Hivi kumbe SportPesa ni wahuni kiasi hiki?

Hivi kumbe SportPesa ni wahuni kiasi hiki?

Rafiki Mimi sio mgeni kwenye hili swala la betting na miaka zaidi ya kumi kwenye tasnia... Unaposema swala la ku-accept odds change Hilo linatakiwa lifanyike kabla ya kuplace bet...

Haiwezekani nimeshalipia mkeka ndo odds zishuke huo n utapeli....

Maana game itakapoanza odds lazima zibadilike Tu maana tayari iyo game inakua n live game..

Sasa mkeka nishauprint odds zinashukaje kama sio ujambazi... Anyways sahivi nishawasahau kama wapo nawaonaga Tu kwenye jezi ya Yanga
Bado huelewi kitu
 
Mkuu, ujanja ujanja unaanzia hapo kwenye kutengeneza list ya betting. Wanacheza na saikolojia.

Unakuta mtu ana furaha kashinda elfu hamsini, unamuuliza how? Anasema mkeka umetiki, unamuuliza ulibet kiasi gani, anajibu 40,000/= ukapata kiasi gani, anajibu 50,000/= sasa umeshindaje 50,000/=? Umeshinda 10,000/= hii 40,000/= ni ya kwako.

Makampuni yanakupa hongera kwa kukurudishia pesa yako kama ushindi. Hawatenganishi ushindi halisi ulioupata na pesa uliyoweka. Wanaharibu tafsiri ya ushindi kwenye ubongo wako.
Huna akili timamu
 
Hii inakuwa applicable kabla ya ku stake, meaning kipindi unapangilia team zako ndio option ya Odds change automatically au kwa ku accept, Baada ya ku stake mkeka wako hii option haifanyi kazi tena.

Ukiona baada ya ku stake mkeka na Odds let's say ni 230, ukishinda ukikuta zimepungua basi umeibiwa.
ww hujanielewa inafanya kazi kama wakati unastake mkeka pale kwenye accept any odd change tick ilikuwepo basi ikitokea odd zimeshuka na mkeka pia utashuka sasa ww kama hutaki mkeka ushuke ushindi kabla huja place bet hakikisha ile tick pale accept odd change haipo na hio tick inaweza kuwepo yenyewe automatic sasa hilo ni juu yako kuitoa..tatizo wengi mnapasahau hapo mnalia kuibiwa asubuh mkeka unasoma ushindi 50,000 na jion mkeka unasoma 35,000 unabaki unashangaa kumbe pale accept odd change tick ilikuwepo ila ww hukuiona au uliiona ila hukujua maana ya hio tick ya accept odd change.
 
Mkuu inaonekana hujaelewa vizuri hivi tufanye nimeshakubali icho kidude cha odds change then nilipoplace bet odds zikashuka toka 60 Hadi 40 nikaweka efu 10 kushinda 400k..

Then mkeka unashinda unakuta umeshinda 320k...
We unaona hiyo n sawa?
itakuwa sawa kama ile tick kwenye accept odd change ilikuwepo na endapo umehakikisha haikuwepo wakati unaplace bet basi mkeka wa ushindi haupungui hata kama odd zitashuka lada kuwa na mechi iwe ilihairishwa hayo mengine ni ubishi wenu tu wa kutokubali makosa yenu.
 
ww hujanielewa inafanya kazi kama wakati unastake mkeka pale kwenye accept any odd change tick ilikuwepo basi ikitokea odd zimeshuka na mkeka pia utashuka sasa ww kama hutaki mkeka ushuke ushindi kabla huja place bet hakikisha ile tick pale accept odd change haipo na hio tick inaweza kuwepo yenyewe automatic sasa hilo ni juu yako kuitoa..tatizo wengi mnapasahau hapo mnalia kuibiwa asubuh mkeka unasoma ushindi 50,000 na jion mkeka unasoma 35,000 unabaki unashangaa kumbe pale accept odd change tick ilikuwepo ila ww hukuiona au uliiona ila hukujua maana ya hio tick ya accept odd change.
Bado haujanielewa... Mpka una stake ni tayar unaona kila kitu kuanzia total odds,idadi ya team na expected amount after win. Game zinaanza ukiingia kwenye mkeka wako still unaona total odds zilizopo. Hapo ukikuta zimepungua Odds na pesa unayotakiwa kula mara baada ya kushinda utasemaje?
 
Bado haujanielewa... Mpka una stake ni tayar unaona kila kitu kuanzia total odds,idadi ya team na expected amount after win. Game zinaanza ukiingia kwenye mkeka wako still unaona total odds zilizopo. Hapo ukikuta zimepungua Odds na pesa unayotakiwa kula mara baada ya kushinda utasemaje?
Hawa Jamaa hawaelewi. Unaweza kuweka mkeka asubuh jion odds zikapanda unakuta ukistake 5000 ukitaka ku cash out unakuata 5500 na hapo mechi hazijaanza kumbe Kuna timu ilikuwa na odds kubwa zimeshuka
 
Hawa Jamaa hawaelewi. Unaweza kuweka mkeka asubuh jion odds zikapanda unakuta ukistake 5000 ukitaka ku cash out unakuata 5500 na hapo mechi hazijaanza kumbe Kuna timu ilikuwa na odds kubwa zimeshuka
Wewe ndio huelewi mwenzio kakuambia akishaplace bet baadae mechi zikisha Isha anakuta odds zimeshushwa kwenye mkeka wake kama aliplace odds 2.00 anakuta kwenye mkeka odds 1.90
 
Wewe ndio huelewi mwenzio kakuambia akishaplace bet baadae mechi zikisha Isha anakuta odds zimeshushwa kwenye mkeka wake kama aliplace odds 2.00 anakuta kwenye mkeka odds 1.90
Wejamaa nakujua hamnazo Sina sababu yakubishana na wewe
 
Bado haujanielewa... Mpka una stake ni tayar unaona kila kitu kuanzia total odds,idadi ya team na expected amount after win. Game zinaanza ukiingia kwenye mkeka wako still unaona total odds zilizopo. Hapo ukikuta zimepungua Odds na pesa unayotakiwa kula mara baada ya kushinda utasemaje?
ww jamaa una kichwa kigumu kinoma nadhani lengo lako si kutaka kuelewa bali kubishana tu..kwani mabadiliko ya odd yanatokea mda huo huo ulikoweka bet? si baadae sana bet uliweka asubuh au mchana na kabla muda wa mechi odd zikapungua sasa kama ww unataka total odds,idadi ya timu,amount to win uliyoweka asubuhi ulipwe vile vile bila kupungua hata kama odd zilishuka uhakikishe pale accept odds change hapakuwa na tick wakati unastake mkeka ile asubuh ww hautoguswa sasa kama tick ilikuwepo tu automatic ila hukuitoa ukaiacha au hukuiona kabisa kama ipo na wengi tunapasahau sana hapa hatupaangalii wengi tunachek win amount tu tumemaliza ila sasa nakushauri kung'oa mzizi wa tatizo ila ww umeshikila tu hela ya ushindi,helaa ya ushindi,kwanini ipungue unaambiwa sababu huitaki kuikubali duuh!
 
Back
Top Bottom