ni waisrael, nabii huyu ameunda dhehebu yani kanisa wakati manabii wa zamani hawakufanya hivyo, nabii huyu mafundisho yake yanapingana na injiri ya biblia wakati manabii wa zamani hakupingana kwenye mafundisho, nabii huyu anatoza watu fedha kwaajili ya kumuona wakati manabii wa mwanzo hawakufanya hivyo. hizi ni ishara zote kuwa hafanani na manabii wa zamani hivyo ni nabii wa uongo.

MOHAMMED
Huyu anafahamika kama nabii au mtume katika dhehebu la kiislam, nabii huyu alikuwako baada ya miaka 2000 ya utabiri wa ujio wa manabii wa uongo katika biblia, nabii huyu alikuja na kitabu kingine cha quran chenye asilimia 90 ya maneno ya kwenye biblia ikiwemo, habari za adamu na hawa, ibrahimu, isaka, yakobo, musa, na hata habari za yesu zilizopo kwenye quran alikuja nazo baada ya kuwako kwa biblia maelfu ya miaka hii ndio sababu nime muhusisha kwenye list hii ya manabii wa uongo.

nabii huyu akuwa mwisraeli lakini quran aliyokuja nayo inahabari zote za waisrael ambazo zilikuwako kwenye kitabu cha zamani cha biblia kwa takribani miaka 2000 kabla yake, kama ukisoma quran yote na ukisoma biblia yote utaona kuwa utofauti ni jina tu kwamba kitabu hiki kinaitwa Quran na hiki ni biblia lakini vyote habari zake zinafanana hivyo ni wazi kuwa huyu ni nabii wa uongo aliye tabiriwa kuwako duniani kwa takribani miaka 2000 iliyopita.

nabii huyu injiri yake haifanani na ya manabii wa zamani wa kwenye biblia na quran aliyokuja nayo wakati manabii wote wa zamani hawakupingana kwenye injiri na mafundisho ni wazi kuwa mfano mafundisho aliyokuja nayo Mohammed hayafanani na Ibrahim, wala isaka , wala yusuphu , wala musa mfano mafundisho ya swala tano, mafundisho ya kuhiji makka, hizi ni ishara tosha kuwa yeye ni nabii wa uongo manabii wa zamani hawakupingana na wala hawakufanya haya.


SUGUYE
Huyu anafahamika kama nabii katika kanisa la WRM, nabii huyu alikuwako baada ya ule unabii wa kutokea kwa manabii wa uongo kwa takribani miaka 2000 iliyopita wakati manabii wa zamani walikuwako kabla ya utabiri huo, nabii huyu ameunda kanisa wakati manabii wa kwanza hawakufanya hivyo, nabii huyu mafundisho yake yanapingana na manabii wa zamani wakati manabii wa kwanza mafundisho yao hawapingani, nabii huyu sio mwisraeli wakati manabii wote wa zamani ni wa Israeli, nabii huyu anatoza watu pesa kwaajili ya kumuona wakati manabii wa zamani hawakufanya hivyo hivi hii ni ishara yote kuwa huyu ni nabii wa uongo aliyetabiriwa kuwako kwa tabribani miaka 2000 iliyopita.


List ni ndefu ila niishie kwa hawa kwa kifupi manabii na mitume wote walio kuwako baada ya manabii wale wa zamani na wale mitume kumi na mbili ni waongo na wamekuja kwa kusudi la kuudanganya ulimwengu hivyo makanisa haya na madhehebu yote hayataokolewa ikiwemo wasabato, rise and shine, wakatoliki, waislam, walokole wote wengi wataangamia kwa kukosa maarifa bali wale wenye akili na hekima ndio watakao okolewa na kurithi uzima wa milele mwenye sikio na asikie.

Nimesoma biblia yote na ninakiri na nimeona hakuna giza ndani yake mambo yote yaliyomo ni ya kweli na ya haki, unabii wake ni wakweli na unatumia hata hivi leo,


UJUMBE WANGU
ujumbe wangu ni kwa haya madhehubu ya leo kwa hakika hakuna atakaye okolewa afuataye mafundisho ya makanisa haya na madhehebu ila wale wenye akili na hekima ndio wataokolewa, hawa kwasababu ya hekima yao watawajua na kuwakataa manabii wa uongo, hawa watamfuata mungu moja kwa moja nae atawapokea kwa maana amfuatae mungu atafika mbinguni ila wafuatao manabii na makanisa hawataokolewa milele, hawa wanafahamu haya yote na wapo tayari hata kufa kama mitume na wale wateule kwaajili ya jina la mungu na injiri yake.


kwa kweli katika biblia nzima nami nakiri kuwa hakuna giza ndani yake sio ushabiki nimesoma na nimeelewa biblia na yote yaliyomo ni ya kweli na unabii wake unatimizwa kama kuna sehemu pamesema mungu atarudi tena basi atarudi upesi muda msio zani atakuja kwa nguvu nyingi kwa muda msiozani japo wengi mwasema mbona kila siku kila kitu kipo vile vile wala haji.

chukulieni kama vile matetemeko ya ardhi yatokeapo wakati msiozani wala hamjui saa yake yatokeapo na yanapotekea wengi hupoteza maisha tazama ndivyo itakavyo kuwa kwa ujio wa mungu atakuja kwa nguvu nyingi wakati msiozani dunia itatetemeka na wengi mtalia na kusaga meno wale mlio kataa injiri ya kweli mtaangamia kama vile matetemeka yawaangamizavyo maelfu ya watu yatokeapo wakati msio zani na kama radi liwakovyo wala hamjui kuwa litawaka saa ngapi au litawaka magharibi au kaskazini bssi na kadhalika atakuja kwa nguvu nyingi kama radi liwakavyo na hamtajua kama atakuja upande wa kaskazini wa mashariki.

basi kesheni mkafue mavazi yenu na kuachana na makanisa haya na manabii hawa mungu alio waonya mkae nao mbali msiwafuate kwani mnaweza kumfuata mungu bila manabii hao wala makanisa hayo tazama huyo yesu alikufa ilikukufanya wewe kuwa kuhani hakuna ombi ambalo halitasikiwa ukiomba kwa imani bila kanisa bila.nabii hata hivi leo anasikia na kwa imani anajibu kwa jina lenye nguvu la yesu hakuna mchawi anaeweza kusimama, wala majini wote hukimbia mbele zake kwa hakika yesu ni mwana wa mungu.

ndugu yako akiwa na majini omba kwa jina hilo la yesu hata ukiwa muislam omba kwa imani nyingi jini hilo litakimbia mbali kwa maana huyo yesu ndie mungu aliye hai, hata unaposumbuliwa na wachawi piga magoti kwa imani kwa jina la yesu wachawi watakimbia hata kama umerogwa piga magoti kwa imani kwa kupitia jina hilo lenye nguvu la yesu pekee vifungo na uchawi wote utaondoka kwa maana yesu ndie mungu juu ya kila kitu hakuna mungu mwengine isipokuwa yeye.

Basi kesheni mkiomba kwa maana mda mwengine mnafanya dhambi hata bila kujua isije mungu akaja wakati huo huo na wewe ukaangamia kesheni mkaombe kila saa mnapo amka mnapoenda kazini mnapo kula mnapo pumzika ili ajapo awakute mko tayari mkiwa watakatifu bila dhambi muhesabiwe washindi msiokuwa na dhambi wala uchawi wa kurogwa kwa maana walio rogwa hawataingia mbinguni kesheni basi mkajitakase kwa maombi tayari kwa ujio wa mungu.

helri wale wafao katika jina la bwana tangu sasa kwa maana hao watafufuliwa na kupewa uzima wa milele basi kesheni mkaombe msije mkafa mkiwa hamja tubu dhambi zenu au mkiwa mmerogwa au mkiwa na majini ndani yenu, kesheni mkaombe mara kwa mara kila unapo jihisi umefanya dhambi umemkosea mungu, umetukana, umelewa pombe, umepigana, au unamajini kesheni mkaombe kwa maana hamjui saa ya kuja kwake tazama anakuja upesi na kila jicho litamuona nao walio mkataa watatetemeka na kulia na kusaga meno, na hao wachawi watakimbia mbele zake na milima itakimbia utukufu wake.

na hayo maghorofa na miji mikuu itadondoka na hayo magari ya kifahari yataharibiwa na hizo fedha zitateketezwa zote heri yule ajitakasaye na kuyafahamu haya yote na kuamua kumfuata mungu na maagizo yake hii ndio inijiri kama alionya ujio wa manabii wa uongo basi msiwafuate kama alionya kuabudu sanamu badala yake basi msifanye, kwa maana wafanyayo kinyume na sauti yake hawana utofauti na shetani yeye alimuasi mungu kwa kukataa sauti yake heri yule ashikaye kila neno katika biblia na kulielewa kwa maana huyo ataokolewa.

Basi mtu yoyote kati yenu anayejiita kuwa ni msomi, kuwa ni tajiri, kuwa ni mwenye nguvu lakini amekataa injiri ya kupata uzima wa milele bure baada ya kifo chake huyo ni bure hana hekima yoyote ndani yake lakini yule alalaye katika nyumba ya udongo na asie na hela wala nguvu amfuatae mungu na kukubali injiri yake huyu ni tajiri na mwenye nguvu nyingi na hekima imo ndani yake, huyu ataondoka na yule aliye umba hizo nyota nyingi mzionazo mbinguni na kwenda mbinguni bure, yoyote akosaye nafasi hii ni bure kabisa hajui baada ya kufa akiwa amemkana mungu nini kitatokea kwake je pesa hizo nyingi alizo kuwa nazo zinaweza kumuokoa na mauti, je magari hayo na majumba hayo yaweza kumuokoa, basi amini naambia wale wote wamkataao mungu na kukataa uzima wa milele bure hao ni bure wanafanya jambo linaloweza kuiangamiza nafsi zao wenyewe.

hebu chukulieni mfano mtu yoyote haangamizae mali zake nyingi bila sababu huyu ni wazi.kuwa hana hekima na anafanya jambo baya ila yule ahifadhiye mali zake ndio mwenye akili na hekima kadhalika mtu yoyote amfuate mungu bure huyu amehifadhi nafsi yake isiangamie na anahekima bali yule amkataaye mungu ameharibu nafsi yake na kuiteketeza wakati kuifadhi ni bure huyu hana hekima wala akili.


katika siku ile wale wote wenye akili na hekima ndio watakao okolewa kila mmoja atakaye onekana katika kitabu kile cha uzima na cha mwanakondoo basi jiandaeni msije mkaangamia muende mtwae maji ya uzima bure, mungu anawapenda aliwaumba kwa mfano wake mwenyewe mtukuzeni na kumuabudu enyi mkaao juu ya nchi mpeni sifa kwa maana hamjui ya kwamba aliwaumba bure na kuwatengenezeeni dunia na miti na maji na samaki na mauwa na wanyama bure, hivi vyote amewapa bure mshukuruni na kumtukuza yeye pekee na kurudisha sifa na shukrani na uweza kwa upendo aliyo watendeeni enyi nyinyi mkaao juu ya nchi.

Tazama yuaja na mawingu na kila jicho litamuona heri yule afuaye mavazi yake na kuwa safi, heri yule hawasaidiaye wenye shida na maskini kwa maana huyo ameweka hadhina mbinguni, heri yule amsameaye mwenzie aliye mkosea na kuondoa visasi vyovyote kwa maana huyo mungu naye atamsamehe makosa yake na kulifuta jina lake kwenye kitabu cha hukumu na kuwa miongoni mwa walio watakatifu wake naye ataingia mbinguni kwa maana wafanyao visasi na mauaji hawato okolewa kwa maana walio mbinguni hawafanyi visasi wala mauaji.


Enyi wazinzi kwa maana mwafanya jambo litakalo waangamizeni nafsi zenu, mungu aliumba mtu mume na mke basi jifanyieni mke mmoja na mume mmoja mpate kuhesabiwa haki mbele za mungu, hata siku ile iliyo kuu ambayo wengi mmeipuuzia habari zake tazama anakuja kumaliza uovu wote na kama vile muonapo uovu ukitendekea kisha unafika wakati unaisha basi tambueni kuwa inakuja siku kuu ambayo maovu yote yataisha yatatoweka na kuangamizwa kabisa milele na milele mungu anawapenda amewapeni nafasi mpate kutubu dhambi zenu mnangoja nini muda ni mchache tubuni basi mpate kusamehewa.

olewenu nyinyi mashoga kwa maana mmebadirisha jinsia zenu mungu alizo wapa na kujifanyieni yamchukizayo mungu, tazama yuaja upesi kama vile mlivyo kataa kuwa wa jinsi yenu aliyo waumba kwamba ni wakiume au wakike basi tazama atawakataeni mbele ya kiti cha enzi na mwanakondoo kwa maana mmebatirisha kazi yake na kujifanyia watu wa jinsi tofauti na alizo waumba, hebu chukulia mfano mtu aliye achiwa mali na mwajiri wake aliyesafiri kwaajili ya kuisimamia kisha baadae mwajiriwa wake akarudi kutoka safarini akakuta mtumishi wake amebadirisha mali yake na kuifanya vyenginevyo je mtu huyu hatakuwa na hatia mbele ya mwajiriwa wake, basi tunzeni mali zenu kama vile mlivyo achiwa kwamba ni wakiume au wakike tunza hivyo hivyo asije huyo aliye wapa mzitunze akakuta umebadilisha ukahesabiwa mwenye hatia mbele zake.


Sio mimi niliye andika haya yote ila ni msukumo wa roho mtakatifu basi hii ni injiri ya kweli nendeni mkabadilishe njia zenu muende mkatwae uzima wa milele bure kwa maana hamjui mliumbwa mkiwa watakatifu msio weza kufa na kwamba dhambi ndio chanzo chenu cha kifo. je, ni nani kati yenu asiyechukia au kuogopa kifo heri yule atambuaye dhambi yake na kukiri makosa yake ili awe mtakatifu na kupata Hiyo haki ya kuendea huo uzima wa milele bure ambao aliupoteza hapo mwanzo kwasababu ya dhambi.

basi kila mmoja wenu aonapo dhambi sehemu sehemu basi na atambue kuwa mungu yupo na anakuja upesi, basi kila mtu aonapo ndugu yake amekufa basi na atambue kuwa dhambi ndio chanzo cha nugu yake kufa na ajinyenyekeze mbele za mungu apate haki ya kuuendea huo uzima wa milele bure asije akaangamia.

ujuio wa mungu utakuwa wa haraka kuliko inavyo zaniwa kwa wafu walio kufa hebu chukulia mfano ulalapo usiku kitandani alafu ndani ya muda mchache unaamka kusha pambazuka basi hao wafu wafao wamelala mda mchache hata waliokufa miaka elfu 3000 basi wataamka sawa sawa na mtu alalaye kitandani masaa 12 na kuamka kana kwamba amelala muda mchache tu kwa maana mungu atawaamsha kutoka katika wafu nao wataona wamelala katika umauti mda mchache tu, heri wale walio hai tazama anakuja upesi muda msio zani basi kesheni mkajitakase kwa maana hamjui saa ya kuja kwake asije akaja akawakuta mmelala.

Mungu na awakumbuke.majina yenu ijapo mtakufa au mtakuwa hai ajapo nawaombea muokolewa amina.
Sijasoma bandicoot lako lakini swali ulilouliza lina jibu lake. Hakuna Mtume au Nabii wa kwanza wala wa mwisho. Mungu amekuwa akifanya kazi duniani tangu amuumbe Adam. Kikubwa ni utambue kwamba katika Agano la kale kulikuwa na mgawanyo wa aina tatu wa watumishi wa Mungu.
1. Nabii
2. Kuhani
3. Mfalme.
Yesu Kristo alipokuja duniani yeye ndiye alihitimisha Agano la kale na akaanzisha Agano Jipya kupitia Damu yake msalabani. Baada ya kufufuka ndipo akawafanya wanafunzi wake kuwa Mitume. Kisha kupitia mitume hao Mungu akaanzisha kanisa. Na kupitia kanisa akaweka huduma 5 ambazo ni:
1. Mitume
2. Manabii
3. Walimu
4. Wainjilisti
5. Wachungaji.
Huduma hizo zitaebdelea kuwepo hadi Yesu Kristo atakaporudi duniani. Hivyo hakuna Mtume wala Nabii wa mwisho. Lakini pia wakati Yesu akikaribia kabisa kurudi kutaibuka Nabii Mkuu wa uwongo na Kristo wa uwongo. Yesu atakuja kuwakamata yeye mwenyewe na kuwatupa Jehanamu live kwa mujibu wa kitabu cha Ufunuo
 
manabii huwa wanasimama kwaajili ya nini ?
matunduizi
naomba nikusaidie manabii walisimama kwa ajili ya kazi moja na kabila moja na taifa moja kwaajili ya kuwasilisha neno la mungu ambalo kwa sasa ni biblia je hii biblia imekamirika hebu nijibu hapa hivi hii biblia imekamilika au haija kamilika ?

kama jubu lako likiwa imekamilika
ni vitu gani vinaweza kuonesha kuwa biblia imekamilika kikamilifu ?


maana hoja yako ipo kwenye jinsi manabii wanavyo patikana na sio yupi ni wa uongo na yupi ni wa kweli umesema vyema mungu ndio alie chagua nabii tangu zamani sasa hapa kipengele kipo kwenye yupi wa kweli na yupi wa uongo, ili kurahisisha hapa itabidi tutumie biblia yenyewe iongee ioneshe kuwa yupi ni nabii kwa hakika kila kilicho nje ya biblia ni cha uongo na kila kilicho ndani yake ndio cha kweli japo hoja yako ipo kwengine kwenye jinsi manabii wanavyotokea unaweza kuona kisa cha musa jinsi mungu alivyo mfanya musa kuwa nabii alafu linganisha na fungu lako hapo
 
Sijasoma bandicoot lako lakini swali ulilouliza lina jibu lake. Hakuna Mtume au Nabii wa kwanza wala wa mwisho. Mungu amekuwa akifanya kazi duniani tangu amuumbe Adam. Kikubwa ni utambue kwamba katika Agano la kale kulikuwa na mgawanyo wa aina tatu wa watumishi wa Mungu.
1. Nabii
2. Kuhani
3. Mfalme.
Yesu Kristo alipokuja duniani yeye ndiye alihitimisha Agano la kale na akaanzisha Agano Jipya kupitia Damu yake msalabani. Baada ya kufufuka ndipo akawafanya wanafunzi wake kuwa Mitume. Kisha kupitia mitume hao Mungu akaanzisha kanisa. Na kupitia kanisa akaweka huduma 5 ambazo ni:
1. Mitume
2. Manabii
3. Walimu
4. Wainjilisti
5. Wachungaji.
Huduma hizo zitaebdelea kuwepo hadi Yesu Kristo atakaporudi duniani. Hivyo hakuna Mtume wala Nabii wa mwisho. Lakini pia wakati Yesu akikaribia kabisa kurudi kutaibuka Nabii Mkuu wa uwongo na Kristo wa uwongo. Yesu atakuja kuwakamata yeye mwenyewe na kuwatupa Jehanamu live kwa mujibu wa kitabu cha Ufunuo
hivi umesoma kisa cha yesu au hata kutizama filamu yake nzima ukamshuhudia yesu au mtume akiunda kanisa ?
 
Dah, nd
kulingana na mtiririko wa biblia wa manabii unaishia kwa yohana kama ndie nabii wa mwisho yani yule alieandika kitabu cha ufunuo ambacho ndio kitabu cha mwisho kwenye biblia na ukiangalia manabii wote katika mtiririko wa biblia walikuwa ni waisrael na sio wa mataifa tofauti na hilo na hawakuwai kufungua makanisa, hawakuwai kupaka watu maji ya upako, hawakuwai kuchukua sadaka, hawakuwai kuuza wala kuwa na maji ya baraka au kutoza kodi malipo kwaajili ya kupata huduma.

hii ni kulingana na hadithi za manabii kama vile ibrahim, isaka, yakobo, musa, Eliya, Elisha, Yusuphu, Eli, Samweli, nuhuu, henoki n.k manabii hawa kulingana na biblia ni wazi hawakuwai kufungua kanisa wala kuuza maji ya upako, wala kutoza watu kodi kwaajili ya kuonana na manabii sasa hebu tujiulize Hivi hawa manabii wa sikuizi ndio wale waliotabiriwa kuwa watakuwako duniani kama manabii wa uongo watakao danganya wengi na kuwapoteza hata kukosa uzima wa milele.


Kwa mtu aliye soma biblia vizuri kitabu kwa kitabu mpaka mwisho ataona kwa hakika kuwa nabii wa mwisho ni yohana nae alikuwa ni mwisraeli na hata baada ya huyo kufa hakujatokea nabii mwengine katika iisraeli yote hata hivi leo na badala yake baada ya nabii huyu yohana mungu alijifanyia mitume kumi na mbili nao akawatuma nendeni ulimwenguni mkahubiri habari zangu kuwa naenda kuwaandalia makao nitakuja kuwachukueni ili nilipo nanyi muwepo.


kwa mtu mwenye ufahamu wa sehemu hii ni kwamba yesu ameenda kuandaa makao inamaana atakuja kuwachukua wale ambao walipokea injiri yake ichi ndicho ambacho kingepaswa kuendelea mpaka mwisho yani ni kuhubiri tu kama mitume walivyo fanya katika maisha yao na sio ujio wa manabii au mitume wapya ni wazi kulingana na biblia hao ni waongo na kwamba mitume wa mwisho ni wale kumi na mbili na nabii wa mwisho ni yohana pekee.

mpaka hapa tushapata jibu kuwa manabii hawa wa leo na mitume tunaona kabisa ni wa uongo na ndio wale tulioambiwa katika injiri kuwa tujihadhari nao watakuja kuwako kwa lengo la kuwapoteza muangamie, kwasababu kwanza sio waisrael, wanafanya matendo ambayo manabii wa kwanza hawakufanya, wanahubiri kinyume na injiri ya mungu, wanatoza watu kodi ili kuwaona, wameunda makanisa yao wakati manabii hawakuwai kuunda makanisa.

Baadhi ya manabii ambao wana ishara zote kuwa ni manabii wa uongo na walitokea baada ya utabiri wa miaka 2000 wa biblia na kuunda mwakanisa na madhehebu hawa hapa.

ELLEN G WHITE
Huyu anafahamika kama nabii kwenye kanisa maarufu la Wasabato, nabii huyu ndie mwanzilishi wa kanisa la wasabato, nabii huyu alikuja kuwako baada ya utabiri wa ujio wa manabii wa uongo wa takribani miaka 2000 iliyopita wakati manabii wote walikuwako kabla ya utabiri kusemwa kutoka kwenye biblia, nabii huyu sio uzao wa israeli wakati manabii wote nj waisrael, nabii huyu aliunda dhehebu wakati manabii wa zamani hawakuunda madhehebu, nabii huyu mafundisho yake hayafanani na ya manabii wa kwenye biblia wakati manabii wa zamani hawakupingana kwenye mafundisho. hizi ni ishara zote zinaonesha kuwa hafanani na manabii wa zamani wa mungu hivyo ni nabii wa uongo.


MWAMPOSA
Huyu anafahamika kama nabii katika kanisa la Rise and shine, nabii huyu alikuwako baada ya utabiri wa miaka 2000 kuhusu ujio wa manabii wa uongo, wakati manabii wa zamani walikuwako kabla ya unabii kusemwa, nabii huyu sio mwisraeli wakati manabii wote ni waisrael, nabii huyu ameunda dhehebu yani kanisa wakati manabii wa zamani hawakufanya hivyo, nabii huyu mafundisho yake yanapingana na injiri ya biblia wakati manabii wa zamani hakupingana kwenye mafundisho, nabii huyu anatoza watu fedha kwaajili ya kumuona wakati manabii wa mwanzo hawakufanya hivyo. hizi ni ishara zote kuwa hafanani na manabii wa zamani hivyo ni nabii wa uongo.

MOHAMMED
Huyu anafahamika kama nabii au mtume katika dhehebu la kiislam, nabii huyu alikuwako baada ya miaka 2000 ya utabiri wa ujio wa manabii wa uongo katika biblia, nabii huyu alikuja na kitabu kingine cha quran chenye asilimia 90 ya maneno ya kwenye biblia ikiwemo, habari za adamu na hawa, ibrahimu, isaka, yakobo, musa, na hata habari za yesu zilizopo kwenye quran alikuja nazo baada ya kuwako kwa biblia maelfu ya miaka hii ndio sababu nime muhusisha kwenye list hii ya manabii wa uongo.

nabii huyu akuwa mwisraeli lakini quran aliyokuja nayo inahabari zote za waisrael ambazo zilikuwako kwenye kitabu cha zamani cha biblia kwa takribani miaka 2000 kabla yake, kama ukisoma quran yote na ukisoma biblia yote utaona kuwa utofauti ni jina tu kwamba kitabu hiki kinaitwa Quran na hiki ni biblia lakini vyote habari zake zinafanana hivyo ni wazi kuwa huyu ni nabii wa uongo aliye tabiriwa kuwako duniani kwa takribani miaka 2000 iliyopita.

nabii huyu injiri yake haifanani na ya manabii wa zamani wa kwenye biblia na quran aliyokuja nayo wakati manabii wote wa zamani hawakupingana kwenye injiri na mafundisho ni wazi kuwa mfano mafundisho aliyokuja nayo Mohammed hayafanani na Ibrahim, wala isaka , wala yusuphu , wala musa mfano mafundisho ya swala tano, mafundisho ya kuhiji makka, hizi ni ishara tosha kuwa yeye ni nabii wa uongo manabii wa zamani hawakupingana na wala hawakufanya haya.


SUGUYE
Huyu anafahamika kama nabii katika kanisa la WRM, nabii huyu alikuwako baada ya ule unabii wa kutokea kwa manabii wa uongo kwa takribani miaka 2000 iliyopita wakati manabii wa zamani walikuwako kabla ya utabiri huo, nabii huyu ameunda kanisa wakati manabii wa kwanza hawakufanya hivyo, nabii huyu mafundisho yake yanapingana na manabii wa zamani wakati manabii wa kwanza mafundisho yao hawapingani, nabii huyu sio mwisraeli wakati manabii wote wa zamani ni wa Israeli, nabii huyu anatoza watu pesa kwaajili ya kumuona wakati manabii wa zamani hawakufanya hivyo hivi hii ni ishara yote kuwa huyu ni nabii wa uongo aliyetabiriwa kuwako kwa tabribani miaka 2000 iliyopita.


List ni ndefu ila niishie kwa hawa kwa kifupi manabii na mitume wote walio kuwako baada ya manabii wale wa zamani na wale mitume kumi na mbili ni waongo na wamekuja kwa kusudi la kuudanganya ulimwengu hivyo makanisa haya na madhehebu yote hayataokolewa ikiwemo wasabato, rise and shine, wakatoliki, waislam, walokole wote wengi wataangamia kwa kukosa maarifa bali wale wenye akili na hekima ndio watakao okolewa na kurithi uzima wa milele mwenye sikio na asikie.

Nimesoma biblia yote na ninakiri na nimeona hakuna giza ndani yake mambo yote yaliyomo ni ya kweli na ya haki, unabii wake ni wakweli na unatumia hata hivi leo,


UJUMBE WANGU
ujumbe wangu ni kwa haya madhehubu ya leo kwa hakika hakuna atakaye okolewa afuataye mafundisho ya makanisa haya na madhehebu ila wale wenye akili na hekima ndio wataokolewa, hawa kwasababu ya hekima yao watawajua na kuwakataa manabii wa uongo, hawa watamfuata mungu moja kwa moja nae atawapokea kwa maana amfuatae mungu atafika mbinguni ila wafuatao manabii na makanisa hawataokolewa milele, hawa wanafahamu haya yote na wapo tayari hata kufa kama mitume na wale wateule kwaajili ya jina la mungu na injiri yake.


kwa kweli katika biblia nzima nami nakiri kuwa hakuna giza ndani yake sio ushabiki nimesoma na nimeelewa biblia na yote yaliyomo ni ya kweli na unabii wake unatimizwa kama kuna sehemu pamesema mungu atarudi tena basi atarudi upesi muda msio zani atakuja kwa nguvu nyingi kwa muda msiozani japo wengi mwasema mbona kila siku kila kitu kipo vile vile wala haji.

chukulieni kama vile matetemeko ya ardhi yatokeapo wakati msiozani wala hamjui saa yake yatokeapo na yanapotekea wengi hupoteza maisha tazama ndivyo itakavyo kuwa kwa ujio wa mungu atakuja kwa nguvu nyingi wakati msiozani dunia itatetemeka na wengi mtalia na kusaga meno wale mlio kataa injiri ya kweli mtaangamia kama vile matetemeka yawaangamizavyo maelfu ya watu yatokeapo wakati msio zani na kama radi liwakovyo wala hamjui kuwa litawaka saa ngapi au litawaka magharibi au kaskazini bssi na kadhalika atakuja kwa nguvu nyingi kama radi liwakavyo na hamtajua kama atakuja upande wa kaskazini wa mashariki.

basi kesheni mkafue mavazi yenu na kuachana na makanisa haya na manabii hawa mungu alio waonya mkae nao mbali msiwafuate kwani mnaweza kumfuata mungu bila manabii hao wala makanisa hayo tazama huyo yesu alikufa ilikukufanya wewe kuwa kuhani hakuna ombi ambalo halitasikiwa ukiomba kwa imani bila kanisa bila.nabii hata hivi leo anasikia na kwa imani anajibu kwa jina lenye nguvu la yesu hakuna mchawi anaeweza kusimama, wala majini wote hukimbia mbele zake kwa hakika yesu ni mwana wa mungu.

ndugu yako akiwa na majini omba kwa jina hilo la yesu hata ukiwa muislam omba kwa imani nyingi jini hilo litakimbia mbali kwa maana huyo yesu ndie mungu aliye hai, hata unaposumbuliwa na wachawi piga magoti kwa imani kwa jina la yesu wachawi watakimbia hata kama umerogwa piga magoti kwa imani kwa kupitia jina hilo lenye nguvu la yesu pekee vifungo na uchawi wote utaondoka kwa maana yesu ndie mungu juu ya kila kitu hakuna mungu mwengine isipokuwa yeye.

Basi kesheni mkiomba kwa maana mda mwengine mnafanya dhambi hata bila kujua isije mungu akaja wakati huo huo na wewe ukaangamia kesheni mkaombe kila saa mnapo amka mnapoenda kazini mnapo kula mnapo pumzika ili ajapo awakute mko tayari mkiwa watakatifu bila dhambi muhesabiwe washindi msiokuwa na dhambi wala uchawi wa kurogwa kwa maana walio rogwa hawataingia mbinguni kesheni basi mkajitakase kwa maombi tayari kwa ujio wa mungu.

helri wale wafao katika jina la bwana tangu sasa kwa maana hao watafufuliwa na kupewa uzima wa milele basi kesheni mkaombe msije mkafa mkiwa hamja tubu dhambi zenu au mkiwa mmerogwa au mkiwa na majini ndani yenu, kesheni mkaombe mara kwa mara kila unapo jihisi umefanya dhambi umemkosea mungu, umetukana, umelewa pombe, umepigana, au unamajini kesheni mkaombe kwa maana hamjui saa ya kuja kwake tazama anakuja upesi na kila jicho litamuona nao walio mkataa watatetemeka na kulia na kusaga meno, na hao wachawi watakimbia mbele zake na milima itakimbia utukufu wake.

na hayo maghorofa na miji mikuu itadondoka na hayo magari ya kifahari yataharibiwa na hizo fedha zitateketezwa zote heri yule ajitakasaye na kuyafahamu haya yote na kuamua kumfuata mungu na maagizo yake hii ndio inijiri kama alionya ujio wa manabii wa uongo basi msiwafuate kama alionya kuabudu sanamu badala yake basi msifanye, kwa maana wafanyayo kinyume na sauti yake hawana utofauti na shetani yeye alimuasi mungu kwa kukataa sauti yake heri yule ashikaye kila neno katika biblia na kulielewa kwa maana huyo ataokolewa.

Basi mtu yoyote kati yenu anayejiita kuwa ni msomi, kuwa ni tajiri, kuwa ni mwenye nguvu lakini amekataa injiri ya kupata uzima wa milele bure baada ya kifo chake huyo ni bure hana hekima yoyote ndani yake lakini yule alalaye katika nyumba ya udongo na asie na hela wala nguvu amfuatae mungu na kukubali injiri yake huyu ni tajiri na mwenye nguvu nyingi na hekima imo ndani yake, huyu ataondoka na yule aliye umba hizo nyota nyingi mzionazo mbinguni na kwenda mbinguni bure, yoyote akosaye nafasi hii ni bure kabisa hajui baada ya kufa akiwa amemkana mungu nini kitatokea kwake je pesa hizo nyingi alizo kuwa nazo zinaweza kumuokoa na mauti, je magari hayo na majumba hayo yaweza kumuokoa, basi amini naambia wale wote wamkataao mungu na kukataa uzima wa milele bure hao ni bure wanafanya jambo linaloweza kuiangamiza nafsi zao wenyewe.

hebu chukulieni mfano mtu yoyote haangamizae mali zake nyingi bila sababu huyu ni wazi.kuwa hana hekima na anafanya jambo baya ila yule ahifadhiye mali zake ndio mwenye akili na hekima kadhalika mtu yoyote amfuate mungu bure huyu amehifadhi nafsi yake isiangamie na anahekima bali yule amkataaye mungu ameharibu nafsi yake na kuiteketeza wakati kuifadhi ni bure huyu hana hekima wala akili.


katika siku ile wale wote wenye akili na hekima ndio watakao okolewa kila mmoja atakaye onekana katika kitabu kile cha uzima na cha mwanakondoo basi jiandaeni msije mkaangamia muende mtwae maji ya uzima bure, mungu anawapenda aliwaumba kwa mfano wake mwenyewe mtukuzeni na kumuabudu enyi mkaao juu ya nchi mpeni sifa kwa maana hamjui ya kwamba aliwaumba bure na kuwatengenezeeni dunia na miti na maji na samaki na mauwa na wanyama bure, hivi vyote amewapa bure mshukuruni na kumtukuza yeye pekee na kurudisha sifa na shukrani na uweza kwa upendo aliyo watendeeni enyi nyinyi mkaao juu ya nchi.

Tazama yuaja na mawingu na kila jicho litamuona heri yule afuaye mavazi yake na kuwa safi, heri yule hawasaidiaye wenye shida na maskini kwa maana huyo ameweka hadhina mbinguni, heri yule amsameaye mwenzie aliye mkosea na kuondoa visasi vyovyote kwa maana huyo mungu naye atamsamehe makosa yake na kulifuta jina lake kwenye kitabu cha hukumu na kuwa miongoni mwa walio watakatifu wake naye ataingia mbinguni kwa maana wafanyao visasi na mauaji hawato okolewa kwa maana walio mbinguni hawafanyi visasi wala mauaji.


Enyi wazinzi kwa maana mwafanya jambo litakalo waangamizeni nafsi zenu, mungu aliumba mtu mume na mke basi jifanyieni mke mmoja na mume mmoja mpate kuhesabiwa haki mbele za mungu, hata siku ile iliyo kuu ambayo wengi mmeipuuzia habari zake tazama anakuja kumaliza uovu wote na kama vile muonapo uovu ukitendekea kisha unafika wakati unaisha basi tambueni kuwa inakuja siku kuu ambayo maovu yote yataisha yatatoweka na kuangamizwa kabisa milele na milele mungu anawapenda amewapeni nafasi mpate kutubu dhambi zenu mnangoja nini muda ni mchache tubuni basi mpate kusamehewa.

olewenu nyinyi mashoga kwa maana mmebadirisha jinsia zenu mungu alizo wapa na kujifanyieni yamchukizayo mungu, tazama yuaja upesi kama vile mlivyo kataa kuwa wa jinsi yenu aliyo waumba kwamba ni wakiume au wakike basi tazama atawakataeni mbele ya kiti cha enzi na mwanakondoo kwa maana mmebatirisha kazi yake na kujifanyia watu wa jinsi tofauti na alizo waumba, hebu chukulia mfano mtu aliye achiwa mali na mwajiri wake aliyesafiri kwaajili ya kuisimamia kisha baadae mwajiriwa wake akarudi kutoka safarini akakuta mtumishi wake amebadirisha mali yake na kuifanya vyenginevyo je mtu huyu hatakuwa na hatia mbele ya mwajiriwa wake, basi tunzeni mali zenu kama vile mlivyo achiwa kwamba ni wakiume au wakike tunza hivyo hivyo asije huyo aliye wapa mzitunze akakuta umebadilisha ukahesabiwa mwenye hatia mbele zake.


Sio mimi niliye andika haya yote ila ni msukumo wa roho mtakatifu basi hii ni injiri ya kweli nendeni mkabadilishe njia zenu muende mkatwae uzima wa milele bure kwa maana hamjui mliumbwa mkiwa watakatifu msio weza kufa na kwamba dhambi ndio chanzo chenu cha kifo. je, ni nani kati yenu asiyechukia au kuogopa kifo heri yule atambuaye dhambi yake na kukiri makosa yake ili awe mtakatifu na kupata Hiyo haki ya kuendea huo uzima wa milele bure ambao aliupoteza hapo mwanzo kwasababu ya dhambi.

basi kila mmoja wenu aonapo dhambi sehemu sehemu basi na atambue kuwa mungu yupo na anakuja upesi, basi kila mtu aonapo ndugu yake amekufa basi na atambue kuwa dhambi ndio chanzo cha nugu yake kufa na ajinyenyekeze mbele za mungu apate haki ya kuuendea huo uzima wa milele bure asije akaangamia.

ujuio wa mungu utakuwa wa haraka kuliko inavyo zaniwa kwa wafu walio kufa hebu chukulia mfano ulalapo usiku kitandani alafu ndani ya muda mchache unaamka kusha pambazuka basi hao wafu wafao wamelala mda mchache hata waliokufa miaka elfu 3000 basi wataamka sawa sawa na mtu alalaye kitandani masaa 12 na kuamka kana kwamba amelala muda mchache tu kwa maana mungu atawaamsha kutoka katika wafu nao wataona wamelala katika umauti mda mchache tu, heri wale walio hai tazama anakuja upesi muda msio zani basi kesheni mkajitakase kwa maana hamjui saa ya kuja kwake asije akaja akawakuta mmelala.

Mungu na awakumbuke.majina yenu ijapo mtakufa au mtakuwa hai ajapo nawaombea muokolewa amina.
Ndefu mno halafu umechanganya mambo.
Sijakuelewa uliposema manabii wote hawakuanzisha kanisa, ina mana hata Yesu mwenyewe hakuwa na Kanisa?
Yesu aliabudia wapi kama hakuanzisha kanisa!
 
Dah, nd

Ndefu mno halafu umechanganya mambo.
Sijakuelewa uliposema manabii wote hawakuanzisha kanisa, ina mana hata Yesu mwenyewe hakuwa na Kanisa?
Yesu aliabudia wapi kama hakuanzisha kanisa!
yesu hakuanzisha kanisa lolote hebu kasome kisa cha yesu chote utaona hata wakati wa kuomba yesu alipiga magoti kwenye jiwe na kuomba yesu alienda kwenye vikundi vikundi na kuhubiri na kufundisha watu na sio aliunda kanisa yesu hakuwai kuunda kanisa hebu soma maandiko upate maarifa
 
Mkuu sijasoma lakini naahidi nitarudi kusoma Kwa Uzuri na jug la juice pembeni.

Kwa utangulizi tu nabii wa mwisho alikuwa Yohana mbatizaji.
 
kulingana na mtiririko wa biblia wa manabii unaishia kwa yohana kama ndie nabii wa mwisho yani yule alieandika kitabu cha ufunuo ambacho ndio kitabu cha mwisho kwenye biblia na ukiangalia manabii wote katika mtiririko wa biblia walikuwa ni waisrael na sio wa mataifa tofauti na hilo na hawakuwai kufungua makanisa, hawakuwai kupaka watu maji ya upako, hawakuwai kuchukua sadaka, hawakuwai kuuza wala kuwa na maji ya baraka au kutoza kodi malipo kwaajili ya kupata huduma.

hii ni kulingana na hadithi za manabii kama vile ibrahim, isaka, yakobo, musa, Eliya, Elisha, Yusuphu, Eli, Samweli, nuhuu, henoki n.k manabii hawa kulingana na biblia ni wazi hawakuwai kufungua kanisa wala kuuza maji ya upako, wala kutoza watu kodi kwaajili ya kuonana na manabii sasa hebu tujiulize Hivi hawa manabii wa sikuizi ndio wale waliotabiriwa kuwa watakuwako duniani kama manabii wa uongo watakao danganya wengi na kuwapoteza hata kukosa uzima wa milele.


Kwa mtu aliye soma biblia vizuri kitabu kwa kitabu mpaka mwisho ataona kwa hakika kuwa nabii wa mwisho ni yohana nae alikuwa ni mwisraeli na hata baada ya huyo kufa hakujatokea nabii mwengine katika iisraeli yote hata hivi leo na badala yake baada ya nabii huyu yohana mungu alijifanyia mitume kumi na mbili nao akawatuma nendeni ulimwenguni mkahubiri habari zangu kuwa naenda kuwaandalia makao nitakuja kuwachukueni ili nilipo nanyi muwepo.


kwa mtu mwenye ufahamu wa sehemu hii ni kwamba yesu ameenda kuandaa makao inamaana atakuja kuwachukua wale ambao walipokea injiri yake ichi ndicho ambacho kingepaswa kuendelea mpaka mwisho yani ni kuhubiri tu kama mitume walivyo fanya katika maisha yao na sio ujio wa manabii au mitume wapya ni wazi kulingana na biblia hao ni waongo na kwamba mitume wa mwisho ni wale kumi na mbili na nabii wa mwisho ni yohana pekee.

mpaka hapa tushapata jibu kuwa manabii hawa wa leo na mitume tunaona kabisa ni wa uongo na ndio wale tulioambiwa katika injiri kuwa tujihadhari nao watakuja kuwako kwa lengo la kuwapoteza muangamie, kwasababu kwanza sio waisrael, wanafanya matendo ambayo manabii wa kwanza hawakufanya, wanahubiri kinyume na injiri ya mungu, wanatoza watu kodi ili kuwaona, wameunda makanisa yao wakati manabii hawakuwai kuunda makanisa.

Baadhi ya manabii ambao wana ishara zote kuwa ni manabii wa uongo na walitokea baada ya utabiri wa miaka 2000 wa biblia na kuunda mwakanisa na madhehebu hawa hapa.

ELLEN G WHITE
Huyu anafahamika kama nabii kwenye kanisa maarufu la Wasabato, nabii huyu ndie mwanzilishi wa kanisa la wasabato, nabii huyu alikuja kuwako baada ya utabiri wa ujio wa manabii wa uongo wa takribani miaka 2000 iliyopita wakati manabii wote walikuwako kabla ya utabiri kusemwa kutoka kwenye biblia, nabii huyu sio uzao wa israeli wakati manabii wote nj waisrael, nabii huyu aliunda dhehebu wakati manabii wa zamani hawakuunda madhehebu, nabii huyu mafundisho yake hayafanani na ya manabii wa kwenye biblia wakati manabii wa zamani hawakupingana kwenye mafundisho. hizi ni ishara zote zinaonesha kuwa hafanani na manabii wa zamani wa mungu hivyo ni nabii wa uongo.


MWAMPOSA
Huyu anafahamika kama nabii katika kanisa la Rise and shine, nabii huyu alikuwako baada ya utabiri wa miaka 2000 kuhusu ujio wa manabii wa uongo, wakati manabii wa zamani walikuwako kabla ya unabii kusemwa, nabii huyu sio mwisraeli wakati manabii wote ni waisrael, nabii huyu ameunda dhehebu yani kanisa wakati manabii wa zamani hawakufanya hivyo, nabii huyu mafundisho yake yanapingana na injiri ya biblia wakati manabii wa zamani hakupingana kwenye mafundisho, nabii huyu anatoza watu fedha kwaajili ya kumuona wakati manabii wa mwanzo hawakufanya hivyo. hizi ni ishara zote kuwa hafanani na manabii wa zamani hivyo ni nabii wa uongo.

MOHAMMED
Huyu anafahamika kama nabii au mtume katika dhehebu la kiislam, nabii huyu alikuwako baada ya miaka 2000 ya utabiri wa ujio wa manabii wa uongo katika biblia, nabii huyu alikuja na kitabu kingine cha quran chenye asilimia 90 ya maneno ya kwenye biblia ikiwemo, habari za adamu na hawa, ibrahimu, isaka, yakobo, musa, na hata habari za yesu zilizopo kwenye quran alikuja nazo baada ya kuwako kwa biblia maelfu ya miaka hii ndio sababu nime muhusisha kwenye list hii ya manabii wa uongo.

nabii huyu akuwa mwisraeli lakini quran aliyokuja nayo inahabari zote za waisrael ambazo zilikuwako kwenye kitabu cha zamani cha biblia kwa takribani miaka 2000 kabla yake, kama ukisoma quran yote na ukisoma biblia yote utaona kuwa utofauti ni jina tu kwamba kitabu hiki kinaitwa Quran na hiki ni biblia lakini vyote habari zake zinafanana hivyo ni wazi kuwa huyu ni nabii wa uongo aliye tabiriwa kuwako duniani kwa takribani miaka 2000 iliyopita.

nabii huyu injiri yake haifanani na ya manabii wa zamani wa kwenye biblia na quran aliyokuja nayo wakati manabii wote wa zamani hawakupingana kwenye injiri na mafundisho ni wazi kuwa mfano mafundisho aliyokuja nayo Mohammed hayafanani na Ibrahim, wala isaka , wala yusuphu , wala musa mfano mafundisho ya swala tano, mafundisho ya kuhiji makka, hizi ni ishara tosha kuwa yeye ni nabii wa uongo manabii wa zamani hawakupingana na wala hawakufanya haya.


SUGUYE
Huyu anafahamika kama nabii katika kanisa la WRM, nabii huyu alikuwako baada ya ule unabii wa kutokea kwa manabii wa uongo kwa takribani miaka 2000 iliyopita wakati manabii wa zamani walikuwako kabla ya utabiri huo, nabii huyu ameunda kanisa wakati manabii wa kwanza hawakufanya hivyo, nabii huyu mafundisho yake yanapingana na manabii wa zamani wakati manabii wa kwanza mafundisho yao hawapingani, nabii huyu sio mwisraeli wakati manabii wote wa zamani ni wa Israeli, nabii huyu anatoza watu pesa kwaajili ya kumuona wakati manabii wa zamani hawakufanya hivyo hivi hii ni ishara yote kuwa huyu ni nabii wa uongo aliyetabiriwa kuwako kwa tabribani miaka 2000 iliyopita.


List ni ndefu ila niishie kwa hawa kwa kifupi manabii na mitume wote walio kuwako baada ya manabii wale wa zamani na wale mitume kumi na mbili ni waongo na wamekuja kwa kusudi la kuudanganya ulimwengu hivyo makanisa haya na madhehebu yote hayataokolewa ikiwemo wasabato, rise and shine, wakatoliki, waislam, walokole wote wengi wataangamia kwa kukosa maarifa bali wale wenye akili na hekima ndio watakao okolewa na kurithi uzima wa milele mwenye sikio na asikie.

Nimesoma biblia yote na ninakiri na nimeona hakuna giza ndani yake mambo yote yaliyomo ni ya kweli na ya haki, unabii wake ni wakweli na unatumia hata hivi leo,


UJUMBE WANGU
ujumbe wangu ni kwa haya madhehubu ya leo kwa hakika hakuna atakaye okolewa afuataye mafundisho ya makanisa haya na madhehebu ila wale wenye akili na hekima ndio wataokolewa, hawa kwasababu ya hekima yao watawajua na kuwakataa manabii wa uongo, hawa watamfuata mungu moja kwa moja nae atawapokea kwa maana amfuatae mungu atafika mbinguni ila wafuatao manabii na makanisa hawataokolewa milele, hawa wanafahamu haya yote na wapo tayari hata kufa kama mitume na wale wateule kwaajili ya jina la mungu na injiri yake.


kwa kweli katika biblia nzima nami nakiri kuwa hakuna giza ndani yake sio ushabiki nimesoma na nimeelewa biblia na yote yaliyomo ni ya kweli na unabii wake unatimizwa kama kuna sehemu pamesema mungu atarudi tena basi atarudi upesi muda msio zani atakuja kwa nguvu nyingi kwa muda msiozani japo wengi mwasema mbona kila siku kila kitu kipo vile vile wala haji.

chukulieni kama vile matetemeko ya ardhi yatokeapo wakati msiozani wala hamjui saa yake yatokeapo na yanapotekea wengi hupoteza maisha tazama ndivyo itakavyo kuwa kwa ujio wa mungu atakuja kwa nguvu nyingi wakati msiozani dunia itatetemeka na wengi mtalia na kusaga meno wale mlio kataa injiri ya kweli mtaangamia kama vile matetemeka yawaangamizavyo maelfu ya watu yatokeapo wakati msio zani na kama radi liwakovyo wala hamjui kuwa litawaka saa ngapi au litawaka magharibi au kaskazini bssi na kadhalika atakuja kwa nguvu nyingi kama radi liwakavyo na hamtajua kama atakuja upande wa kaskazini wa mashariki.

basi kesheni mkafue mavazi yenu na kuachana na makanisa haya na manabii hawa mungu alio waonya mkae nao mbali msiwafuate kwani mnaweza kumfuata mungu bila manabii hao wala makanisa hayo tazama huyo yesu alikufa ilikukufanya wewe kuwa kuhani hakuna ombi ambalo halitasikiwa ukiomba kwa imani bila kanisa bila.nabii hata hivi leo anasikia na kwa imani anajibu kwa jina lenye nguvu la yesu hakuna mchawi anaeweza kusimama, wala majini wote hukimbia mbele zake kwa hakika yesu ni mwana wa mungu.

ndugu yako akiwa na majini omba kwa jina hilo la yesu hata ukiwa muislam omba kwa imani nyingi jini hilo litakimbia mbali kwa maana huyo yesu ndie mungu aliye hai, hata unaposumbuliwa na wachawi piga magoti kwa imani kwa jina la yesu wachawi watakimbia hata kama umerogwa piga magoti kwa imani kwa kupitia jina hilo lenye nguvu la yesu pekee vifungo na uchawi wote utaondoka kwa maana yesu ndie mungu juu ya kila kitu hakuna mungu mwengine isipokuwa yeye.

Basi kesheni mkiomba kwa maana mda mwengine mnafanya dhambi hata bila kujua isije mungu akaja wakati huo huo na wewe ukaangamia kesheni mkaombe kila saa mnapo amka mnapoenda kazini mnapo kula mnapo pumzika ili ajapo awakute mko tayari mkiwa watakatifu bila dhambi muhesabiwe washindi msiokuwa na dhambi wala uchawi wa kurogwa kwa maana walio rogwa hawataingia mbinguni kesheni basi mkajitakase kwa maombi tayari kwa ujio wa mungu.

helri wale wafao katika jina la bwana tangu sasa kwa maana hao watafufuliwa na kupewa uzima wa milele basi kesheni mkaombe msije mkafa mkiwa hamja tubu dhambi zenu au mkiwa mmerogwa au mkiwa na majini ndani yenu, kesheni mkaombe mara kwa mara kila unapo jihisi umefanya dhambi umemkosea mungu, umetukana, umelewa pombe, umepigana, au unamajini kesheni mkaombe kwa maana hamjui saa ya kuja kwake tazama anakuja upesi na kila jicho litamuona nao walio mkataa watatetemeka na kulia na kusaga meno, na hao wachawi watakimbia mbele zake na milima itakimbia utukufu wake.

na hayo maghorofa na miji mikuu itadondoka na hayo magari ya kifahari yataharibiwa na hizo fedha zitateketezwa zote heri yule ajitakasaye na kuyafahamu haya yote na kuamua kumfuata mungu na maagizo yake hii ndio inijiri kama alionya ujio wa manabii wa uongo basi msiwafuate kama alionya kuabudu sanamu badala yake basi msifanye, kwa maana wafanyayo kinyume na sauti yake hawana utofauti na shetani yeye alimuasi mungu kwa kukataa sauti yake heri yule ashikaye kila neno katika biblia na kulielewa kwa maana huyo ataokolewa.

Basi mtu yoyote kati yenu anayejiita kuwa ni msomi, kuwa ni tajiri, kuwa ni mwenye nguvu lakini amekataa injiri ya kupata uzima wa milele bure baada ya kifo chake huyo ni bure hana hekima yoyote ndani yake lakini yule alalaye katika nyumba ya udongo na asie na hela wala nguvu amfuatae mungu na kukubali injiri yake huyu ni tajiri na mwenye nguvu nyingi na hekima imo ndani yake, huyu ataondoka na yule aliye umba hizo nyota nyingi mzionazo mbinguni na kwenda mbinguni bure, yoyote akosaye nafasi hii ni bure kabisa hajui baada ya kufa akiwa amemkana mungu nini kitatokea kwake je pesa hizo nyingi alizo kuwa nazo zinaweza kumuokoa na mauti, je magari hayo na majumba hayo yaweza kumuokoa, basi amini naambia wale wote wamkataao mungu na kukataa uzima wa milele bure hao ni bure wanafanya jambo linaloweza kuiangamiza nafsi zao wenyewe.

hebu chukulieni mfano mtu yoyote haangamizae mali zake nyingi bila sababu huyu ni wazi.kuwa hana hekima na anafanya jambo baya ila yule ahifadhiye mali zake ndio mwenye akili na hekima kadhalika mtu yoyote amfuate mungu bure huyu amehifadhi nafsi yake isiangamie na anahekima bali yule amkataaye mungu ameharibu nafsi yake na kuiteketeza wakati kuifadhi ni bure huyu hana hekima wala akili.


katika siku ile wale wote wenye akili na hekima ndio watakao okolewa kila mmoja atakaye onekana katika kitabu kile cha uzima na cha mwanakondoo basi jiandaeni msije mkaangamia muende mtwae maji ya uzima bure, mungu anawapenda aliwaumba kwa mfano wake mwenyewe mtukuzeni na kumuabudu enyi mkaao juu ya nchi mpeni sifa kwa maana hamjui ya kwamba aliwaumba bure na kuwatengenezeeni dunia na miti na maji na samaki na mauwa na wanyama bure, hivi vyote amewapa bure mshukuruni na kumtukuza yeye pekee na kurudisha sifa na shukrani na uweza kwa upendo aliyo watendeeni enyi nyinyi mkaao juu ya nchi.

Tazama yuaja na mawingu na kila jicho litamuona heri yule afuaye mavazi yake na kuwa safi, heri yule hawasaidiaye wenye shida na maskini kwa maana huyo ameweka hadhina mbinguni, heri yule amsameaye mwenzie aliye mkosea na kuondoa visasi vyovyote kwa maana huyo mungu naye atamsamehe makosa yake na kulifuta jina lake kwenye kitabu cha hukumu na kuwa miongoni mwa walio watakatifu wake naye ataingia mbinguni kwa maana wafanyao visasi na mauaji hawato okolewa kwa maana walio mbinguni hawafanyi visasi wala mauaji.


Enyi wazinzi kwa maana mwafanya jambo litakalo waangamizeni nafsi zenu, mungu aliumba mtu mume na mke basi jifanyieni mke mmoja na mume mmoja mpate kuhesabiwa haki mbele za mungu, hata siku ile iliyo kuu ambayo wengi mmeipuuzia habari zake tazama anakuja kumaliza uovu wote na kama vile muonapo uovu ukitendekea kisha unafika wakati unaisha basi tambueni kuwa inakuja siku kuu ambayo maovu yote yataisha yatatoweka na kuangamizwa kabisa milele na milele mungu anawapenda amewapeni nafasi mpate kutubu dhambi zenu mnangoja nini muda ni mchache tubuni basi mpate kusamehewa.

olewenu nyinyi mashoga kwa maana mmebadirisha jinsia zenu mungu alizo wapa na kujifanyieni yamchukizayo mungu, tazama yuaja upesi kama vile mlivyo kataa kuwa wa jinsi yenu aliyo waumba kwamba ni wakiume au wakike basi tazama atawakataeni mbele ya kiti cha enzi na mwanakondoo kwa maana mmebatirisha kazi yake na kujifanyia watu wa jinsi tofauti na alizo waumba, hebu chukulia mfano mtu aliye achiwa mali na mwajiri wake aliyesafiri kwaajili ya kuisimamia kisha baadae mwajiriwa wake akarudi kutoka safarini akakuta mtumishi wake amebadirisha mali yake na kuifanya vyenginevyo je mtu huyu hatakuwa na hatia mbele ya mwajiriwa wake, basi tunzeni mali zenu kama vile mlivyo achiwa kwamba ni wakiume au wakike tunza hivyo hivyo asije huyo aliye wapa mzitunze akakuta umebadilisha ukahesabiwa mwenye hatia mbele zake.


Sio mimi niliye andika haya yote ila ni msukumo wa roho mtakatifu basi hii ni injiri ya kweli nendeni mkabadilishe njia zenu muende mkatwae uzima wa milele bure kwa maana hamjui mliumbwa mkiwa watakatifu msio weza kufa na kwamba dhambi ndio chanzo chenu cha kifo. je, ni nani kati yenu asiyechukia au kuogopa kifo heri yule atambuaye dhambi yake na kukiri makosa yake ili awe mtakatifu na kupata Hiyo haki ya kuendea huo uzima wa milele bure ambao aliupoteza hapo mwanzo kwasababu ya dhambi.

basi kila mmoja wenu aonapo dhambi sehemu sehemu basi na atambue kuwa mungu yupo na anakuja upesi, basi kila mtu aonapo ndugu yake amekufa basi na atambue kuwa dhambi ndio chanzo cha nugu yake kufa na ajinyenyekeze mbele za mungu apate haki ya kuuendea huo uzima wa milele bure asije akaangamia.

ujuio wa mungu utakuwa wa haraka kuliko inavyo zaniwa kwa wafu walio kufa hebu chukulia mfano ulalapo usiku kitandani alafu ndani ya muda mchache unaamka kusha pambazuka basi hao wafu wafao wamelala mda mchache hata waliokufa miaka elfu 3000 basi wataamka sawa sawa na mtu alalaye kitandani masaa 12 na kuamka kana kwamba amelala muda mchache tu kwa maana mungu atawaamsha kutoka katika wafu nao wataona wamelala katika umauti mda mchache tu, heri wale walio hai tazama anakuja upesi muda msio zani basi kesheni mkajitakase kwa maana hamjui saa ya kuja kwake asije akaja akawakuta mmelala.

Mungu na awakumbuke.majina yenu ijapo mtakufa au mtakuwa hai ajapo nawaombea muokolewa amina.
Unapokosoa watu na huduma zao za kiimani uje na hoja za kimaandiko, sio hisia zako binafsi. Na uandishi wako una makosa pia mfano;
Yohana aliyeandika kitabu cha Ufunuo sio nabii ni Mtume, nabii wa mwisho wa agano la kale ni Yohana Mbatizaji hawa ni watu wawili tofauti.

Umewaita manabii, watu kama Yusufu, Eli, Henoko watu ambao hawakuwa manabii. Hili ni kosa ambalo linakuondolea credibility ya kuwakosoa hao manabii uliowataja hasa pale unapojihesabu kama msomaji wa Biblia

Halafu unasema manabii hawakuwahi kufungua makanisa na walikuwa waIsraeli, ni wapi Mungu alisema manabii watakuwa waisraeli tu? Una reconcile vipi na andiko kama la WAEFESO 4:11 ?

Ni kweli kuna shida siku za leo, wanaojiita manabii wengi hawafanyi ambacho manabii wanatakiwa/walitakiwa kufanya lakini hata wakosoaji nao hawajui namna ya kukosoa kwa hoja za kimaandiko ukiwemo wewe mleta mada
 
Unapokosoa watu na huduma zao za kiimani uje na hoja za kimaandiko, sio hisia zako binafsi. Na uandishi wako una makosa pia mfano;
Yohana aliyeandika kitabu cha Ufunuo sio nabii ni Mtume, nabii wa mwisho wa agano la kale ni Yohana Mbatizaji hawa ni watu wawili tofauti.

Umewaita manabii, watu kama Yusufu, Eli, Henoko watu ambao hawakuwa manabii. Hili ni kosa ambalo linakuondolea credibility ya kuwakosoa hao manabii uliowataja hasa pale unapojihesabu kama msomaji wa Biblia

Halafu unasema manabii hawakuwahi kufungua makanisa na walikuwa waIsraeli, ni wapi Mungu alisema manabii watakuwa waisraeli tu? Una reconcile vipi na andiko kama la WAEFESO 4:11 ?

Ni kweli kuna shida siku za leo, wanaojiita manabii wengi hawafanyi ambacho manabii wanatakiwa/walitakiwa kufanya lakini hata wakosoaji nao hawajui namna ya kukosoa kwa hoja za kimaandiko ukiwemo wewe mleta mada
asante sana
 
kulingana na mtiririko wa biblia wa manabii unaishia kwa yohana kama ndie nabii wa mwisho yani yule alieandika kitabu cha ufunuo ambacho ndio kitabu cha mwisho kwenye biblia na ukiangalia manabii wote katika mtiririko wa biblia walikuwa ni waisrael na sio wa mataifa tofauti na hilo na hawakuwai kufungua makanisa, hawakuwai kupaka watu maji ya upako, hawakuwai kuchukua sadaka, hawakuwai kuuza wala kuwa na maji ya baraka au kutoza kodi malipo kwaajili ya kupata huduma.

hii ni kulingana na hadithi za manabii kama vile ibrahim, isaka, yakobo, musa, Eliya, Elisha, Yusuphu, Eli, Samweli, nuhuu, henoki n.k manabii hawa kulingana na biblia ni wazi hawakuwai kufungua kanisa wala kuuza maji ya upako, wala kutoza watu kodi kwaajili ya kuonana na manabii sasa hebu tujiulize Hivi hawa manabii wa sikuizi ndio wale waliotabiriwa kuwa watakuwako duniani kama manabii wa uongo watakao danganya wengi na kuwapoteza hata kukosa uzima wa milele.


Kwa mtu aliye soma biblia vizuri kitabu kwa kitabu mpaka mwisho ataona kwa hakika kuwa nabii wa mwisho ni yohana nae alikuwa ni mwisraeli na hata baada ya huyo kufa hakujatokea nabii mwengine katika iisraeli yote hata hivi leo na badala yake baada ya nabii huyu yohana mungu alijifanyia mitume kumi na mbili nao akawatuma nendeni ulimwenguni mkahubiri habari zangu kuwa naenda kuwaandalia makao nitakuja kuwachukueni ili nilipo nanyi muwepo.


kwa mtu mwenye ufahamu wa sehemu hii ni kwamba yesu ameenda kuandaa makao inamaana atakuja kuwachukua wale ambao walipokea injiri yake ichi ndicho ambacho kingepaswa kuendelea mpaka mwisho yani ni kuhubiri tu kama mitume walivyo fanya katika maisha yao na sio ujio wa manabii au mitume wapya ni wazi kulingana na biblia hao ni waongo na kwamba mitume wa mwisho ni wale kumi na mbili na nabii wa mwisho ni yohana pekee.

mpaka hapa tushapata jibu kuwa manabii hawa wa leo na mitume tunaona kabisa ni wa uongo na ndio wale tulioambiwa katika injiri kuwa tujihadhari nao watakuja kuwako kwa lengo la kuwapoteza muangamie, kwasababu kwanza sio waisrael, wanafanya matendo ambayo manabii wa kwanza hawakufanya, wanahubiri kinyume na injiri ya mungu, wanatoza watu kodi ili kuwaona, wameunda makanisa yao wakati manabii hawakuwai kuunda makanisa.

Baadhi ya manabii ambao wana ishara zote kuwa ni manabii wa uongo na walitokea baada ya utabiri wa miaka 2000 wa biblia na kuunda mwakanisa na madhehebu hawa hapa.

ELLEN G WHITE
Huyu anafahamika kama nabii kwenye kanisa maarufu la Wasabato, nabii huyu ndie mwanzilishi wa kanisa la wasabato, nabii huyu alikuja kuwako baada ya utabiri wa ujio wa manabii wa uongo wa takribani miaka 2000 iliyopita wakati manabii wote walikuwako kabla ya utabiri kusemwa kutoka kwenye biblia, nabii huyu sio uzao wa israeli wakati manabii wote nj waisrael, nabii huyu aliunda dhehebu wakati manabii wa zamani hawakuunda madhehebu, nabii huyu mafundisho yake hayafanani na ya manabii wa kwenye biblia wakati manabii wa zamani hawakupingana kwenye mafundisho. hizi ni ishara zote zinaonesha kuwa hafanani na manabii wa zamani wa mungu hivyo ni nabii wa uongo.


MWAMPOSA
Huyu anafahamika kama nabii katika kanisa la Rise and shine, nabii huyu alikuwako baada ya utabiri wa miaka 2000 kuhusu ujio wa manabii wa uongo, wakati manabii wa zamani walikuwako kabla ya unabii kusemwa, nabii huyu sio mwisraeli wakati manabii wote ni waisrael, nabii huyu ameunda dhehebu yani kanisa wakati manabii wa zamani hawakufanya hivyo, nabii huyu mafundisho yake yanapingana na injiri ya biblia wakati manabii wa zamani hakupingana kwenye mafundisho, nabii huyu anatoza watu fedha kwaajili ya kumuona wakati manabii wa mwanzo hawakufanya hivyo. hizi ni ishara zote kuwa hafanani na manabii wa zamani hivyo ni nabii wa uongo.

MOHAMMED
Huyu anafahamika kama nabii au mtume katika dhehebu la kiislam, nabii huyu alikuwako baada ya miaka 2000 ya utabiri wa ujio wa manabii wa uongo katika biblia, nabii huyu alikuja na kitabu kingine cha quran chenye asilimia 90 ya maneno ya kwenye biblia ikiwemo, habari za adamu na hawa, ibrahimu, isaka, yakobo, musa, na hata habari za yesu zilizopo kwenye quran alikuja nazo baada ya kuwako kwa biblia maelfu ya miaka hii ndio sababu nime muhusisha kwenye list hii ya manabii wa uongo.

nabii huyu akuwa mwisraeli lakini quran aliyokuja nayo inahabari zote za waisrael ambazo zilikuwako kwenye kitabu cha zamani cha biblia kwa takribani miaka 2000 kabla yake, kama ukisoma quran yote na ukisoma biblia yote utaona kuwa utofauti ni jina tu kwamba kitabu hiki kinaitwa Quran na hiki ni biblia lakini vyote habari zake zinafanana hivyo ni wazi kuwa huyu ni nabii wa uongo aliye tabiriwa kuwako duniani kwa takribani miaka 2000 iliyopita.

nabii huyu injiri yake haifanani na ya manabii wa zamani wa kwenye biblia na quran aliyokuja nayo wakati manabii wote wa zamani hawakupingana kwenye injiri na mafundisho ni wazi kuwa mfano mafundisho aliyokuja nayo Mohammed hayafanani na Ibrahim, wala isaka , wala yusuphu , wala musa mfano mafundisho ya swala tano, mafundisho ya kuhiji makka, hizi ni ishara tosha kuwa yeye ni nabii wa uongo manabii wa zamani hawakupingana na wala hawakufanya haya.


SUGUYE
Huyu anafahamika kama nabii katika kanisa la WRM, nabii huyu alikuwako baada ya ule unabii wa kutokea kwa manabii wa uongo kwa takribani miaka 2000 iliyopita wakati manabii wa zamani walikuwako kabla ya utabiri huo, nabii huyu ameunda kanisa wakati manabii wa kwanza hawakufanya hivyo, nabii huyu mafundisho yake yanapingana na manabii wa zamani wakati manabii wa kwanza mafundisho yao hawapingani, nabii huyu sio mwisraeli wakati manabii wote wa zamani ni wa Israeli, nabii huyu anatoza watu pesa kwaajili ya kumuona wakati manabii wa zamani hawakufanya hivyo hivi hii ni ishara yote kuwa huyu ni nabii wa uongo aliyetabiriwa kuwako kwa tabribani miaka 2000 iliyopita.


List ni ndefu ila niishie kwa hawa kwa kifupi manabii na mitume wote walio kuwako baada ya manabii wale wa zamani na wale mitume kumi na mbili ni waongo na wamekuja kwa kusudi la kuudanganya ulimwengu hivyo makanisa haya na madhehebu yote hayataokolewa ikiwemo wasabato, rise and shine, wakatoliki, waislam, walokole wote wengi wataangamia kwa kukosa maarifa bali wale wenye akili na hekima ndio watakao okolewa na kurithi uzima wa milele mwenye sikio na asikie.

Nimesoma biblia yote na ninakiri na nimeona hakuna giza ndani yake mambo yote yaliyomo ni ya kweli na ya haki, unabii wake ni wakweli na unatumia hata hivi leo,


UJUMBE WANGU
ujumbe wangu ni kwa haya madhehubu ya leo kwa hakika hakuna atakaye okolewa afuataye mafundisho ya makanisa haya na madhehebu ila wale wenye akili na hekima ndio wataokolewa, hawa kwasababu ya hekima yao watawajua na kuwakataa manabii wa uongo, hawa watamfuata mungu moja kwa moja nae atawapokea kwa maana amfuatae mungu atafika mbinguni ila wafuatao manabii na makanisa hawataokolewa milele, hawa wanafahamu haya yote na wapo tayari hata kufa kama mitume na wale wateule kwaajili ya jina la mungu na injiri yake.


kwa kweli katika biblia nzima nami nakiri kuwa hakuna giza ndani yake sio ushabiki nimesoma na nimeelewa biblia na yote yaliyomo ni ya kweli na unabii wake unatimizwa kama kuna sehemu pamesema mungu atarudi tena basi atarudi upesi muda msio zani atakuja kwa nguvu nyingi kwa muda msiozani japo wengi mwasema mbona kila siku kila kitu kipo vile vile wala haji.

chukulieni kama vile matetemeko ya ardhi yatokeapo wakati msiozani wala hamjui saa yake yatokeapo na yanapotekea wengi hupoteza maisha tazama ndivyo itakavyo kuwa kwa ujio wa mungu atakuja kwa nguvu nyingi wakati msiozani dunia itatetemeka na wengi mtalia na kusaga meno wale mlio kataa injiri ya kweli mtaangamia kama vile matetemeka yawaangamizavyo maelfu ya watu yatokeapo wakati msio zani na kama radi liwakovyo wala hamjui kuwa litawaka saa ngapi au litawaka magharibi au kaskazini bssi na kadhalika atakuja kwa nguvu nyingi kama radi liwakavyo na hamtajua kama atakuja upande wa kaskazini wa mashariki.

basi kesheni mkafue mavazi yenu na kuachana na makanisa haya na manabii hawa mungu alio waonya mkae nao mbali msiwafuate kwani mnaweza kumfuata mungu bila manabii hao wala makanisa hayo tazama huyo yesu alikufa ilikukufanya wewe kuwa kuhani hakuna ombi ambalo halitasikiwa ukiomba kwa imani bila kanisa bila.nabii hata hivi leo anasikia na kwa imani anajibu kwa jina lenye nguvu la yesu hakuna mchawi anaeweza kusimama, wala majini wote hukimbia mbele zake kwa hakika yesu ni mwana wa mungu.

ndugu yako akiwa na majini omba kwa jina hilo la yesu hata ukiwa muislam omba kwa imani nyingi jini hilo litakimbia mbali kwa maana huyo yesu ndie mungu aliye hai, hata unaposumbuliwa na wachawi piga magoti kwa imani kwa jina la yesu wachawi watakimbia hata kama umerogwa piga magoti kwa imani kwa kupitia jina hilo lenye nguvu la yesu pekee vifungo na uchawi wote utaondoka kwa maana yesu ndie mungu juu ya kila kitu hakuna mungu mwengine isipokuwa yeye.

Basi kesheni mkiomba kwa maana mda mwengine mnafanya dhambi hata bila kujua isije mungu akaja wakati huo huo na wewe ukaangamia kesheni mkaombe kila saa mnapo amka mnapoenda kazini mnapo kula mnapo pumzika ili ajapo awakute mko tayari mkiwa watakatifu bila dhambi muhesabiwe washindi msiokuwa na dhambi wala uchawi wa kurogwa kwa maana walio rogwa hawataingia mbinguni kesheni basi mkajitakase kwa maombi tayari kwa ujio wa mungu.

helri wale wafao katika jina la bwana tangu sasa kwa maana hao watafufuliwa na kupewa uzima wa milele basi kesheni mkaombe msije mkafa mkiwa hamja tubu dhambi zenu au mkiwa mmerogwa au mkiwa na majini ndani yenu, kesheni mkaombe mara kwa mara kila unapo jihisi umefanya dhambi umemkosea mungu, umetukana, umelewa pombe, umepigana, au unamajini kesheni mkaombe kwa maana hamjui saa ya kuja kwake tazama anakuja upesi na kila jicho litamuona nao walio mkataa watatetemeka na kulia na kusaga meno, na hao wachawi watakimbia mbele zake na milima itakimbia utukufu wake.

na hayo maghorofa na miji mikuu itadondoka na hayo magari ya kifahari yataharibiwa na hizo fedha zitateketezwa zote heri yule ajitakasaye na kuyafahamu haya yote na kuamua kumfuata mungu na maagizo yake hii ndio inijiri kama alionya ujio wa manabii wa uongo basi msiwafuate kama alionya kuabudu sanamu badala yake basi msifanye, kwa maana wafanyayo kinyume na sauti yake hawana utofauti na shetani yeye alimuasi mungu kwa kukataa sauti yake heri yule ashikaye kila neno katika biblia na kulielewa kwa maana huyo ataokolewa.

Basi mtu yoyote kati yenu anayejiita kuwa ni msomi, kuwa ni tajiri, kuwa ni mwenye nguvu lakini amekataa injiri ya kupata uzima wa milele bure baada ya kifo chake huyo ni bure hana hekima yoyote ndani yake lakini yule alalaye katika nyumba ya udongo na asie na hela wala nguvu amfuatae mungu na kukubali injiri yake huyu ni tajiri na mwenye nguvu nyingi na hekima imo ndani yake, huyu ataondoka na yule aliye umba hizo nyota nyingi mzionazo mbinguni na kwenda mbinguni bure, yoyote akosaye nafasi hii ni bure kabisa hajui baada ya kufa akiwa amemkana mungu nini kitatokea kwake je pesa hizo nyingi alizo kuwa nazo zinaweza kumuokoa na mauti, je magari hayo na majumba hayo yaweza kumuokoa, basi amini naambia wale wote wamkataao mungu na kukataa uzima wa milele bure hao ni bure wanafanya jambo linaloweza kuiangamiza nafsi zao wenyewe.

hebu chukulieni mfano mtu yoyote haangamizae mali zake nyingi bila sababu huyu ni wazi.kuwa hana hekima na anafanya jambo baya ila yule ahifadhiye mali zake ndio mwenye akili na hekima kadhalika mtu yoyote amfuate mungu bure huyu amehifadhi nafsi yake isiangamie na anahekima bali yule amkataaye mungu ameharibu nafsi yake na kuiteketeza wakati kuifadhi ni bure huyu hana hekima wala akili.


katika siku ile wale wote wenye akili na hekima ndio watakao okolewa kila mmoja atakaye onekana katika kitabu kile cha uzima na cha mwanakondoo basi jiandaeni msije mkaangamia muende mtwae maji ya uzima bure, mungu anawapenda aliwaumba kwa mfano wake mwenyewe mtukuzeni na kumuabudu enyi mkaao juu ya nchi mpeni sifa kwa maana hamjui ya kwamba aliwaumba bure na kuwatengenezeeni dunia na miti na maji na samaki na mauwa na wanyama bure, hivi vyote amewapa bure mshukuruni na kumtukuza yeye pekee na kurudisha sifa na shukrani na uweza kwa upendo aliyo watendeeni enyi nyinyi mkaao juu ya nchi.

Tazama yuaja na mawingu na kila jicho litamuona heri yule afuaye mavazi yake na kuwa safi, heri yule hawasaidiaye wenye shida na maskini kwa maana huyo ameweka hadhina mbinguni, heri yule amsameaye mwenzie aliye mkosea na kuondoa visasi vyovyote kwa maana huyo mungu naye atamsamehe makosa yake na kulifuta jina lake kwenye kitabu cha hukumu na kuwa miongoni mwa walio watakatifu wake naye ataingia mbinguni kwa maana wafanyao visasi na mauaji hawato okolewa kwa maana walio mbinguni hawafanyi visasi wala mauaji.


Enyi wazinzi kwa maana mwafanya jambo litakalo waangamizeni nafsi zenu, mungu aliumba mtu mume na mke basi jifanyieni mke mmoja na mume mmoja mpate kuhesabiwa haki mbele za mungu, hata siku ile iliyo kuu ambayo wengi mmeipuuzia habari zake tazama anakuja kumaliza uovu wote na kama vile muonapo uovu ukitendekea kisha unafika wakati unaisha basi tambueni kuwa inakuja siku kuu ambayo maovu yote yataisha yatatoweka na kuangamizwa kabisa milele na milele mungu anawapenda amewapeni nafasi mpate kutubu dhambi zenu mnangoja nini muda ni mchache tubuni basi mpate kusamehewa.

olewenu nyinyi mashoga kwa maana mmebadirisha jinsia zenu mungu alizo wapa na kujifanyieni yamchukizayo mungu, tazama yuaja upesi kama vile mlivyo kataa kuwa wa jinsi yenu aliyo waumba kwamba ni wakiume au wakike basi tazama atawakataeni mbele ya kiti cha enzi na mwanakondoo kwa maana mmebatirisha kazi yake na kujifanyia watu wa jinsi tofauti na alizo waumba, hebu chukulia mfano mtu aliye achiwa mali na mwajiri wake aliyesafiri kwaajili ya kuisimamia kisha baadae mwajiriwa wake akarudi kutoka safarini akakuta mtumishi wake amebadirisha mali yake na kuifanya vyenginevyo je mtu huyu hatakuwa na hatia mbele ya mwajiriwa wake, basi tunzeni mali zenu kama vile mlivyo achiwa kwamba ni wakiume au wakike tunza hivyo hivyo asije huyo aliye wapa mzitunze akakuta umebadilisha ukahesabiwa mwenye hatia mbele zake.


Sio mimi niliye andika haya yote ila ni msukumo wa roho mtakatifu basi hii ni injiri ya kweli nendeni mkabadilishe njia zenu muende mkatwae uzima wa milele bure kwa maana hamjui mliumbwa mkiwa watakatifu msio weza kufa na kwamba dhambi ndio chanzo chenu cha kifo. je, ni nani kati yenu asiyechukia au kuogopa kifo heri yule atambuaye dhambi yake na kukiri makosa yake ili awe mtakatifu na kupata Hiyo haki ya kuendea huo uzima wa milele bure ambao aliupoteza hapo mwanzo kwasababu ya dhambi.

basi kila mmoja wenu aonapo dhambi sehemu sehemu basi na atambue kuwa mungu yupo na anakuja upesi, basi kila mtu aonapo ndugu yake amekufa basi na atambue kuwa dhambi ndio chanzo cha nugu yake kufa na ajinyenyekeze mbele za mungu apate haki ya kuuendea huo uzima wa milele bure asije akaangamia.

ujuio wa mungu utakuwa wa haraka kuliko inavyo zaniwa kwa wafu walio kufa hebu chukulia mfano ulalapo usiku kitandani alafu ndani ya muda mchache unaamka kusha pambazuka basi hao wafu wafao wamelala mda mchache hata waliokufa miaka elfu 3000 basi wataamka sawa sawa na mtu alalaye kitandani masaa 12 na kuamka kana kwamba amelala muda mchache tu kwa maana mungu atawaamsha kutoka katika wafu nao wataona wamelala katika umauti mda mchache tu, heri wale walio hai tazama anakuja upesi muda msio zani basi kesheni mkajitakase kwa maana hamjui saa ya kuja kwake asije akaja akawakuta mmelala.

Mungu na awakumbuke.majina yenu ijapo mtakufa au mtakuwa hai ajapo nawaombea muokolewa amina.
Huna akili,umeandika utumbo mreefuuuu
 
Hii vita ya wakweli na waongo haina mwisho maana kila mtu ana hoja zake timilifu za kujitetea
 
Back
Top Bottom