Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia msg ya mkeka wako waliokutumia baadae ya kuplace bet kama inalingana na mkeka wako uliopokwenye systemNasema from my experience. Sijadanganya mtu. Wameedit mkeka wangu.
Sport pesa Tanzania ni wezi wakubwaAisee! Nilidhani Sportpesa ndiyo kampuni makini, kumbe no vurugu na wao!
Sidhani kama kuna mtu anaweka mzigo halafu hajui hizo alizoweka zitamlipa kiasi gani iwapo atashinda. Au wewe kwa mawazo yako unafikiri mtu anaweka tu halafu anakuja kujua mbele kwa mbele?Mkuu, ujanja ujanja unaanzia hapo kwenye kutengeneza list ya betting. Wanacheza na saikolojia.
Unakuta mtu ana furaha kashinda elfu hamsini, unamuuliza how? Anasema mkeka umetiki, unamuuliza ulibet kiasi gani, anajibu 40,000/= ukapata kiasi gani, anajibu 50,000/= sasa umeshindaje 50,000/=? Umeshinda 10,000/= hii 40,000/= ni ya kwako.
Makampuni yanakupa hongera kwa kukurudishia pesa yako kama ushindi. Hawatenganishi ushindi halisi ulioupata na pesa uliyoweka. Wanaharibu tafsiri ya ushindi kwenye ubongo wako.
Twende taratibu, Wewe unadhani kwanini unaambiwa umeshinda 50,000 ilihali 40,000 ni ya kwako pamoja na kwamba unajua kuwa hujashinda 50,000 umeshinda 10,000? Kwanini unapewa hongera ya 50,000 na si 10,000?Sidhani kama kuna mtu anaweka mzigo halafu hajui hizo alizoweka zitamlipa kiasi gani iwapo atashinda. Au wewe kwa mawazo yako unafikiri mtu anaweka tu halafu anakuja kujua mbele kwa mbele?
Kuna system za kudetect fraudent ama match fixing let say Mimi nimenunua game nikastake then nikaisambaza watu watakavyo stake kwenye Ile gemu Kuna sytesms zinawaonesha hii gemu imeuzwa hapa hakuna atakaye lipwa na aliyenunua atapata hasara na wakati mwingine wanafunguliwa mashataka. Lakini sio kushare code za mikeka kwa watu hiyo haina shida ukishare Tena wanafurahiSasa kwann wanatoa options za kushare code
Sportpesa anaingiza faida Bilion mbili kwa siku, siku za gemu aje ahangaike kubadili mkeka wa 5000 na kampuni ime expand mpaka Ulaya , south Africa na ndio kampuni yenye wateja wengi TanzaniaMlitaka Abbasy Tarimba akale wapi
Ukishinda hauhitaji kuambiwa, ni moja ya matokeo uliyotarajia. Kwani hadi uambiwe? Ukishinda mzigo unaingia kwenye account, uambiwe au usiambiwe, maana uliweka kiasi fulani ukitarajia utapata kiasi fulani na ukiwa unafahamu kabisa faida ni tofauti ya ulichoweka na ulichopata, hata kama haujaambiwa. Kwa nini usubiri kuambiwa wakati hesabu ipo wazi kabisa?Twende taratibu, Wewe unadhani kwanini unaambiwa umeshinda 50,000 ilihali 40,000 ni ya kwako pamoja na kwamba unajua kuwa hujashinda 50,000 umeshinda 10,000? Kwanini unapewa hongera ya 50,000 na si 10,000?
Hahaaa hii balaa ila jamaaa ni wezi sana nilishawaona toka kitambo sana mtu mwenye akili timamu huwezi mkuta sportpesawajinga sana walininyima pesa ja jackpot wakasema tulishinda watu elfu 70 kila mmoja akapewa mia tano.
Sijawatumia tena nikakimbilia sportybet
Kuna uwezekano alikuwa amepiga vyomboWatu tuna bet toka 2010 kuanzia M bet mpaka Piga bet karibu kampuni zote bongo tume pita na hatuja wahi kutana na hizo mambo za kubadilishiwa Chaguo hapo ni WEWE mwenyewe ulijichanganya
No, no. Usimfikirie mcheza kamari. Vaa viatu vya mchezesha kamari. Kwanini ameopt kumpa hongera ya ushindi mcheza kamari katika pesa yake aliyobeti na si ile aliyoshinda katika uhalisia? Unadhani sababu ni nini?Ukishinda hauhitaji kuambiwa, ni moja ya matokeo uliyotarajia. Kwani hadi uambiwe? Ukishinda mzigo unaingia kwenye account, uambiwe au usiambiwe, maana uliweka kiasi fulani ukitarajia utapata kiasi fulani na ukiwa unafahamu kabisa faida ni tofauti ya ulichoweka na ulichopata, hata kama haujaambiwa. Kwa nini usubiri kuambiwa wakati hesabu ipo wazi kabisa?
Mimi sio mchezesha kamari, bali mcheza kamari kwa hiyo navaa viatu vyangu. Nikiweka sh. elfu 40 huku nikijua nikishindwa itapotea yote na nikishinda nitapata sh. elfu 50, sihitaji mtu mwingine hadi atokee kuniambia kwa mchezo wa psychology maana mimi mwenyewe naelewa mapemaNo, no. Usimfikirie mcheza kamari. Vaa viatu vya mchezesha kamari. Kwanini ameopt kumpa hongera ya ushindi mcheza kamari katika pesa yake aliyobeti na si ile aliyoshinda katika uhalisia? Unadhani sababu ni nini?