Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Dildo nitakata mtaji....make mzigo wote ukiingia nitauchukia nitumie mwenyeweDildo hiyo tu itakua hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dildo nitakata mtaji....make mzigo wote ukiingia nitauchukia nitumie mwenyeweDildo hiyo tu itakua hiyo
Ahsante nishapoapole sana dada kwa maumivu makali unayopitia biasharani
Hhahahaha utamaliza zote kweli,Apo utakua na size mbali mbali,ukinywa mvinyo ukilegea tu ,unajilipua,shida yote ya Nini na sisi tupoDildo nitakata mtaji....make mzigo wote ukiingia nitauchukia nitumie mwenyewe
Wamefanya nini hao walimu?.Naomba huu uzi asiuone Mpwayungu Village . Walimu watanangwa vibaya mno
Muulize Mpwayungu VillageWamefanya nini hao walimu?.
Huyo kazi yake ni kuwadhalilisha walimu na sijui walimfanya nini mpaka anawapaka matope kila siku.Muulize Mpwayungu Village
Jamaa wa ajabu sanaHuyo kazi yake ni kuwadhalilisha walimu na sijui walimfanya nini mpaka anawapaka matope kila siku.
Nielekeze mkuuElf 50 nyingi mie biashara yangu mtaji ni elf 10 tu na faida yangu uhakika kabisa elf 10 kila siku (note: ni biashara yangu)
Demi niwaambie biashara ya vibol*? Au basi 🤣🤣
Uhakika wa biashara upate hiyo hela uwe na access na wanafunzi....uhakika 100%, una access nao???Nielekeze mkuu
Elfu 50 yote hiyo? Kuna wanaowah mazizini kuchukua nyama za supu hawafikishi hata huo mtajiKwa kweli kuna watu wanajua kubalans maisha ya Dar. Mtu ana mtaji wa elfu 50 anaingiza faida ya elfu 15 mpaka 20 na anaishi Dar vizuri tu.
Nawashangaa sana Wasomi wengi wakipewa milioni 1 wanadai haitoshi wanaishia kuidumbukiza kwenye starehe
samahan mkuu protector izo kwa bei hiyo zinapatikan wapi ?50,000
Nunua box za protector sh 4000 kila Box inakaa protector 10 nunua box 10 tu = 40,000 bakisha 10 Lako la nauli toka area 1 to area 2
unapoint protector zinazoingiliana na simu nyingi, Box 1 (smart 4) Box 2 (hot 10i)nk
mabox 10,zungusha mguu kwa mguu kwenye BAR na PUB na migahawa,achana na faida nyingi uza Protector 1 kwa 3000 tu, Usipolaza faida
ya 10,000 to 20,000 kwa siku na hapo umeshakula njoo nitukane mimi na wote wa damu yangu.
Bila kutoa hints ni kujizima data,habu Tuwe na uwaziKwa kweli kuna watu wanajua kubalans maisha ya Dar. Mtu ana mtaji wa elfu 50 anaingiza faida ya elfu 15 mpaka 20 na anaishi Dar vizuri tu.
Nawashangaa sana Wasomi wengi wakipewa milioni 1 wanadai haitoshi wanaishia kuidumbukiza kwenye starehe
Kuna mdogo wangu anauza juice mtaji elfu 10 tu na anaingiza hadi 15k kwa sikuKwa kweli kuna watu wanajua kubalans maisha ya Dar. Mtu ana mtaji wa elfu 50 anaingiza faida ya elfu 15 mpaka 20 na anaishi Dar vizuri tu.
Nawashangaa sana Wasomi wengi wakipewa milioni 1 wanadai haitoshi wanaishia kuidumbukiza kwenye starehe
Shida sisi wasomi hatufanyagi hizi....tunataka frem na mtaji 10m 🤣🤣
Sometime biashara ni bahatiKwa kweli kuna watu wanajua kubalans maisha ya Dar. Mtu ana mtaji wa elfu 50 anaingiza faida ya elfu 15 mpaka 20 na anaishi Dar vizuri tu.
Nawashangaa sana Wasomi wengi wakipewa milioni 1 wanadai haitoshi wanaishia kuidumbukiza kwenye starehe