MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Kuna watu ata hiyo elfu 50 hawana, wanakuja mjini na nauli tu, wanaosha magari wanapata zaidi ya elfu 15 kwa siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuchoma Mahindi
Kutembeza kahawa na kashata
Kukaanga mihogo
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Maji ya kandolo au ya Mo?Kuuza maji kwenye vituo vya daladala.
Maji ya kandolo au ya Mo?
Kama unaishi kwenu kuna blenda na friji, kanununue matunda ya elfu 30 sokoni na sukari ya 2500, saga juisi ipoze kwa ubaridi wa kutosha nununua glass za take away na milija yake elfu 7 kauze mtaani, obviously day one itakua ngumu but nakuhakikishia after a week utakua unapiga mpunga mpaka elfu 30 faida tuMmh biashara gani tujuze
Wanadhani kila mtu kazaliwa ni mfanyabiashara, ingekua hivyo hata hii jf isingekuwepo.Hivi aliewambia kuwa kila msomi anaweza kufanya biashara ni nani?
Shildish!
SawaUhai, Masafi, Pangani, Hill et al.
Na kabla ya yote...kusurvive kwanza.. huwez kuwaza kiwanja iwapo huwezi kumudu basic needsDSM unaishije Kwa faida ya 10000 , hyo ni faida ya kupata hela ule ili usife ,
Kwa kweli kuna watu wanajua kubalans maisha ya Dar. Mtu ana mtaji wa elfu 50 anaingiza faida ya elfu 15 mpaka 20 na anaishi Dar vizuri tu.
Nawashangaa sana Wasomi wengi wakipewa milioni 1 wanadai haitoshi wanaishia kuidumbukiza kwenye starehe
Elf 50 nyingi mie biashara yangu mtaji ni elf 10 tu na faida yangu uhakika kabisa elf 10 kila siku (note: ni biashara yangu)
Demi niwaambie biashara ya vibol*? Au basi [emoji1787][emoji1787]
Sio starehe sema kubeti😅😅Kwa kweli kuna watu wanajua kubalans maisha ya Dar. Mtu ana mtaji wa elfu 50 anaingiza faida ya elfu 15 mpaka 20 na anaishi Dar vizuri tu.
Nawashangaa sana Wasomi wengi wakipewa milioni 1 wanadai haitoshi wanaishia kuidumbukiza kwenye starehe
Hapana sio barafuUnauza barafu mamaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli shildish kabisa😂😂Hivi aliewambia kuwa kila msomi anaweza kufanya biashara ni nani?
Shildish!
😂😂😂Ni kweli shildish kabisa😂😂
pole sana dada kwa maumivu makali unayopitia biasharaniElf 50 nyingi mie biashara yangu mtaji ni elf 10 tu na faida yangu uhakika kabisa elf 10 kila siku (note: ni biashara yangu)
Demi niwaambie biashara ya vibol*? Au basi 🤣🤣