Hivi kumbe SportPesa ni wahuni kiasi hiki?

Hivi kumbe SportPesa ni wahuni kiasi hiki?

Sasa pale wangepigwa sana maana unavyoongeza timu hata over 0.5 bonus inapanda, kuna mmoja alipata timu 60 odds ndogo ndogo bonus 1000% alishinda mil 110. Week ile hadi mikeka ambayo ni lost ikaonekana kama bado zipo active
Kwa kile kichapo betpawa walipagawa, wakaanza kufanya mambo ya ajabu, sometimes mkeka ambao bado upo active hauonekani kwenye open bet
 
Kuna gem flani linaitwa Crash game lipo 1xbet na Melbet , lile gemu ukicheza mtandao ukiwa slow unaweza kuchukua ushindi kwenye 3.0 unaambiwa umelost kumbe kiuhalisia Kama plane wakati inaonekana 3.0 imedelay kwenye game ime crushed out kwenye 7,, hapo utaona Kama umedhulumiwa mda mwingine mfano umeweka 10,000 ukichukua kwenye 3.0 ambapo ulitakiwa upewe 30,000 unashangaa umepewa 70,000 kumbe wakati una cashout kwenye 3.0 kwenye game ilifika 7.0
Kama nimuelewa unaaza kugundua Hilo nitatizo kimtandao lakini ukiwa bongo lala utaanza kulalama
 
Narudia Tena kwenye betting mteja akishinda wanafurahi kuliko akipoteza kila siku. Mteja akishinda 50,000 Leo uwezekano wakuja kumpiga 500,000 upo kuliko akiliwa 50,000 anaweza kuacha kabisa kubeti au akahama kampuni.
 
kuepuka hilo la odd ikishuka na ushindi wa mkeka nao unapunguzwa usiweke tick pale "accept odd change" kama ipo tiki hapo itoe kabla hujalipia mkeka maana mchezo mzima unaanzia hapo kuwa umekubali mabadiliko ya odd yakitokea mwisho tunalalamika kuibiwa kumbe walaa we hakikisha hakuna tick sehemu hiyo
Hii inakuwa applicable kabla ya ku stake, meaning kipindi unapangilia team zako ndio option ya Odds change automatically au kwa ku accept, Baada ya ku stake mkeka wako hii option haifanyi kazi tena.

Ukiona baada ya ku stake mkeka na Odds let's say ni 230, ukishinda ukikuta zimepungua basi umeibiwa.
 
Yani mwenzenu ni mesuka mkeka Multbet yangu safi timu sita Arsenal vs Psg nikampa Arsenal, Barcelona vs Young boys nikampa Barcelona, inter Milan nikampa kushinda Leverkusen naye nikampa kushinda zidi ya Ac Milan Dortimund naye nika mpa kusinda na Man City nikampa kushinda.

Sasa hadi kipindi cha kwanza kinaisha timu zote nilizo chagua zilikuwa zinaongoza hisipokuwa Match ya Liverkursen na Ac milani walikuwa bado hawajafungana basi nikaendelea na mishe nyingine nakuja kuangalia dakika ya 89 nakuta Liverkursen kaisha funga goli nikawa najisemea kesho watanikoma maana mkeka niliona unaenda kutiki.

Kuja kurudi kwenye mkeka nakuta wameniwekea kwamba nilichagua PSG kushinda dhidi ya Arsenal na nimechagua Ac Milan kushinda dhidi ya Liverkursen.
Huku print au kuscreen shot mkeka?
 
Kushuka odds au kupanda mbona nikampuni zote Tena wanakuambia accept any changes unaaccept bila kujua maana yake?[emoji23] Ndipo nashauru kabla ya kujiunga Soma kwa makini vigezo na masharti odds inaweza kupanda au kushuka kwa nukta ya sekunde
Rafiki Mimi sio mgeni kwenye hili swala la betting na miaka zaidi ya kumi kwenye tasnia... Unaposema swala la ku-accept odds change Hilo linatakiwa lifanyike kabla ya kuplace bet...

Haiwezekani nimeshalipia mkeka ndo odds zishuke huo n utapeli....

Maana game itakapoanza odds lazima zibadilike Tu maana tayari iyo game inakua n live game..

Sasa mkeka nishauprint odds zinashukaje kama sio ujambazi... Anyways sahivi nishawasahau kama wapo nawaonaga Tu kwenye jezi ya Yanga
 
kuepuka hilo la odd ikishuka na ushindi wa mkeka nao unapunguzwa usiweke tick pale "accept odd change" kama ipo tiki hapo itoe kabla hujalipia mkeka maana mchezo mzima unaanzia hapo kuwa umekubali mabadiliko ya odd yakitokea mwisho tunalalamika kuibiwa kumbe walaa we hakikisha hakuna tick sehemu hiyo
Mkuu inaonekana hujaelewa vizuri hivi tufanye nimeshakubali icho kidude cha odds change then nilipoplace bet odds zikashuka toka 60 Hadi 40 nikaweka efu 10 kushinda 400k..

Then mkeka unashinda unakuta umeshinda 320k...
We unaona hiyo n sawa?
 
Back
Top Bottom