Hivi kumbe SportPesa ni wahuni kiasi hiki?

Hivi kumbe SportPesa ni wahuni kiasi hiki?

uyo muongo
Ni kweli mkuu haya mambo yanatokea, uenda ni tatizo la system au wanatufanyia uhuni. Mimi nilishawahi kufanya cash out, nikapata nikaona kabisa maandishi ya cash out succesful cha kushangaza hela sijawekewa na mkeka niliocash out umeondolewa kabisa haupo popote sio kwenye open bet wala settled. Ukibet ni muhimu kuweka kumbukumbu kama screenshot au code ya mkeka
 
Mimi sio mchezesha kamari, bali mcheza kamari kwa hiyo navaa viatu vyangu.
Sasa lazima umuelewe partner wako ili upime win-win otherwise utakuwa kwenye circle ya win-lose huku akikuaminisha ni win-win. Lazima ujiulize kwanini upewe hongera ya kurudishiwa pesa yako.
Nikiweka sh. elfu 40 huku nikijua nikishindwa itapotea yote na nikishinda nitapata sh. elfu 50, sihitaji mtu mwingine hadi atokee kuniambia kwa mchezo wa psychology maana mimi mwenyewe naelewa mapema
Umeweka elfu 40, ukishinda unapata elfu 50 kivipi mzee? Ukishinda umepata elfu 10 kama ungepata elf 50 ungekuwa na elfu 90.
 
Kwa matokeo ya jana nafikiri kampuni za kubet zilipogwa sana ndio maana hao wengine wakaona wachakachue mikeka
 
Kwa matokeo ya jana nafikiri kampuni za kubet zilipogwa sana ndio maana hao wengine wakaona wachakachue mikeka
Kampuni yakubeti hata ushinde Bilion bado huwezi kuwafanya washindwe kukulipa. Ukiona umeshinda ujue Kuna mwenzako analia Mahali. Betting Wana invest capital yakutosha imagine mtu anaweka 200 anaruhusiwa Kushinda hata Trilion kadhaa . Nikwasababu asilimia zako zakushinda Ni ndogo Sana ukilinganisha na kampuni kupata faida. Pia hata wakikupa hiyo pesa 60% ya watu wanaoshinda pesa kwenye betting huirudisha yote ama wamerudisha pesa waliyowahi kubetia. Ujue tu kwamba hakuna namna unaweza kuwadhuru au kuwakomoa kampuni ya betting . Kushinda kwako mkeka wao wanafurahi huwa hawapendi upoteze kila siku maana utaacha kubeti . Ukiona malipo yamechelewa ujue Ni system tu au Kuna fraudent umefanya.
 
Kampuni yakubeti hata ushinde Bilion bado huwezi kuwafanya washindwe kukulipa. Ukiona umeshinda ujue Kuna mwenzako analia Mahali. Betting Wana invest capital yakutosha imagine mtu anaweka 200 anaruhusiwa Kushinda hata Trilion kadhaa . Nikwasababu asilimia zako zakushinda Ni ndogo Sana ukilinganisha na kampuni kupata faida. Pia hata wakikupa hiyo pesa 60% ya watu wanaoshinda pesa kwenye betting huirudisha yote ama wamerudisha pesa waliyowahi kubetia. Ujue tu kwamba hakuna namna unaweza kuwadhuru au kuwakomoa kampuni ya betting . Kushinda kwako mkeka wao wanafurahi huwa hawapendi upoteze kila siku maana utaacha kubeti . Ukiona malipo yamechelewa ujue Ni system tu au Kuna fraudent umefanya.
Bila shaka wewe ni wakala wa mhindi, kwamba ukishinda kampuni inafurahi au sio. Mwaka jana around october na november betpawa walipigwa mpaka wakashindwa kulipa wateja wao wewe ulikua wapi. Makosa kama aliyosema mtoa mada yanatokea, inawezekana ikiwa ni makosa ya mfumo au kuna uhuni tunafanyiwa, ndio maana nikasisitiza ni muhimu kuwa na ushaidi mfano code au screenshot ya mkeka.
 
Bila shaka wewe ni wakala wa mhindi, kwamba ukishinda kampuni inafurahi au sio. Mwaka jana around october na november betpawa walipigwa mpaka wakashindwa kulipa wateja wao wewe ulikua wapi. Makosa kama aliyosema mtoa mada yanatokea, inawezekana ikiwa ni makosa ya mfumo au kuna uhuni tunafanyiwa, ndio maana nikasisitiza ni muhimu kuwa na ushaidi mfano code au screenshot ya mkeka.
Betpawa walishindwa kulipa wateja😂 acha upotoshaji mkuu hiyo hela walitoshinda hao wateja haitoshi hata bajeti ya mwezi ya uendeshaji wa kampuni ya Betpawa
 
Betpawa walishindwa kulipa wateja😂 acha upotoshaji mkuu hiyo hela walitoshinda hao wateja haitoshi hata bajeti ya mwezi ya uendeshaji wa kampuni ya Betpawa
Acha ubishi kijana mwaka jana around october mpaka november betpawa walipigwa sana na wateja.

Wakaondoa ofa zote za bonus na huduma ya kuwithdraw hela, ilikua unaweza kudeposit na kuweka mkeka tu lakini kuwithdraw hela haiwezekani, walizuia kwanza huduma ya kuwithdraw ili wateja wapigwe wapate hela ya kuwalipa walioshinda, hili suala lilifika mpaka kwenye mamlaka wakalitolea tamko waulize wateja wa betpawa watakuambia. watu walisubiri takribani wiki mbili kuweza kuwithdraw hela zao.
 
Acha ubishi kijana mwaka jana around october mpaka november betpawa walipigwa sana na wateja.

Wakaondoa ofa zote za bonus na huduma ya kuwithdraw hela, ilikua unaweza kudeposit na kuweka mkeka tu lakini kuwithdraw hela haiwezekani, walizuia kwanza huduma ya kuwithdraw ili wateja wapigwe wapate hela ya kuwalipa walioshinda, hili suala lilifika mpaka kwenye mamlaka wakalitolea tamko waulize wateja wa betpawa watakuambia. watu walisubiri takribani wiki mbili kuweza kuwithdraw hela zao.
Huelewi kitu unachoongea wewe
 
Kushindwa kutoa pesa nitatizo la kiufundi na sio kampuni kushindwa kulipa pesa Kama unavyodai

Kwa taarifa yako Betpawa ndio kampuni inayooperate katika masoko ya ndani Tajiri zaidi Africa ikifwatiwa na Betway Kisha 888 Africa , haitotokea Betpawa wakose hela ya kulipa wachezaji. Uwekezaji wa betwapa nitrilion za kutosha Anyway nakuwekea taarifa waliyoitoa Betpawa kipindi Cha October 21

Imekuwa mfululizo wa ushindi uliovunja rekodi kwa wateja wa betPawa kote Afrika 🤩

Wateja 1,260,265 tofauti walishinda kati ya Jumamosi tarehe 21 na Jumatatu tarehe 30 Oktoba, na kuthibitisha kwa nini kaulimbiu ya betPawa ni ndogo, jishindie BIG kwa kujishindia dola 77,915,489.65$ "(194,788,724,125.00tsh) kwa pamoja 🤯


Watu 175 wa kipekee walijishindia USD 10,000 (25,000,000tsh) au zaidi, huku mshindi MKUBWA kuliko wote akigeuza dau la USD 0.88 (2200tsh) kuwa malipo ya USD 149,453.99 (Milion 373.634tsh) nchini Tanzania"

Hata hivyo betapwa kwa upande wa Tanzania inakabiliwa na changamoto ya mfumo wa utoaji pesa tatizo linaloshughulikiwa kwa haraka ili wateja waweze kutoa fedha zao
 
Huelewi kitu unachoongea wewe
FB_IMG_1727874929684.jpg
Screenshot_20241002_161617_Facebook.jpg
Screenshot_20241002_161637_Facebook.jpg
 
Kushindwa kutoa pesa nitatizo la kiufundi na sio kampuni kushindwa kulipa pesa Kama unavyodai

Kwa taarifa yako Betpawa ndio kampuni inayooperate katika masoko ya ndani Tajiri zaidi Africa ikifwatiwa na Betway Kisha 888 Africa , haitotokea Betpawa wakose hela ya kulipa wachezaji. Uwekezaji wa betwapa nitrilion za kutosha Anyway nakuwekea taarifa waliyoitoa Betpawa kipindi Cha October 21

Imekuwa mfululizo wa ushindi uliovunja rekodi kwa wateja wa betPawa kote Afrika 🤩

Wateja 1,260,265 tofauti walishinda kati ya Jumamosi tarehe 21 na Jumatatu tarehe 30 Oktoba, na kuthibitisha kwa nini kaulimbiu ya betPawa ni ndogo, jishindie BIG kwa kujishindia dola 77,915,489.65$ "(194,788,724,125.00tsh) kwa pamoja 🤯


Watu 175 wa kipekee walijishindia USD 10,000 (25,000,000tsh) au zaidi, huku mshindi MKUBWA kuliko wote akigeuza dau la USD 0.88 (2200tsh) kuwa malipo ya USD 149,453.99 (Milion 373.634tsh) nchini Tanzania"

Hata hivyo betapwa kwa upande wa Tanzania inakabiliwa na changamoto ya mfumo wa utoaji pesa tatizo linaloshughulikiwa kwa haraka ili wateja waweze kutoa fedha zao
Tumia akili wewe kijana, kwaiyo ulitegemea waseme kampuni imeshindwa kuliwalipa wateja kwa sababu wameshinda hela nyingi kuliko salio lilipo hazina?
 
Tumia akili wewe kijana, kwaiyo ulitegemea waseme kampuni imeshindwa kuliwalipa wateja kwa sababu wameshinda hela nyingi kuliko salio lilipo hazina?
Dah we jamaa nimgumu Sana kuelewa unafikiri wewe ukishinda mkeka Kuna hela ziko mfukoni mwa mfanyakazi wa Betpawa ambazo ndio anakutumia?
 
Hiyo Bilion 197 Ni pesa ambayo Betpawa wanaweza kuingiza Kama faida chini ya miezi 3. Kwenye soko la Nigeria. Sasa Betpawa imeanza kuoperate tangu 2014 na ipo masoko ya hisa ya kimataifa. Uwekezaji wa Betpawa sio wakitoto mkuu Hao wa Estonia wamewekeza mkwanja wakutosha Bilion 197 ata CEO wake mmoja anaweza kulipa hiyo pesa
 
Back
Top Bottom