MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
Dadeki....subiri aumwe UTI... [emoji38][emoji23] Utamuhurumia.....mtaji wote pyuuuuuu
Kisha anaanza kupiga mizinga!!!
Kisha anaanza kupiga mizinga!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anauza dildo,utakua vipi mteja wake na wewe ni me,hahahah🤣🤣🤣 tuambie ni nini hiyo tunaweza kuwa wateja wako
Dildo hiyo tu itakua hiyoElf 50 nyingi mie biashara yangu mtaji ni elf 10 tu na faida yangu uhakika kabisa elf 10 kila siku (note: ni biashara yangu)
Demi niwaambie biashara ya vibol*? Au basi 🤣🤣
Tena hii BONGE la fursa. Hakuna cha TRA wala halmashauri kukusumbuwa. Waweza kaanga ukauza, waweza pika supu ching ching. WEWE TU...🤙💪🙌
Qmmmke wanauza dildo. Mtaji wa dildo shingapi? Elfu 50 inatosha kweli?Anauza dildo,utakua vipi mteja wake na wewe ni me,hahahah
Si zipo aina mbali mbali,au ata bas ukinunua moja kwa hiyo 50 ukaenda kuiza kwa 75 ,utakufa njaa?Qmmmke wanauza dildo. Mtaji wa dildo shingapi? Elfu 50 inatosha kweli?
Biashara ziko nyingi mihogo,maandazi,mama ntilie,na nyinginezoMmh biashara gani tujuze
Acha wapambane dada zetuSi zipo aina mbali mbali,au ata bas ukinunua moja kwa hiyo 50 ukaenda kuiza kwa 75 ,utakufa njaa?
Kuna watu kazi yao ni kutumwa tu kwa siku anaingiza zaidi 60,000 mfano kutafuta bidhaa mbalimbali kwa watu wa mkoani, kuwatafutia machimbo, kuhakikisha unafunga mzigo na kuupeleka kwa transporter.Kuna watu ata hiyo elfu 50 hawana, wanakuja mjini na nauli tu, wanaosha magari wanapata zaidi ya elfu 15 kwa siku
Shukuruni sana TZ ndio bado kuna malalamiko ya ajira kwa wasomi lakn ukivuka mpaka tu hapo Uganda hakuna ujinga huo, wao kama ulaya hakuna mwenye matumaini ya hata siku moja ataajiriwa na serikali ama ujiajiri au uajiriwe/upewe meza maala uendeshe maisha yako na kila mtu ana uhakika wa kula milo 4, asubuhi, mchana, saa 12 na usiku.Si kushindie chai maharage na chapati.Yote kwa yote utabuni biashara gan ambayo haipo au haifanywi na yeyote...50k ni ndogo bana labda na ka~utapeli kahusike!!!anyway lakini haya mambo ya kusakama wasomi kuwa hawajitumi yanafanywa na waajiriwa au walofanikiwa tayar ila ukwel njia za fursa zimezibwa
Kati ya wajinga niliopata kuona na wewe ni mkubwa waoHivi aliewambia kuwa kila msomi anaweza kufanya biashara ni nani?
Shildish!
Hivi wewe kenge unajua msomi ni nani au usomi ni kitu gani,Hivi aliewambia kuwa kila msomi anaweza kufanya biashara ni nani?
Shildish!
shida ni ku~underrate hawa wasomi kana kwamba waliandaliwa kwa mitaala inayowawezesha kujiajiri....ki ukwel ni baadhi tu wanaweza kupangua gia na kuanza moja,ni ngumu kuanza huu ndio ukwelShukuruni sana TZ ndio bado kuna malalamiko ya ajira kwa wasomi lakn ukivuka mpaka tu hapo Uganda hakuna ujinga huo, wao kama ulaya hakuna mwenye matumaini ya hata siku moja ataajiriwa na serikali ama ujiajiri au uajiriwe/upewe meza maala uendeshe maisha yako na kila mtu ana uhakika wa kula milo 4, asubuhi, mchana, saa 12 na usiku.Si kushindie chai maharage na chapati.