Hivi kumbe SportPesa ni wahuni kiasi hiki?

Hivi kumbe SportPesa ni wahuni kiasi hiki?

Yani mwenzenu ni mesuka mkeka Multbet yangu safi timu sita Arsenal vs Psg nikampa Arsenal, Barcelona vs Young boys nikampa Barcelona, inter Milan nikampa kushinda Leverkusen naye nikampa kushinda zidi ya Ac Milan Dortimund naye nika mpa kusinda na Man City nikampa kushinda.

Sasa hadi kipindi cha kwanza kinaisha timu zote nilizo chagua zilikuwa zinaongoza hisipokuwa Match ya Liverkursen na Ac milani walikuwa bado hawajafungana basi nikaendelea na mishe nyingine nakuja kuangalia dakika ya 89 nakuta Liverkursen kaisha funga goli nikawa najisemea kesho watanikoma maana mkeka niliona unaenda kutiki.

Kuja kurudi kwenye mkeka nakuta wameniwekea kwamba nilichagua PSG kushinda dhidi ya Arsenal na nimechagua Ac Milan kushinda dhidi ya Liverkursen.
Siku nyingine ukiweka screenshot, wu screen record kabisa
 
. Yalintokea gal sport siku moja toka sikuhio nikiweka mkeka mrefu nachujua code natafuta walipo karibh wa mashine

Nawapa code naprintiwa nawapiga vziuri tu majuzi jamaa wao akasema ukiweka nirushie na mm code nkasema ungejua natoka mbali kufwata mashine zenu kuogopa kuibiwa leo nikutumie code naumwa
 
kingine
Kuna kampuni zina masharti na vigezo

Hizi niwakumbushe tu sio mbaya ila wana masharti ukishare codes mkakuta mko zaidi ya kadhaa wana haki ya kutokupa hela

Wengine kama umekula kwa line ya airtel

ukatumia same code ukapiga line ya tigo

Wakajiridhisha pasiposhaka we n mtu mmoja

Wanakupa ahsante kwa kushiriki

Vyema zile masharti mkapenda kuzisoma
 
Watu tuna bet toka 2010 kuanzia M bet mpaka Piga bet karibu kampuni zote bongo tume pita na hatuja wahi kutana na hizo mambo za kubadilishiwa Chaguo hapo ni WEWE mwenyewe ulijichanganya
 
Watu tuna bet toka 2010 kuanzia M bet mpaka Piga bet karibu kampuni zote bongo tume pita na hatuja wahi kutana na hizo mambo za kubadilishiwa Chaguo hapo ni WEWE mwenyewe ulijichanganya
Wspo mkuuu wapoooo sanaaaa

M nabet toka 2006. Wapooo sana tu
 
Hakuna kigezo na sharti linaloweza kuruhusu kampuni kubadilisha chaguo la mteja
Chaguo gani ulaloongelea? Kampuni ndio haiwezi kubadilisha option ulizochagua . Yeye kasema kakuta hela imepungua ,, hili linawezekana kampuni Ina mamlaka yakufanya mabadiliko ya odds, au kuondoa mchezo fulani kwenye ticket Kama mchezo umeahirishwa au ikigundulika Kuna fraudent yoyete ndipo nimemuuliza Kama Alison's vigezo na masharti naona unaropoka kuwa hakun kampuni inayobadilisha machaguo wakati sijazungumzia Jambo hilo
 
Tuonyeshe hio before & after kwa picha zisizoeditiwa
Huyu kajichanganya hakuna kampuni inaweza kukubadilishia mkeka , hajui kampuni ya kubeti ukishinda laki tano wao wanafurahi maana wanajua Kama sio kuja kuirudisha hiyo pesa yote utairudisha na zaidi , kampuni ya kubeti haiwezi kutumia nguvu kuchukua pesa yako wakati utawaachia wenyewe kiroho safi
 
Unaiona afu 5 ndogo sana? Unachoibiwa sio hiyo 5,000, unaibiwa dau ulilopaswa kushinda kwa kubadilisha machaguzi yako.

Mimi ni mdau mzuri wa kucheza over, huwa ni over 0.5 na 1.5 sichezagi over 2.5 hata iweje, kuna siku msimu huu huu mkeka una timu zaidi ya 20 mpaka half time zimetoa timu 16, bado nne, dkika ya 87 hivi timu moja tu ina goli moja ikapata goli la pili nikawa nangoja hela, haikuja nakuja kuchek naona ile mechi chauo ni over 2.5 kitu ambacho sikuweka kabisa.
Uliweka over 2.5 kwa wenge wewe😂 kuna jamaa alisema hivyo kuwa kashinda kwakuwa alimbetia Barcelona Kushinda nikamwambia lete mkeka tuone kumbe alibetia Barcelona women😅
 
Chaguo gani ulaloongelea? Kampuni ndio haiwezi kubadilisha option ulizochagua . Yeye kasema kakuta hela imepungua ,,
Soma hapa alichoandika halafu urudi kufafanua:
.... Arsenal vs Psg nikampa Arsenal, ... Leverkusen naye nikampa kushinda zidi ya Ac Milan
... Kuja kurudi kwenye mkeka nakuta wameniwekea kwamba nilichagua PSG kushinda dhidi ya Arsenal na nimechagua Ac Milan kushinda dhidi ya Liverkursen.
 
Back
Top Bottom