Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Unaniuliza Mimi waulize wenyewe kampuni husika hao kwanini wewe ukibeti halafu inakutokea hivyo ndio ujue unaibiwa na hiyo kampuni Yako unayotumiaKwanini betpawa ukiweka 5000 baada ya mda ukataka kutoa hata kama mechi hazikucheza hela inapungua au kuongezeka?
Naona nabishana na mwehuUnaniuliza Mimi waulize wenyewe kampuni husika hao kwanini wewe ukibeti halafu inakutokea hivyo ndio ujue unaibiwa na hiyo kampuni Yako unayotumia
Wewe ndio mwehu unaacha kuuliza kampuni unayobetia Hilo swali unaniuliza Mimi unaakili timamu kweli kwani Mimi ndio namiliki hiyo kampuniNaona nabishana na mwehu
Sportpesa anaingiza faida Bilion mbili kwa siku, siku za gemu aje ahangaike kubadili mkeka wa 5000 na kampuni ime expand mpaka Ulaya , south Africa na ndio kampuni yenye wateja wengi Tanzania
Hii nchi kila mtu/taasis ni tapeliYani mwenzenu ni mesuka mkeka Multbet yangu safi timu sita Arsenal vs Psg nikampa Arsenal, Barcelona vs Young boys nikampa Barcelona, inter Milan nikampa kushinda Leverkusen naye nikampa kushinda zidi ya Ac Milan Dortimund naye nika mpa kusinda na Man City nikampa kushinda.
Sasa hadi kipindi cha kwanza kinaisha timu zote nilizo chagua zilikuwa zinaongoza hisipokuwa Match ya Liverkursen na Ac milani walikuwa bado hawajafungana basi nikaendelea na mishe nyingine nakuja kuangalia dakika ya 89 nakuta Liverkursen kaisha funga goli nikawa najisemea kesho watanikoma maana mkeka niliona unaenda kutiki.
Kuja kurudi kwenye mkeka nakuta wameniwekea kwamba nilichagua PSG kushinda dhidi ya Arsenal na nimechagua Ac Milan kushinda dhidi ya Liverkursen.