Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Wejamaa Lupweko sijui unatumia akili gani unaelekezwa huelewi. Mimi nimerplay huyu mdau nakueleza bado naona umekaza ubongoKweli kabisa niliachana nao baada ya kuona wana upuuzi huo.
Hao nina uhakika sababu walishanipunguzia odds na hela ya ushindi baada ya mkeka kuwin.