Hivi kumbe kuna watu wanafanya biashara Dar es salaam kwa mtaji wa elfu 50 tu🙌🙌

Hivi kumbe kuna watu wanafanya biashara Dar es salaam kwa mtaji wa elfu 50 tu🙌🙌

Mwalimu akinunua vile vipipi vya wanafunzi, mf. Kuna vidonge (aina ya pipi) box 5000, ukimaliza unapata 9000. Ukiwa na nidhamu ya pesa utatoboa kiaina. Ila usiangalie makunyanzi, Sasa unataka mwalimu auze chaki? Changanya na maandazi. Fundisha kwa bidii na biashara kwa bidii.
 
Kwa kweli kuna watu wanajua kubalans maisha ya Dar. Mtu ana mtaji wa elfu 50 anaingiza faida ya elfu 15 mpaka 20 na anaishi Dar vizuri tu.

Nawashangaa sana Wasomi wengi wakipewa milioni 1 wanadai haitoshi wanaishia kuidumbukiza kwenye starehe
Elfu 50 yote hiyo? Kuna wanaowah mazizini kuchukua nyama za supu hawafikishi hata huo mtaji
 
50,000

Nunua box za protector sh 4000 kila Box inakaa protector 10 nunua box 10 tu = 40,000 bakisha 10 Lako la nauli toka area 1 to area 2

unapoint protector zinazoingiliana na simu nyingi, Box 1 (smart 4) Box 2 (hot 10i)nk

mabox 10,zungusha mguu kwa mguu kwenye BAR na PUB na migahawa,achana na faida nyingi uza Protector 1 kwa 3000 tu, Usipolaza faida

ya 10,000 to 20,000 kwa siku na hapo umeshakula njoo nitukane mimi na wote wa damu yangu.
samahan mkuu protector izo kwa bei hiyo zinapatikan wapi ?
 
Kwa kweli kuna watu wanajua kubalans maisha ya Dar. Mtu ana mtaji wa elfu 50 anaingiza faida ya elfu 15 mpaka 20 na anaishi Dar vizuri tu.

Nawashangaa sana Wasomi wengi wakipewa milioni 1 wanadai haitoshi wanaishia kuidumbukiza kwenye starehe
Bila kutoa hints ni kujizima data,habu Tuwe na uwazi
 
K
Kwa kweli kuna watu wanajua kubalans maisha ya Dar. Mtu ana mtaji wa elfu 50 anaingiza faida ya elfu 15 mpaka 20 na anaishi Dar vizuri tu.

Nawashangaa sana Wasomi wengi wakipewa milioni 1 wanadai haitoshi wanaishia kuidumbukiza kwenye starehe
Kuna mdogo wangu anauza juice mtaji elfu 10 tu na anaingiza hadi 15k kwa siku
 
Kwa kweli kuna watu wanajua kubalans maisha ya Dar. Mtu ana mtaji wa elfu 50 anaingiza faida ya elfu 15 mpaka 20 na anaishi Dar vizuri tu.

Nawashangaa sana Wasomi wengi wakipewa milioni 1 wanadai haitoshi wanaishia kuidumbukiza kwenye starehe
Sometime biashara ni bahati
 
Back
Top Bottom